The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Unaweza kuweka vivid evidence ya kua Idd Amini alikua anakula nyama za watu na alitupa vilema mto Kagera?tutajie maendeleo yeyote aliyoyafanay idi amini kwa kipindi chote alichotawala, zaidi ya kufukuza wahindi na kunyangánya/kuua biashara zao, kutupa vilema mto kagera, kula nyama za watu na kulala na wanawake.
Upo sahihi kabisa mkuu,Kula nyama za watu mi uwa naamini ni uongo walikuwa wanamchafua ili aonekane wa hovyo.Imagine Magu hapa alijaribu kutupeleka kibabe kidogo na maendeleo tuliyaone tena kwa kasi sana but ni mangapi mabaya amesemwa na mabeberu na sisi wenyewe?Hivi tungelipata kina Magu km watano wakiongoza kwa kufululiza kwa style ya kibabe unadhani hii nchi ingefika wapi kimaendeleo!Tulingelifika mbali.Nakwambia nchi zetu bado zinahitaji viongozi wababe ili zisonge,naunga mkono mada kwani bado tunawihataji kina Idd Amin,kina Gaddaf,kina Magu ili tusonge mbele,wabongo sie tukiongozwa kwa kubembelezwa hatuwezekani tena.
Mfuate sasa huko alikoI stand with the Late Idd Amin
Basi nipeni Mimi nchi ili niwapelekeshe kibabe.Kula nyama za watu mi uwa naamini ni uongo walikuwa wanamchafua ili aonekane wa hovyo.Imagine Magu hapa alijaribu kutupeleka kibabe kidogo na maendeleo tuliyaone tena kwa kasi sana but ni mangapi mabaya amesemwa na mabeberu na sisi wenyewe?Hivi tungelipata kina Magu km watano wakiongoza kwa kufululiza kwa style ya kibabe unadhani hii nchi ingefika wapi kimaendeleo!Tulingelifika mbali.Nakwambia nchi zetu bado zinahitaji viongozi wababe ili zisonge,naunga mkono mada kwani bado tunawihataji kina Idd Amin,kina Gaddaf,kina Magu ili tusonge mbele,wabongo sie tukiongozwa kwa kubembelezwa hatuwezekani tena.
Asante,kwani kila mtu ana uelewa wake, wangu ni huo na wako sijauona.Kwangu Fatique alizozifanya Magu naziona poa,zikipata muendelezo au mtu wa kiziendeleza itakuwa poa kwangu kabisaMaendeleo ya kuandika kwa kuunganisha maneno kama ulivyofanya?
Kama unaona Magu alileta maendeleo unamatatizo makubwa ya kufikiri nyie ndio mnaweza hata kumwabudu shetani
Huko kuzimu ulishawahi fika ama unahadithiwa tu!!!Dikteta yeyeto ni ajent wa kuzimu
Safi sanaUpo sahihi kabisa mkuu,
Nchi kama Ujerumani imekua ni nchi tajiri zaidi Europe yenye viwanda vingi kwa usimamizi na matokeo ya utawala wa Adolf Hitler,
Russia tunayoiona leo ni matokeo ya utawala wa Joseph Stalin ambao haukua unalea wazembe au wezi wa mali za umma,
China ya leo ipo juu kiuchumi kwa utawala wa Mao Zedong ambao haukulea wazembe na wezi,
Nchi nyingi za Europe na America zimeweka demokrasia baada ya kupiga hatua kubwa kiuchumi,kuyafikia maendeleo hua kuna gharama zake,maendeleo hayaji kwa kulala usingizi au kulea wazembe na wezi.
Hopeless Creature una Ushahidi gani kuwa Marehemu Idi Amin Dada alikuwa akila Nyama za Watu? Alishakula yako au ya Dada yako? Kuna Watu ni Mapopoma ( hamna Akili ) hadi nashangaa kwanini Covid-19 haikuondoka nanyi tu ili tubaki na wenye kujua Kufikiri.tutajie maendeleo yeyote aliyoyafanay idi amini kwa kipindi chote alichotawala, zaidi ya kufukuza wahindi na kunyangánya/kuua biashara zao, kutupa vilema mto kagera, kula nyama za watu na kulala na wanawake.
Hata Mimi Mkuu huyu nilikuwa namchukia ila nimekuja Kumtafakari vyema, Kumsoma vyema na hata Kuwahoji Wazee wa Uganda nimegundua Kiuongozi hakuwa na baya japo Kiubinadamu kama tulivyo Wengine nae alikuwa na Mapungufu yake.I stand with the Late Idd Amin
Dadako ananinyima ya kwa Mpalange.
Kwa ushahidi wa elimu ya mambo yasiyoonekana.Huko kuzimu ulishawahi fika ama unahadithiwa tu!!!
Safi sana Mkuu. Huwa napenda mno Intelligent JamiiForums Members kama Wewe na siyo hii Mipopoma ( Mipumbavu ) mingi ambayo imekurupuka Kuchangia huu Uzi wangu pasipo hata tu kufanya Critical Analysis juu ya uliokuwa Utawala wa Marehemu Idi Amin Dada, Propaganda za Magharibi na Uhalisia wake Kamili Kitabia na Kimaisha.Kula nyama za watu mi uwa naamini ni uongo walikuwa wanamchafua ili aonekane wa hovyo.Imagine Magu hapa alijaribu kutupeleka kibabe kidogo na maendeleo tuliyaone tena kwa kasi sana but ni mangapi mabaya amesemwa na mabeberu na sisi wenyewe?Hivi tungelipata kina Magu km watano wakiongoza kwa kufululiza kwa style ya kibabe unadhani hii nchi ingefika wapi kimaendeleo!Tulingelifika mbali.Nakwambia nchi zetu bado zinahitaji viongozi wababe ili zisonge,naunga mkono mada kwani bado tunawihataji kina Idd Amin,kina Gaddaf,kina Magu ili tusonge mbele,wabongo sie tukiongozwa kwa kubembelezwa hatuwezekani tena.
Fatique za kupiga risasi kina Lissu na kawaita wasaliti?Asante,kwani kila mtu ana uelewa wake, wangu ni huo na wako sijauona.Kwangu Fatique alizozifanya Magu naziona poa,zikipata muendelezo au mtu wa kiziendeleza itakuwa poa kwangu kabisa
Mkuu kwa IQ Kubwa uliyonayo hapa JamiiForums huwa unapata wapi muda wa Kupoteza wa Kujibizana na hilo Juha ( Popoma ) na hiyo Mipopoma ( Mijuha ) mingine?Unaweza kuweka vivid evidence ya kua Idd Amini alikua anakula nyama za watu na alitupa vilema mto Kagera?
Asante Mkuu na Siku zote GENTAMYCINE huwa naungwa mkono Hoja zangu na Watu Werevu ( Einsteins ) tu kama Wewe hapa JamiiForums na Wachache, ila Sikubaliki, Sieleweki na Kutwa nachukiwa na Mipopoma ( Mijuha ) mingi mno.Naunga mkono hoja.
GENTAMYCINE
Chief You are very Intelligent Creature!!Upo sahihi kabisa mkuu,
Nchi kama Ujerumani imekua ni nchi tajiri zaidi Europe yenye viwanda vingi kwa usimamizi na matokeo ya utawala wa Adolf Hitler,
Russia tunayoiona leo ni matokeo ya utawala wa Joseph Stalin ambao haukua unalea wazembe au wezi wa mali za umma,
China ya leo ipo juu kiuchumi kwa utawala wa Mao Zedong ambao haukulea wazembe na wezi,
Nchi nyingi za Europe na America zimeweka demokrasia baada ya kupiga hatua kubwa kiuchumi,kuyafikia maendeleo hua kuna gharama zake,maendeleo hayaji kwa kulala usingizi au kulea wazembe na wezi.
Lakini aliuwa watuHopeless Creature una Ushahidi gani kuwa Marehemu Idi Amin Dada alikuwa akila Nyama za Watu? Alishakula yako au ya Dada yako? Kuna Watu ni Mapopoma ( hamna Akili ) hadi nashangaa kwanini Covid-19 haikuondoka nanyi tu ili tubaki na wenye kujua Kufikiri.
Mimi natamani kuujua ukwwli zaidi ya ule tuliofundishwa tukiwa wadogo kuwa jamaa alikuwa katili akiwala wanawake na kuwaua....tena jambazi na shetani!