T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Hii ID kuna muda ilipotea nikahisi au ndio basi tenaUkionewa wivu ndio unapendwa mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ID kuna muda ilipotea nikahisi au ndio basi tenaUkionewa wivu ndio unapendwa mkuu
Wanaume hawawezi kuzidi peke yao. Lazima na wewe uzidi apate wa kuchepuka nae.Mmezidi sana 😅
Unarudi unanukiaSabuni za kuogea wakati mwingine shida sana.
😂😂😂😂😂😂Unarudi unanukia View attachment 3218023
Huwa namwambiaga wapi weweeee unajifanya Thiyayei huku naigilizia kithembe ...tunataniana sana, ila nilibaki njia kuu maana ni mateso kugawa upendoWajannja sana mkuu,😂😂
Je matokeo ya huko pia mirejesho inarudi au inaishia mumo kwa mumo?Nyie waswali poleni sana sisi huku mkoani mwanamke unamuanga kabsa kwamba leo sitalala nyumbani naenda kulala kwa dada yako.
Na ukimuuliza hilo swali ndio anazidi kununa hapo bila reforms hakuna erection😃😂😂😂😂😂😂
Kwamba ni sabuni ya gesti
Sasa yeye ameijuaje ni ya gesti????😂😂
Hapo umepatia, hawa ni kuishi nao kwa akili sanaHahhahaha
#noreforms noerections au sio??
Alafu wao eti hawataki uwaoji, wanasema unamuonea , ila yeye anakuwa interpol kabisa kwako
I once had a woman, ikifika March she becomes weird, kumuuliza anasema ikifikaga March anakuwa na mood swings mbaya kabisa, I was amused ila i came to realize women are sometimes like that.. Anyways Sometimes things happen but some things should never happen.Especially in full moon
Yeah for sure, somethings should never happenI once had a woman, ikifika March she becomes weird, kumuuliza anasema ikifikaga March anakuwa na mood swings mbaya kabisa, I was amused ila i came to realize women are sometimes like that.. Anyways Sometimes things happen but some things should never happen.