Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 4,740
- 7,179
Inayoamua utata kama ule ni var ama goal line?Sasa nawe bro mazingira ya 2010 unayaringanisha na sasa? Kipindi hiko hakuna VAR wala Goal line Technology mkuu sio sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inayoamua utata kama ule ni var ama goal line?Sasa nawe bro mazingira ya 2010 unayaringanisha na sasa? Kipindi hiko hakuna VAR wala Goal line Technology mkuu sio sasa.
Tuna historia kadhaa matokeo yaliwahi kubatilika na mechi Zikarudiwa hivyo Mkuu usidanganyeMatokeo ya mpira hayabatilishw
Ata kama mpira unge kuwa kona na refa ange nyoosha Kati
Kitakacho fuata ni6adhabu tuu kwa wa husika Lakin goli lipo pale pale
Kuna harufu ya Match fixing ambayo imesababisha Administrative error mkuuKichekecho .. Wakili wa mchongo anadai kulikuwa na 'administrative error', halafu wakati huo huo unatuhumu 'match fixing'.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pale unaandika barua kwa Samia kumshtakia mchengerwa usitegemee maajabu
Hii barua umeitoa wapi mkuu!?..sijaona yanga appKisheria wanaonekana wamefanya Match fixing (Kupanga matokeo)
Naelewa vizuri sanaJifunze kutofautisha kati ya VAR na Goal line technology. Hata Google itakusaidia.
Kwani siku nyingine unasimama na nani??Nasimama na Yanga kwenye hili.
Goal line technology refa anpewa taarifa na saa aliyovaa kama mpira umevuka mstari,sasa Africa marefa wetu bado hawatumii hiyo kitu hivyo ni mpaka wakaangalie tu kwenye varInayoamua utata kama ule ni var ama goal line?
Huu ndiyo ujinga watz mnao pumbavu kabsaa uoga umewamaliza ndiyo maana mageuzwa geez was kama chapati na viongozi wenu uchwaraFootball Politics.
Utopolo baadae anaweza kuingia conflicts na CAF officials kwa inshu za kipuuuzi puuzi namna hii. Somtimes songambele Nyuma mwiko. Inakuwaje tunaanza kutafuta Uadui kwa mamlaka za soka na wadau kwa ujumla.
Kuna mzee mmoja alikuwa muajiriwa kama mlinzi kwa tajiri mmoja Kahama. Ikatokea binti yake wa form 1 akagundulika analiwa na mtoto wa tajiri yake. Mama wa binti akasala na kutaka kwenda kisheria. Tajiri akatembeza noti kwa mzee na vitisho kuwa mke akiendelea na kesi kazi hana na kibanda anachoishi atafukuzwa. Mzee akazuia mkewe asiendelee na kesi. Akiwa form two, binti akagundulika kuwa na mimba. And aliyempa mimba kuja kugundulika ni yule yule tajiri.Football Politics.
Utopolo baadae anaweza kuingia conflicts na CAF officials kwa inshu za kipuuuzi puuzi namna hii. Somtimes songambele Nyuma mwiko. Inakuwaje tunaanza kutafuta Uadui kwa mamlaka za soka na wadau kwa ujumla.
Mawazo wa kimasikini haya.Football Politics.
Utopolo baadae anaweza kuingia conflicts na CAF officials kwa inshu za kipuuuzi puuzi namna hii. Somtimes songambele Nyuma mwiko. Inakuwaje tunaanza kutafuta Uadui kwa mamlaka za soka na wadau kwa ujumla.
Kuna mzee mmoja alikuwa muajiriwa kama mlinzi kwa tajiri mmoja Kahama. Ikatokea binti yake wa form 1 akagundulika analiwa na mtoto wa tajiri yake. Mama wa binti akasala na kutaka kwenda kisheria. Tajiri akatembeza noti kwa mzee na vitisho kuwa mke akiendelea na kesi kazi hana na kibanda anachoishi atafukuzwa. Mzee akazuia mkewe asiendelee na kesi. Akiwa form two, binti akagundulika kuwa na mimba. And aliyempa mimba kuja kugundulika ni yule yule tajiri.Football Politics.
Utopolo baadae anaweza kuingia conflicts na CAF officials kwa inshu za kipuuuzi puuzi namna hii. Somtimes songambele Nyuma mwiko. Inakuwaje tunaanza kutafuta Uadui kwa mamlaka za soka na wadau kwa ujumla.
Kumbuka VAR zimewekwa ili kujiridhisha kuondoa hayo unayoyasema. Mbona refa alipeta?Una ushahidi kuwa masandawana wamehusika?
Matokeo ya magoli kukataliwa yapo toka miaka na miaka na hakuna mabadiliko pamoja ma sheria kuwepo
Ushindi wa mezani mara nyingi ni pale mmoja hakutokea uwanjani
Ila pale arabs
Timu ya kutoka iran na saudia moja ya saudia ili kataa kuingia uwanjani lakini hakuna matokeo ya mezani yalitolewa na ilikuwa kombe kama hili la CAF
Ila kadi alikimbia fasta akaicheki, refa katuua.....😁Sasa refa hakwenda kupata tafsiri ya incident iliyotokea..!!
kuna goal lililokataliwa katika hiyo mechi? Bila kusahau, KUFUNGUKA ndio KUFUNGIKA..!!Hakuna jipya hapo may be zaidi zaidi refarii kupewa adhabu,,,, matokeo ya uwanjani huwa hayabadilishwi toka dunia imeumbwa.... Haya mambo yapo, kuonewa kupo,,, mambo ya kwenda kuangalia kwenye VAR ni utashi wa refarii hakuna wa kumlazimisha...
Kuna champions league final I think ilikua 2019 au 2020 kati ya Esperance De Tunis Vs Wydad Casablanca refarii aliwaua sana wydad yaani incidence za penalty za Wydad kupewa penalty refa alikua anapeta na ikafika kipindi akagoma kwenda kwenye VAR akidai zimeharibika, kumbuka game ya kwanza Esperance alishinda game ya kwanza kwa kupewa goal katika mazingira ya usaidizi wa VAR.... Wachezaji wa Wydad wakatoka uwanjani na kuondoka na mechi ikaishia hapo hapo..
Dunia nzima ililalamika kwa wydad kuonewa na ikatakiwa Wydad apewe ubingwa... Lakini mwisho wa siku Esperance akapewa ubingwa....
Kulikuwa na VAR?Mnatiana ujinga tu!! Hayo ni makosa ya kibinadamu tu, si juzi juzi tu hapa yanga alikuwa anacheza na Ihefu akapewa goli wakati mpira haukuvuka mstari kwa kiwango kinachotakiwa ili lihesabike ni goli? Sio kila kosa la mwamuzi ni upangaji matokeo.