Yanga yaingia mkataba na kampuni ya vifaa vya umeme ya HAIER

Tumemtoa mwarabu kwao akiwa na advantage ya kusonga mbele,wale si ndio sisi Yanga??
 
Viongozi makini wanaojua jinsi ya kuingia mikataba yenye maslahi kwa Vilabu vyao wameonesha njia Leo.

Sisi wa upande wa pili ambao tunachagua wanasiasa waliofeli siasa waje kutuinua Tutaendelea kupigwa pale tukome.

Na bado tutapigwa sana ndoige paka akili zitakapotukaa sawa huu ni mwanzo tu.

Mliosoma Cuba mtakuwa mmenielewa

[emoji881]Nguvu Moja[emoji123][emoji123]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…