Yanga yaingia mkataba wa Tsh Bilioni 34.8 na Azam Media

Siku zote layman's mnakuwaga na confidence sana,hasa mkiona werevu wako kimya, mnajua kuwateka wajinga wenzenu,nakusoma hapa nabaki nacheka tu..
Keep laughing ....
It's good for you.
 
Keep laughing ....
It's good for you.
Layman's uwa mnanifurahisha sana!!lazima uweke na lugha ya malkia ili uonekane una shule[emoji23][emoji23][emoji23] layman's wa kibongo mna mbwembwe,sijajua ma-layman wa uko kwa malkia uwa wanachombeza kwa lugha gani kuwakamata mazumbukuku meupe?! Itakuwa wanaweka kiswahili kidogo,maana ma-layman ya uku yanachombeza ki-inglishi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ukisoma comment za uzi huu zinasikitisha sana. Unaona tabia halisi za watanzania wengi, kufuata mkumbo, kutopenda kujipa muda wa kuelewa mambo na chuki. Hawaelewi utamaduni wa soka letu ulivyo. Wanapenda kutazama kitu halisi kuliko kitu fikirishi.
 
Ukisoma comment za uzi huu zinasikitisha sana. Unaona tabia halisi za watanzania wengi, kufuata mkumbo, kutopenda kujipa muda wa kuelewa mambo na chuki. Hawaelewi utamaduni wa soka letu ulivyo. Wanapenda kutazama kitu halisi kuliko kitu fikirishi.
Ungeweka hicho kitu fikirishi watu wangekuona kweli wewe una hoja fikirishi
 
I thought you were laughing ....
Layman hujui kiswahili chake?
 
Concept ya azam media ku partner na Yanga katika rights za matangazo inawezekana umepitiliza kuelewa au haujaelewa kabisaaa.
 
Concept ya azam media ku partner na Yanga katika rights za matangazo inawezekana umepitiliza kuelewa au haujaelewa kabisaaa.
Ili kuokoa muda wetu, si ungeelezea concept ilivyo?
Na kurekebisha nilipoelewa tofauti ili nielewe vizuri.
Go str8 to the point .
 
Unajua kwa nini caf wamechagua timu kadhaa kubwa kushiriki league cup na simba ikiwemo toka afrika mashariki?
Hakuna timu ambayo imehakikishiwa kuwemo kwenye CAF super league. Yaliyopo ni hisia za waandishi wa michezo tu. Labda ulete ushahidi wako hapa ndio ntajibu swali lako.

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Unaposema kwamba Azam haja-base kwenye social media na anaiona kama ni mshindani wa TV una maana gani ?
Hebu tazama hizi picha za Instagram pekee za unayesema hayupo sana kwenye social media.



 
"Muulize mwandishi yeyote wa habari hapa Tanzania atakuambia mashabiki wa Yanga wanatumia sana Traditional Media (Press, TV na redio). Hata Yanga iwe chini vipi itaandikwa Front page. Hii ni plus kwenye ku-negotiate TV rights. Azam hawako sana kwenye social media. Kwa kifupi, hawako kabisa na huiangalia social media kama competition."

Hiyo statement siyo tu imejaa uongo uliokithiri bali inaleta kizunguzungu kuisoma.
Ili kuokoa muda wetu, si ungeelezea concept ilivyo?
Na kurekebisha nilipoelewa tofauti ili nielewe vizuri.
Go str8 to the point .
 

Sijui unaongelea nini wewe jamaa. Nachokwambia negotiations power inaletwa na popularity.

Anayefuatiliwa zaidi social media maana yake ni popular kuliko yule anayefuatiliwa kidogo.

Anayeenda kwenye page ya Simba ya Instagram kujua Bwalya, Onyango na Kagere wanaendeleaje na mazoezi pale Bunju, ndio huyohuyo ataenda kuwatazama Azam TV endapo watu hao (Bwalya, Onyango na Kagere) wataonyeshwa kwenye TV.

Wanachofuata watu ni "contents", kwahiyo kile kinachowapeleka social media kukitazama ndio hicho kitawapeleka kwenye TV.

Bottom line ni kwamba popularity ni advantage kwenye negotiations.

Hizi data zako kwamba Yanga ana mashabiki wengi wanaoifuatilia kwenye TV, ila kwenye social media hawana mpango nayo, inanipa ukakasi sana.
 
Tukiacha ushabiki wetu wa kawaida, watani zetu Mikia wana la kujiuliza kuhusu kiasi cha uwekezaji wa Mo. Huenda hiyo 19.5 B ikaonekana kiduchu.
Simba na Mo waboreshe kiwango cha fedha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…