Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Acha uzushi. Kwani umewachunguza wanawake wote? Je wanaume hawawachunguzi wanawake? Kwanini unaogopa kuchunguzwa kama hakuna namna mwanangu?Women are smart, yooo.
Anakunusa kiaina, anacheza na saikolojia hapo hapo, anajaribu "mind reading", anakuangalia kwa jicho la tatu, etc
Yani wewe unaona mtu anasmile ile amekupokea ila ghafla unashangaa mood swings zinaanza😂😂