Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma history ya Mamelodi kwenda nusu fainali na wao pia walipata ushindi wa mezani baada ya kupinga ushindi wa timu pinzani I can't remember clearly lakini nadhani ni TP Mazembe !Kwa hiyo chochote kinawezekana acha Yanga wajaribu bahati yao, though Jana nao walikuwa wanyonge wangegomea mchezo mpk VAR iusishwe.Una ushahidi kuwa masandawana wamehusika?
Matokeo ya magoli kukataliwa yapo toka miaka na miaka na hakuna mabadiliko pamoja ma sheria kuwepo
Ushindi wa mezani mara nyingi ni pale mmoja hakutokea uwanjani
Ila pale arabs
Timu ya kutoka iran na saudia moja ya saudia ili kataa kuingia uwanjani lakini hakuna matokeo ya mezani yalitolewa na ilikuwa kombe kama hili la CAF
kufuzu kucheza fainali za kombe la dunia, mechi ya Bafana Bafana na Senegal ilirudiwa kwasababu ya nini? ilihali msauzi alikua ameshafuzu na matokeo ya mechi iliyorudiwa akatolewa... tutunze maneno.Hakuna jipya hapo may be zaidi zaidi refarii kupewa adhabu,,,, matokeo ya uwanjani huwa hayabadilishwi toka dunia imeumbwa.... Haya mambo yapo, kuonewa kupo,,, mambo ya kwenda kuangalia kwenye VAR ni utashi wa refarii hakuna wa kumlazimisha...
Kuna champions league final I think ilikua 2019 au 2020 kati ya Esperance De Tunis Vs Wydad Casablanca refarii aliwaua sana wydad yaani incidence za penalty za Wydad kupewa penalty refa alikua anapeta na ikafika kipindi akagoma kwenda kwenye VAR akidai zimeharibika, kumbuka game ya kwanza Esperance alishinda game ya kwanza kwa kupewa goal katika mazingira ya usaidizi wa VAR.... Wachezaji wa Wydad wakatoka uwanjani na kuondoka na mechi ikaishia hapo hapo..
Dunia nzima ililalamika kwa wydad kuonewa na ikatakiwa Wydad apewe ubingwa... Lakini mwisho wa siku Esperance akapewa ubingwa....
Ni ngumu sana rejea mechi ya fainali kati ya Wydad Casablanca Vs EsperanceYanabadilika Mkuu Kutokana na Sheria za CAF
kwa hio hii ni fursa as usuallyEndapo yanga itakuwa serious Kuna watu humo humo yanga watapewa vibunda kuzima kesi isifike FIFA. coz motsepe ni CAF president na ndiye Mamelod president. So hatakuwa tayar kuwekwa doa.
Isome barua kwa kurudia na umakini kipengele cha 2Hapo wamekosea kuweka tuhuma za match fixing, ambazo ni tuhuma serious kweli na hakuna ushahidi
Hapo ni administrative error au poor officiating basi
Nasimama na dudyiu languKwani siku nyingine unasimama na nani??
Kweli kuna mechi ililudiwa ya,kufuzu kwa africa nambi anakumbukaYanabadilika Mkuu Kutokana na Sheria za CAF
Mkuu rejea Mechi ya kufuzu fifa Wualification ya Senegal na South afrika mwaka 2017..Ni ngumu sana rejea mechi ya fainali kati ya Wydad Casablanca Vs Esperance
South afrika na Senegal mwaka 2017Kweli kuna mechi ililudiwa ya,kufuzu kwa africa nambi anakumbuka
Haya ndio mawazo ya majuha, so huko mbele unasongaje, haki haijawahi kumfuata mtu miguuni, you must struggle and fight for!baadae anaweza kuingia conflicts na CAF officials kwa inshu za kipuuuzi puuzi namna hii. Somtimes songambele Nyuma mwiko
Walete goal line, tugange yajayoGoal line technology refa anpewa taarifa na saa aliyovaa kama mpira umevuka mstari,sasa Africa marefa wetu bado hawatumii hiyo kitu hivyo ni mpaka wakaangalie tu kwenye var
Sawa, tungoje matokeo ya rufaaView attachment 2955551
View attachment 2955552
View attachment 2955553
#Tuko Pamoja na Nyinyi Mpaka FIFA
povu kutoka 2-mtungi aaa wee 3-mtungi mitungi mitungi mitungi mitungwiiiiiiMatokeo ya mpira hayabadilishwi hata Kama mtu angekufa
Wataenda kuvuna aibu ya pili,wangepotezea tu wagange yajayo. Ni ushauri tu.View attachment 2955551
View attachment 2955552
View attachment 2955553
#Tuko Pamoja na Nyinyi Mpaka FIFA
Haya.Naelewa vizuri sana
Ndio maana nimesema hayo matukio yanatokea tu, msijifanye kuwa ndio tukio la kwanza duniani,Kulikuwa na VAR?