Ko nyie furaha yenu ni kufurahisha biashara ya GSM uku timu yenu ikiendelea kufanya viby?Wengi wao wajinga ndo maana waliitwa mbumbumbu na Ismail Aden Rage coz Ishu iko wazi kabisa siku ya mwananchi ni tar 29, wanataka timu ikae huko mpaka lini sasa?
Yaani hili limenishangaza na limenihuzunisha sana pamoja na kuwa ni mshabiki wa Yanga lakini naona uongozi wa Yanga hawana akili ya kujua kufanya vitu vya msingi. Yaani wanaona wiki ya mwananchi ni bora kuliko maandalizi ya klabu bingwa. Na shabiki anakuja kutamba hapa jukwaani juu ya wiki ya mwananchi sijui ujinga utatuisha liniKo nyie furaha yenu ni kufurahisha biashara ya GSM uku timu yenu ikiendelea kufanya viby?
Azam fc wenye akili wameona bora kusitisha Azam festival ili kujiandaa na mashindano. Afu nyie mnaongea utopolo wenu
Hapo hesabu zipo vizuri tu mkuu, tar 27 jioni msafara unatoka Morroco na kufika Dubai na tar 28 mapema tu timu inakuwa Imefika kambini na jioni yake yatafanyika mazoezi ya viungo ili kuweka mwili sawa na tar 29 asubuhi yatafanyika mazoezi ya mwisho na jioni timu itaingia kwenye mechi coz sio mechi ya kimashindano ila ni mechi ya kuwatambulisha wachezaji wapya na muhimu katika hilo wote watakuwepo
Ahsante
sasa kama mlijua kuna ufinyu wa ratiba kulikua na haja gani ya kwenda morocco kukaa siku 5 si kupoteza pesa bila sababu ya msingi au ni ulimbukeni kisa simba yupo kule na nyie ili muonekane mpo level moja na mnyama. Acheni ujuha mkwepa kodi jiesiemu atuachie yanga yetuKumbuka na kilele cha wananchi kipo mwisho wa wiki hii yaani Jumapili, Je utasafiri lini na kufika Dar es Salaam na pia uzinduzi wa jezi za wananchi lazima ufanyike Dar es Salaam kwa wachezaji wote
Kubali au kataa, Ratiba kwa timu ya wananchi ipo very tight, ukisema uendelee kukaa Morroco kuna mambo yaliyopo kwenye ratiba utaharibu
Tafadhali msiendeleee kubeba laana ya UMBUMBUMBU kwenye vichwa na maisha yenu
Yaaa hilo lipo wazi mkuu, coz match ya taifa stars ni tar 2 kama sio 3, kwahyo hii automatically ila wachezaji wengi wapya watakuwepo na kama sikosei wote watakuwepo pale taifa
Simba ni kama wanabebwa tangu mapemaaa!Yaah wapo sahihi kabisa wananchi ratiba yao haipo rafiki hivyo kwa vyovyote hawezi kukaa mpk mwisho wa wiki kule Morroco kama watani wao ambao ratiba yao ipo rafiki sana kwani wao mashindano yao yaanza mwezi wa tisa mwishoni kabisa na ndio maana hata simba day wamesogeza mbele kutoka na urafiki huo wa ratiba
Tafadhali sana naomba msiendeleee kuishikilia laana ya UMBUMBUMBU kwenye vichwa na maisha yenu enyi vizazi vya Mo dewji
Aisee 🤣🤣🤣Yanga wachoka kuliwa viboga huko morocco waamua kurudi bongo
Akili yako ndo inavyokutumaSimba ni kama wanabebwa tangu mapemaaa!
Mbona timu ya taifa ya congo ilitajwa muda tu ata yanga haijaenda uko ,ata ivyo sioni kama iyo sababu ya msingi kwa sababu je hao wachezaji waliobak ambao hawajaitwa timu ya taifa ina maana hawatafanya mazoez adi wenzao warudiTimu ya Taifa imeitwa katikati na tena ni juzi kati wakati timu za Taifa zipo kambini nchini Morroco na sisi tu ni nchi zote za Africa katika kufuzu kombe la dunia
Legeza misuli ya kichwa wewe mbumbumbu ndo utaelewa.Sasa hao si wangeendelea kubaki kambini mpaka hiyo tar 27? Eng Hersi anasema sababu kubwa ni “hali ya hewa ya joto kali” ndiyo imewafanya kuvunja kambi,wewe unatuletea sababu ya ratiba kuwa si rafiki.Nani tumwamini hapa? Anaesema hali ya hewa kuwa si rafiki au wewe?
Siku ya Mwananchi ni tar 29 Jumapili na mwisho wa wiki hii, unataka turudi lini ndugu mwandishi?Mbona timu ya taifa ya congo ilitajwa muda tu ata yanga haijaenda uko ,ata ivyo sioni kama iyo sababu ya msingi kwa sababu je hao wachezaji waliobak ambao hawajaitwa timu ya taifa ina maana hawatafanya mazoez adi wenzao warudi
Mbumbumbu at your own peak, hii laana ya Aden Rage ya UMBUMBUMBU inaendelea kuwatafunasasa kama mlijua kuna ufinyu wa ratiba kulikua na haja gani ya kwenda morocco kukaa siku 5 si kupoteza pesa bila sababu ya msingi au ni ulimbukeni kisa simba yupo kule na nyie ili muonekane mpo level moja na mnyama. Acheni ujuha mkwepa kodi jiesiemu atuachie yanga yetu
Kwani hilo fungu la Mwisho si linarudi trh 27? Au wao hawatakuwa kwenye wiki ya Mwananchi?Siku ya Mwananchi ni tar 29 Jumapili na mwisho wa wiki hii, unataka turudi lini ndugu mwandishi?
Legeza misuli ya kichwa na matako ndo utaelewa mbumbumbu ww, siku ya mwananchi ni tar 29 Jumapili na mwisho wa wiki hii, unataka timu ya wananchi ikae Morroco mpaka lini ndugu mwandishi?Mbona timu ya taifa ya congo ilitajwa muda tu ata yanga haijaenda uko ,ata ivyo sioni kama iyo sababu ya msingi kwa sababu je hao wachezaji waliobak ambao hawajaitwa timu ya taifa ina maana hawatafanya mazoez adi wenzao warudi
Ratiba aiwabani Yanga ila wao Yanga ndo wanajibana,kama wanajua ratiba inawabana kulikua na sababu ipi ya kuweka kambi Moroco mbali kote huko?,kwenda Moroco na kurudi kunatumia siku nne,kwenda siku mbili na kurudi siku mbili,wewe huoni kwamba wameharibu muda wa kujiandaa na mechi zao ngao ya hisani na CAFCL?Kumbuka na kilele cha wananchi kipo mwisho wa wiki hii yaani Jumapili, Je utasafiri lini na kufika Dar es Salaam na pia uzinduzi wa jezi za wananchi lazima ufanyike Dar es Salaam kwa wachezaji wote
Kubali au kataa, Ratiba kwa timu ya wananchi ipo very tight, ukisema uendelee kukaa Morroco kuna mambo yaliyopo kwenye ratiba utaharibu
Tafadhali msiendeleee kubeba laana ya UMBUMBUMBU kwenye vichwa na maisha yenu