Yanga yatoka rasmi mashindano ya CAF, hakuna muujiza utaweza kuwasaidia

oh wametoka kweli yanga
 
Deal done [emoji4]
 
Mleta Uzi angekuwa muungwana angeitoa Hoja ya Uzi wake huu 😀
 
Sare na Al Ahly ni mutual exclusive ni sawa na mtu aliyeambiwa avae boxer kisha avuke maji ya shingo bila pumb kulowa.

WE utaweza?
Leo umefundishwa kuwa mpira sio sawa na kukuna nazi huku unaimba nyimbo za taarabu za mipasho bali ni kujipanga. Umejifanya mjuaji sana na mpiga ramli kwa Yanga. Umeumbuka kilichokuwa kigumu zaidi ya hiyo kutoa sare Cairo leo kimefanyijka. Yanga kaishamaliza hesabu zake nyie subirini wiki ijayo
 
Unalo,je,unapakujificha,je,kesho utatoka hukomafichonike na Je upo tayari kwa ubatizo mpya urudi nyumbani kumenoga naomba majibu tafadhali huku nikiwa full shangwe nikishangweka kwa raha na furaha tele.
 
the teh teh
 

Unahali gani huko uliko waliwabata
 
Mungu kakulaaani mpira sio mchezo wa mdomoni ni mchezo wa uwanjani sawa ndugu acha kuwachukulia poa Yanga SC wewe
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…