Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Sio mniongezee alafu kukikucha niitwe kwa mjumbe🤣🤣🤣🤣 we piga kelele jirani kwakuwa Arsenal wala hutusumbui, bia zikiisha sema tukuongeze!!
Hamna bana ww kunywa ufurahie ArsenalSio mniongezee alafu kukikucha niitwe kwa mjumbe
acha nipoze machungu ya jana.Hamna bana ww kunywa ufurahie Arsenal
Omba radhi..!! Huu sio mfano ni tusi pa reja reja..!!Pale unaandika barua kwa Samia kumshtakia mchengerwa usitegemee maajabu
Wewe akili huna, ushahidi wa video upo na goli la wazi lile la Yanga limekataliwa sbb ya match fixing, alafu mambo ya Ihefu ni issue tofauti, acha kuwa shoga wa mpira unachanganya mambo sana wewe nimalizie nyoko kabisaHivi lile goli la Yanga vs Ihefu, Ihefu wangeandika barua kama hii kwenda TFF hukumu ingekuwaje?
Omba radhi..!! Huu sio mfano ni tusi pa reja reja..!!
Rais wa Yanga = Rais wa Vilabu barani AfrikaRais wa CAF=Mmiliki wa Mamelodi
Ndio maana nimesema hujielewi, hiyo goal line technology bado haijafika kwetu. Mkombozi ni VAR tu.Kitu ambacho uto kinawasumbua ni kutojua tofauti ya VAR na Goal line technology. VAR haiangalia kama mpira umevuka mstari au haujavuka mstari bali goal line technology ndio inafanya hiyo kazi.
VAR inamsaidia mwamuzi kupata marejeo ya incident yoyote inayotokea kwenye uwanja. Tafsi ya incident hiyo inabaki mikononi mwa refa.
Tuhuma za match fixing ni kubwa sana inabidi mwanasheria wa uto ajipange sana kutoa uthibitisho wa uwepo wa match fixing.
Kuna game ya NBC uto alipewa goli dhidi ya Ihefu wakati mpira ulidundia ndani lakini hakuna aliyeandika barua kwenda TFF.
Dhulma inaumuza sana.
Kushindwa ni kushindwat tu. Hakuna namba ya kuelezea kukapendeza.Haijalishi hukumu itakuwa rafiki kwetu au lah muhimu hatujakubali kushindwa kinyonge.
Hapa namuona refa tu ndio kaingia 18 , swala la kurudiwa mechi au kubadilishwa matokeo hiyo tutaletewa maswala ya mechi ikishapita matokeo yamewekwa hairudiwiHukumu ya tukio la aina hii itakuwa nini?
1. Refa kuhukumiwa.
2. Mechi kurudiwa
3.Uto kupewa ushindi?
4. Nk
Hebu wqjuzi mkuje pande hii Uto Leo moja haiendi ,mbili haisogei😀😀
Sawa wewe unayejielewa peleka barua hadi FIFANdio maana nimesema hujielewi, hiyo goal line technology bado haijafika kwetu. Mkombozi ni VAR tu.
''VAR kwenye hali kama ile haimsaidii sana mwamuzi"Acheni kudanganya watu, yaani kosa la refarii ndio kosa la timu? Inaa maana hao FIFA hawakuwa wanajua kuwa Motsepe ndio mmiriki wa mamelod?!! Kwani duniani hilo ndio goli la kwanza kukataliwa?!! CAF hawana goaline technology, ndio ingesaidia vizuri, VAR kwenye hali kama ile haimsaidii sana mwamuzi, mnaanza kuleta siasa zenu.
Tatu haikaribii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hukumu ya tukio la aina hii itakuwa nini?
1. Refa kuhukumiwa.
2. Mechi kurudiwa
3.Uto kupewa ushindi?
4. Nk
Hebu wqjuzi mkuje pande hii Uto Leo moja haiendi ,mbili haisogei[emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pale unaandika barua kwa Samia kumshtakia mchengerwa usitegemee maajabu
Pesa hampati na mamelodi wanacheza nusu.Hii ni move nzuri.
Japo matokeo hayatobadilika, na hukumu haitakuwa wazi..... ila kuna watu watakula pesa nyingi za Motsepe ili watulie.