Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 9,980
- 34,404
Nipo kipenzi...Miss you back Beshti.Upo dia? Au upp inje ya nji...miss you
Labda Mayele atakuwepo siku ya mwananchi day...
nadhani hivyo yani hajauzwa
Wacha tuone hiyo Jumamosi tutajua..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo kipenzi...Miss you back Beshti.Upo dia? Au upp inje ya nji...miss you
Labda Mayele atakuwepo siku ya mwananchi day...
nadhani hivyo yani hajauzwa
Thanx dia..wacha tusubiriNipo kipenzi...Miss you back Beshti.
Wacha tuone hiyo Jumamosi tutajua..
Andy Robertson alitoka timu gani kwenda liverWinga hatari anaweza kutoka kwenye timu iliyoshuka daraja kweli?
Kwa miaka 11 Skudu amecheza dakika 4422 sawa na mechi 50
Hersi anatuchukuliaje sisi wananchi?
Umeandika miaka 33 je anaweza kuwa kinda?Hatimaye Club ya Yanga imefanikisha kunasa saini ya mchezaji kinda kutoka Afrika Kusini anayeitwa Mahlatsi Makudubela (33) almaarufu kama Skudu.
Mchezaji huyo kinda (33) alikuwa anakipiga kwenye timu ya Marumo Gallants ya Afrika kusini iliyofika nusu fainali kombe la shirikisho Africa.
Kwa sasa Club yake ya zamani imeondolewa ligi kuu huko Afrika kusini kutokana na kutofanya vizuri na kusababisha ishuke daraja.
Mwana nusu fainali huyu alizua gumzo kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kutoka na tetesi zake za kujiunga na miamba ya Soka ya Jangwani.
Club ya Yanga imempa jezi namba 6 winga huyu na anatarajiwa kufanya makubwa sana.
Hii ni replacement nzuri ya Morrison.View attachment 2693016View attachment 2693017View attachment 2693018View attachment 2693019View attachment 2693020View attachment 2693021View attachment 2693022View attachment 2693023
Baraza la wazee linaongozwa na Boko na Mtibazonkiza.Mkude enzi yupo Simba..Uto walisema mnalundika wastaafu kambini mara anacheza kifaza..naona ameenda uto kuchukua pensheni na swahiba skudu...
[emoji196] [emoji196][emoji196]
Ushabiki unawafanya watu hata reasoning capacity inashukaAndy Robertson alitoka timu gani kwenda liver
Si kashakuja kwenu? Lazima mumpambeBaraza la wazee linaongozwa na Boko na Mtibazonkiza.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app