abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,296
Hujui babra na moo tayar ni sehem za clab hujui kua simba ndio source?Page ya barbra na Mo zinatangaza habari za club?
Tangu lini, hivi mtu kusema tusikate tamaa ni habari ya club?
Umetanguliza ushabiki mbele kiasi kwamba huoni.
Ni content ipi ya TV imekuwa covered na social media za simba?
Ungeniambia youtube channel ningekuelewa, napo bado sio sana.
Soma tena, kwa hiyo Mo kupost hongereni watani kunaingiliana na copy right za TV?Hujui babra na moo tayar ni sehem za clab hujui kua simba ndio source?
Page ya barbra na Mo zinatangaza habari za club?
Tangu lini, hivi mtu kusema tusikate tamaa ni habari ya club?
Umetanguliza ushabiki mbele kiasi kwamba huoni.
Ni content ipi ya TV imekuwa covered na social media za simba?
Ungeniambia youtube channel ningekuelewa, napo bado sio sana.
Najua umeumbuka, na wewe unajua hilo hamna habari hapo, ni jumbe za kawaida kabisa....View attachment 1845943
Hizo contents nyingi ni za kibiashara na zinaweza kulipiwa kama contents za SSC na zikaingizia Club hela.
Kama upo kuitetea Simba, hizo contents ni counterproductive. Zinaathiri nguvu ya Club kunegotiate deals.
Ila wewe upo kiubishi zaidi.
Kama wewe unaona ni number za kawaida, basi ndiyo maana timu zetu zipo hivi zilivyoNajua umeumbuka, na wewe unajua hilo hamna habari hapo, ni jumbe za kawaida kabisa....
"Ahsante mungu tumeshinda, ina athiri vipi TV rights?
wivu tu umewajaeni,simba ina nini cha kujivunia...mo akiondoka na MO ARENA INASEPA PIA JE WAJUA ILO?...mnabaki na mghofu wenu pale kariakooMbumbumbu kama mbumbumbu
Kwani Simba wanashindana na Yanga kwenye huo mkataba ?Simba inategemea sana mitandao ya kijamii kama vile Instagram na Tweeter. Pia ina viongozi ambao ni kama celebrities, kwa mfano Haji Manara na Mo Dewji. Wana followers wengi, hata Barbara Gonzalez.
Ubovu wa hili kwenye negotiations za Media Partnership ni kuwa itabidi kurasa hizi ziache kuandika na kuonyesha baadhi ya matukio.
Yaani mimi kama AZAM nachukua hizi pages kama competition na itabidi unihakikishie kuwa utaacha kupost mambo ya Simba kabla ya kuniuliza na kuhakikisha hazitaleta migogoro.
This is Negative.
Pia Azam wataangalia siku Yanga ikicheza viewrship ipo vipi na siku Simba ikicheza viewership ipo vipi hasa kwenye TV.
Na mauzo ya Jezi pamoja na merchandise.
Halafu Simba nusu ya mapato yataenda kwa mtu binafsi, anaweza akatumia hizo hela kununua tambuu au kuwapa Simba. Hiyo ni juu yake.
Upende usipende, kwenye hili Yanga wamewapiga bao Simba.
Tutazidi kuangamia tu kwa kukosa maarifa, acha walau Azam watuamshe. Ina maana myama alichukuliwa mzima mzima na kucha zake kwa 10b tu??Klabu ya mpira haina uwanja wa mpira hata wa kupigia danadana halafu inajivunia kuwa na Tv, kweli utopolo ni utopolo.
Kwani we hukuangalia azam live?Ni media contract only?
Maana ni kama malengo ya mkataba hayajawekwa wazi kwenye uzi huu...
Otherwise wajenge sasa kile kiwanja chao
Halafu siyo kitu kigeni sema before ilikuwa kama hisani maana haikuwa na maslahi kwa vilabuSimba wataingia kama huo huo. Wamesema Azam wenyewe!
Hiyo ndio faida ya kufanya kazi na wasomi ,kina tido muhando , muliwata TBC pale kisha kwa akili zenu chafu ,mkaanza waundia zengwe baada yakuanza kuirudisha TBC kwenye ramani ,Ila huyu Jamaa Azam group kila kitu yeye hamna matajiri wengine jamani inamaana TANZANIA kuna tajiri mmoja tu mwenyewe idea za kutengeneza Pesa.
Sababu Azam media sifikiri hata inamiaka 10yrs lkn mambo inayo fanya na kujitanua kwenye media industry ni inakwenda speed ya ajabu.
MMUNGU aliye mpa kampa tu hawa jamaa wanaweza wakaja na idea ya kuuza hata MAVUMBI tu ya barabarani wakakamata soko vile vile.
Unachotaka kusema ni kwamba Bumbuli, Nugaz, Mwakalebela, Haji Mfikirwa, Senzo n.k hawaposti chochote kinachohusu Yanga SC kwenye social media accounts zao ?Kama wewe unaona ni number za kawaida, basi ndiyo maana timu zetu zipo hivi zilivyo
Hawa siyo miungu na si kwamba wanajua Kila kitu
Kurekebishana ni muhimu ili tuendelee. Sasa mwambie Hani asipost Mambo ya Simbilisi. Atawatuma a, na hapo ndiyo tunapokwama.
Ni wachache sana watakuelewa Mkuu,na kama kweli Simba walifuatwa wakagoma basi Mudi ndo alikataa,,na hapa ndo utagundua jamaa alivyo janja janja!Hata kama simba watafatwa na Azam deal halita kamilika sababu yule mudi anataka mpaka akiwa na hisa zake 49 deal izo zikiingia ndani pindi na yeye tayar ni mwenyekit ngoma igawike
Mikia bwana kwa kukulupuka soma comment ya niliyoMQUOTE na nilicho COMMENT mimiKwamba hilo deal limekuwa facilitated by Senzo au? [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa taarifa yako, baada ya Yanga ni Simba, tutakaa mmsifie pia Babra.
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah! Kwa hiyo mkataba ulivyosainiwa leo inaonyesha hizo pesa walikuwa wanapata siku zote kiasi kwamba huelewi kwa nini wanadaiwa mishahara ya wachezaji?Hizo fedha zinaenda wapi?..mbona wachezaji wanadai mishahara
Hata timu za Afrika kusini nyingi hazina viwanja vyaoMkuu acha umbumbumbu unaonekana mpiara umeanza fwatilia juzi tu hapa.
Ac Milan wana uwanja wa mpira?
Inter Milan wana uwanja wa mpira?