Yawezekana kama Mwanadamu Idi Amin alikuwa na Mapungufu yake ila nimegundua Afrika ya leo iliwahitaji akina Amin wengi ili kupiga hatua

Yawezekana kama Mwanadamu Idi Amin alikuwa na Mapungufu yake ila nimegundua Afrika ya leo iliwahitaji akina Amin wengi ili kupiga hatua

Leo tunamlilia Idd Amin, kuwa alikuwa na mazuri yake. Lakini ni sisi hawa hawa tunaomtukana Magufuli. Tunamuona hakufaa! Waafrika hatujui tunachokihitaji. Nakumbuka nyakati fulani za Kikwete, watu walilalamika kuwa ni dhaifu. Wakasema imefikia wakati Tanzania tupate Rais ambae ni mkali, walau dikiteta kidogo ili nchi inyooke.

Mungu akasikia swala zetu, akatuletea Magufuli. Yaani sikuamini, alitukanwa na kubezwa. Mungu akamchukua, lakini kivuli chake bado kinawatesa watu, wanaendelea mtukana hata kama kesha tangulia mbele ya haki. Waafrika hatueleweki, tunajipendekeza tu.

Idd Amini alikuwa ni kiongozi mzuri sana, na mfananisha na Magufuli. Iddi Amini akubabaishwa na mataifa ya nje. Aliitetea Uganda. Aliwezesha wanawake wa Uganda kushika nafasi mbalimbali katika utumishi. Alipenda kunyanyua kipato cha waganda. Alipokuwa mwenyekiti wa umoja wa Afrika kwa wakati huo, alipendekeza liundwe jeshi la Afrika likamtoe mzungu kule Zimbabwe au Rhodesia. Alikuwa na mawazo ya kufanya Afrika yenye nguvu inayojiamulia mambo yake yenyewe.

Hata sasa wangada wamegundua Idd Amin hakuwa na mabaya tu, bali kuna mazuri aliyo tenda. Hivyo wamekuwa na maonesho maalum kila mwaka ya kumbukizi ya Idd Amin kwa yale aloyafanya wakati wa utawala wake. Ikilenga kuona alivyoipigania Uganda.

Wazungu wanataka uwarambe miguu ili wakusifie na kukutangaza dunia nzima. Mandela katoka Gerezani, hakuna alichofanya kwa wananchi wake hasa weusi. Bado ni masikini wa kutupwa. Leo Mandela anahesabika shujaa. Uwa najiuliza ushujaa wa Mandela ni nini? Ulaya na Marekani hadi Asia na hata Arabuni, nchi hizi zimepiga hatua kwakua na viongozi wenye misimamo wanaotazama maslahi ya nchi, na ni wababe.

Leo sisi tunaabudu wazungu. Hivi China ingekuwa inaabudu wazungu ingefika hapo ilipo? Nchi za Mashariki ya kati nazo je? Libya walianza waabudu tazama walivyowaharibia nchi kisha wamekimbia. Ebu tusimame na miguu yetu. Mzungu alivyo anapenda kuabudiwa, mzungu anaamini kuwa mtu mweusi ni binadamu wa mwisho katika dunia. So hata ujipendekeze vipi, atakuona weye ni mtu usiefaa, atakutumia kwa maslahi yake tu. Japo ni wachache sana tena individual wenye kuthamini utu wa mwafrika mweusi.

Nchi kama nchi tupo tupo tu, hatujui nini maono yetu. Kila wakati tunakaa kusifia wazungu, nakujikomba kwao. Wakati nchi inawasomi tena tuna vijana wana akili sana za ubunifu na utafiti. Hatuna mpango wa kuwekeza katika tafiti. Ndo maana hadi leo maadui watatu toka uhuru hatujafanikiwa kuwamaliza.

Hivi ni kweli tunashindwa kujipanga na kuhakikisha kuwa tunakuwa na huduma ya afya iliyo bora kwa kila mtanzania? Hivi tunashindwa kujipanga kuhakikisha tuna elimu nzuri ya kisasa kwa kila mtanzania?

nashukuru nimewahi fanya kazi serikalini nilijifunza mengi na kushangaa mengi. Kwa staili iliyopo, na viongozi wetu. Tanzania tutabaki tulivyo hata miaka mia ijayo. Tuombe Mungu tupate viongozi watakaofikiria Taifa na si kujifikiria wao na wapambe wao.

Kuna hizi ofisi za wakurugenzi, ebu jiulize ni kitu gani wanakifanya katika halmashauri zao na wananchi wa eneo husika wakafaidika? Wanamipango isiyotekelezeka. Kila mwaka ni ileile utasikia mchakato wawawawa....kujenga....na nana....
Miji yetu mingi haina Maktaba, haina huduma nzuri za afya, haina miundo mbinu. Lakini bajeti zinapangwa. Wamama wajawazito wanakufa kwa kukosa huduma. Huku wakurugenzi na wakuu wa idara wakiishi maisha ya kifahari na familia zao.

Naongea haya kwa machungu kwa sababu najua. Tanzania bila ubabe hakuna kitakacho fanyika. Mie mwenyewe wakati niko huko nilikuwa mbabe ili huduma ifanyike. Nilichukiwa. Nilipata malalamiko mbalimbali, watu kukataliwa kupewa huduma hospitali, nililazimika kwenda nao hospitali kulazimisha wapewe huduma. Nilitumia ubabe wanafunzi kusoma hata kama hajalipa ada. Wananchi kunyang'anywa mali zao, wengine kuuwawa.

Nilitumia ubabe kulazimisha polisi kutowaweka ndani watu bila dhamana, sikuangalia mambo ya chama. Baadhi ya viongozi ndo waliodhurumu haki za wananchi. Nilikataa hiyo dhuruma. Nilikataa fedha yoyote ya zawadi au asante kutoka kwa mtu binafsi, halmashauri, au idara yoyote ile ya serikali. Ila ili uweze haya yote inabidi uikane nafsi yako, na kuishi maisha ya kawaida.

Bila ubabe tusidanganyike kwa tanzania yetu tutaendelea kuwa tulivyo. Nimeandika haya yote na kutoa mifano kuonesha tu, bila uzalendo, na wakati mwingine ubabe hakuna kitakachofanyika.
Hapo ulipo agiza chochote ntakuja kukulipia!

Umemalizaaaaa, kweli watanzania mpaka sasa hatujuwi tunataka nini

Ova
 
Ugomvi wake na wahindi ulikuwa kwanini wajihesabie ni waganda, ilhali wanajitenga na waganda (ubaguzi kwa waganda weusi). Kitu kingine kilimkera Amin ni wengi wa watoto wa kihindi waliosomeshwa na serikali katika fani mbali mbali zinazohitaji utaalamu, tena nje ya nchi na kwa gharama, hawakurudi kuitumikia nchi, badala yake waliingia sekta binafsi ambazo huduma zake wananchi wa kawaida hawakuzimudu.

Alijaribu kuongea nao kuhusu hili na mengine, ila jamaa hawakumsikia. Mwisho wa siku akawaambia kama wamegoma kuishi kama waganda, wabebe vyote vilivyo vyao na waende zao ndani ya siku 100.

Amin alikuwa zaidi ya Nyerere na Western propaganda. Jaribu kusoma zaidi. Unaweza kuta Mwendazake kafanya uovu zaidi ya jamaa(facts).
Ongezea pia, wahindi hela waliyokuwa wakipata walikuwa wanahamisha nje, makwao

Ova
 
Fatique za kupiga risasi kina Lissu na kawaita wasaliti?
Hata hivo ulivonijibu mwanzoni nilijua kbs Wewe umejibu kiupinzani badala ya kufikiri unaweza kumpenda anaetaka kumwaga ugali wako na watoto wako nyumbani?Mie nikiona unataka kuniharibia kibarua changu huwezi pona hakika.Mambo ya risasi hizo zaweza kuwa chuki binafsi na si cheo,unoko una gharama zake bro
 
Sijawahi kuona au kusikia Lincoln, King Leopold II, Alexander the great na wengine wengi wakitajwa kuonekana kule pamoja na kuua watu wengi
Lakini pia walikua na umaarufu mkubwa hapa duniani kuliko hata hao kina Idd amini
Hata kama awatajwi haimaaishi hawapo kule, kuzimu magereza yapo mengi na selo zipo nyingi na vitengo vipo vipi,KILA dhambi Wana selo zao,
 
Leo tunamlilia Idd Amin, kuwa alikuwa na mazuri yake. Lakini ni sisi hawa hawa tunaomtukana Magufuli. Tunamuona hakufaa! Waafrika hatujui tunachokihitaji. Nakumbuka nyakati fulani za Kikwete, watu walilalamika kuwa ni dhaifu. Wakasema imefikia wakati Tanzania tupate Rais ambae ni mkali, walau dikiteta kidogo ili nchi inyooke.

Mungu akasikia swala zetu, akatuletea Magufuli. Yaani sikuamini, alitukanwa na kubezwa. Mungu akamchukua, lakini kivuli chake bado kinawatesa watu, wanaendelea mtukana hata kama kesha tangulia mbele ya haki. Waafrika hatueleweki, tunajipendekeza tu.

Idd Amini alikuwa ni kiongozi mzuri sana, na mfananisha na Magufuli. Iddi Amini akubabaishwa na mataifa ya nje. Aliitetea Uganda. Aliwezesha wanawake wa Uganda kushika nafasi mbalimbali katika utumishi. Alipenda kunyanyua kipato cha waganda. Alipokuwa mwenyekiti wa umoja wa Afrika kwa wakati huo, alipendekeza liundwe jeshi la Afrika likamtoe mzungu kule Zimbabwe au Rhodesia. Alikuwa na mawazo ya kufanya Afrika yenye nguvu inayojiamulia mambo yake yenyewe.

Hata sasa wangada wamegundua Idd Amin hakuwa na mabaya tu, bali kuna mazuri aliyo tenda. Hivyo wamekuwa na maonesho maalum kila mwaka ya kumbukizi ya Idd Amin kwa yale aloyafanya wakati wa utawala wake. Ikilenga kuona alivyoipigania Uganda.

Wazungu wanataka uwarambe miguu ili wakusifie na kukutangaza dunia nzima. Mandela katoka Gerezani, hakuna alichofanya kwa wananchi wake hasa weusi. Bado ni masikini wa kutupwa. Leo Mandela anahesabika shujaa. Uwa najiuliza ushujaa wa Mandela ni nini? Ulaya na Marekani hadi Asia na hata Arabuni, nchi hizi zimepiga hatua kwakua na viongozi wenye misimamo wanaotazama maslahi ya nchi, na ni wababe.

Leo sisi tunaabudu wazungu. Hivi China ingekuwa inaabudu wazungu ingefika hapo ilipo? Nchi za Mashariki ya kati nazo je? Libya walianza waabudu tazama walivyowaharibia nchi kisha wamekimbia. Ebu tusimame na miguu yetu. Mzungu alivyo anapenda kuabudiwa, mzungu anaamini kuwa mtu mweusi ni binadamu wa mwisho katika dunia. So hata ujipendekeze vipi, atakuona weye ni mtu usiefaa, atakutumia kwa maslahi yake tu. Japo ni wachache sana tena individual wenye kuthamini utu wa mwafrika mweusi.

Nchi kama nchi tupo tupo tu, hatujui nini maono yetu. Kila wakati tunakaa kusifia wazungu, nakujikomba kwao. Wakati nchi inawasomi tena tuna vijana wana akili sana za ubunifu na utafiti. Hatuna mpango wa kuwekeza katika tafiti. Ndo maana hadi leo maadui watatu toka uhuru hatujafanikiwa kuwamaliza.

Hivi ni kweli tunashindwa kujipanga na kuhakikisha kuwa tunakuwa na huduma ya afya iliyo bora kwa kila mtanzania? Hivi tunashindwa kujipanga kuhakikisha tuna elimu nzuri ya kisasa kwa kila mtanzania?

nashukuru nimewahi fanya kazi serikalini nilijifunza mengi na kushangaa mengi. Kwa staili iliyopo, na viongozi wetu. Tanzania tutabaki tulivyo hata miaka mia ijayo. Tuombe Mungu tupate viongozi watakaofikiria Taifa na si kujifikiria wao na wapambe wao.

Kuna hizi ofisi za wakurugenzi, ebu jiulize ni kitu gani wanakifanya katika halmashauri zao na wananchi wa eneo husika wakafaidika? Wanamipango isiyotekelezeka. Kila mwaka ni ileile utasikia mchakato wawawawa....kujenga....na nana....
Miji yetu mingi haina Maktaba, haina huduma nzuri za afya, haina miundo mbinu. Lakini bajeti zinapangwa. Wamama wajawazito wanakufa kwa kukosa huduma. Huku wakurugenzi na wakuu wa idara wakiishi maisha ya kifahari na familia zao.

Naongea haya kwa machungu kwa sababu najua. Tanzania bila ubabe hakuna kitakacho fanyika. Mie mwenyewe wakati niko huko nilikuwa mbabe ili huduma ifanyike. Nilichukiwa. Nilipata malalamiko mbalimbali, watu kukataliwa kupewa huduma hospitali, nililazimika kwenda nao hospitali kulazimisha wapewe huduma. Nilitumia ubabe wanafunzi kusoma hata kama hajalipa ada. Wananchi kunyang'anywa mali zao, wengine kuuwawa.

Nilitumia ubabe kulazimisha polisi kutowaweka ndani watu bila dhamana, sikuangalia mambo ya chama. Baadhi ya viongozi ndo waliodhurumu haki za wananchi. Nilikataa hiyo dhuruma. Nilikataa fedha yoyote ya zawadi au asante kutoka kwa mtu binafsi, halmashauri, au idara yoyote ile ya serikali. Ila ili uweze haya yote inabidi uikane nafsi yako, na kuishi maisha ya kawaida.

Bila ubabe tusidanganyike kwa tanzania yetu tutaendelea kuwa tulivyo. Nimeandika haya yote na kutoa mifano kuonesha tu, bila uzalendo, na wakati mwingine ubabe hakuna kitakachofanyika.
Umemalizaaaa kabisa ndugu
 
Angewapenda wananchi wake wangempigania sio kunsaliti kama walivyokuja kumsaliti Ibilisi mwenzie Gadaffi!

Ona rais wa Ukraine anavyopiganiwa na wananchi wake, rais ukiwa mwovu vita ikitokea wananchi watakusaliti tu
Unataka kusema wale waliyomuahidi Lissu kuwa wataingia barabarani kuandamana vyovyote vile itakavyokuwa ila mwisho hawakutokea ina maana walimsaliti na hivyo tatizo ni Lissu?
 
Kupata nguvu gani tena kwani majeshi hunywa damu?
Shetani umpa dikteta nguvu na mamlaka na uwezo wa kutawala dikteta umlipa shetani kafara ya damu za watu kwa kuwaua.Mfano mugabe ameua watu 2000,hayupo dikteta ambae ajaua mtu Ili kumfurahisha shetani.
 
Shetani umpa dikteta nguvu na mamlaka na uwezo wa kutawala dikteta umlipa shetani kafara ya damu za watu kwa kuwaua.Mfano mugabe ameua watu 2000,hayupo dikteta ambae ajaua mtu Ili kumfurahisha shetani.
Nimekuuliza nguvu gani hizo maana nguvu za dikteta hutoka kwa jeshi tu ndio maana hata huyo Mugabe jeshi lilipompiga chini akawa si lolote wala chochote sasa hizo nguvu unazosema wewe alizonazo dikteta ni zipi?
 
Unataka kusema wale waliyomuahidi Lissu kuwa wataingia barabarani kuandamana vyovyote vile itakavyokuwa ila mwisho hawakutokea ina maana walimsaliti na hivyo tatizo ni Lissu?
Una akili ndogo kama mwenyekiti wa chama chenu...kazi kurembua tu
 
Leo tunamlilia Idd Amin, kuwa alikuwa na mazuri yake. Lakini ni sisi hawa hawa tunaomtukana Magufuli. Tunamuona hakufaa! Waafrika hatujui tunachokihitaji. Nakumbuka nyakati fulani za Kikwete, watu walilalamika kuwa ni dhaifu. Wakasema imefikia wakati Tanzania tupate Rais ambae ni mkali, walau dikiteta kidogo ili nchi inyooke.

Mungu akasikia swala zetu, akatuletea Magufuli. Yaani sikuamini, alitukanwa na kubezwa. Mungu akamchukua, lakini kivuli chake bado kinawatesa watu, wanaendelea mtukana hata kama kesha tangulia mbele ya haki. Waafrika hatueleweki, tunajipendekeza tu.

Idd Amini alikuwa ni kiongozi mzuri sana, na mfananisha na Magufuli. Iddi Amini akubabaishwa na mataifa ya nje. Aliitetea Uganda. Aliwezesha wanawake wa Uganda kushika nafasi mbalimbali katika utumishi. Alipenda kunyanyua kipato cha waganda. Alipokuwa mwenyekiti wa umoja wa Afrika kwa wakati huo, alipendekeza liundwe jeshi la Afrika likamtoe mzungu kule Zimbabwe au Rhodesia. Alikuwa na mawazo ya kufanya Afrika yenye nguvu inayojiamulia mambo yake yenyewe.

Hata sasa wangada wamegundua Idd Amin hakuwa na mabaya tu, bali kuna mazuri aliyo tenda. Hivyo wamekuwa na maonesho maalum kila mwaka ya kumbukizi ya Idd Amin kwa yale aloyafanya wakati wa utawala wake. Ikilenga kuona alivyoipigania Uganda.

Wazungu wanataka uwarambe miguu ili wakusifie na kukutangaza dunia nzima. Mandela katoka Gerezani, hakuna alichofanya kwa wananchi wake hasa weusi. Bado ni masikini wa kutupwa. Leo Mandela anahesabika shujaa. Uwa najiuliza ushujaa wa Mandela ni nini? Ulaya na Marekani hadi Asia na hata Arabuni, nchi hizi zimepiga hatua kwakua na viongozi wenye misimamo wanaotazama maslahi ya nchi, na ni wababe.

Leo sisi tunaabudu wazungu. Hivi China ingekuwa inaabudu wazungu ingefika hapo ilipo? Nchi za Mashariki ya kati nazo je? Libya walianza waabudu tazama walivyowaharibia nchi kisha wamekimbia. Ebu tusimame na miguu yetu. Mzungu alivyo anapenda kuabudiwa, mzungu anaamini kuwa mtu mweusi ni binadamu wa mwisho katika dunia. So hata ujipendekeze vipi, atakuona weye ni mtu usiefaa, atakutumia kwa maslahi yake tu. Japo ni wachache sana tena individual wenye kuthamini utu wa mwafrika mweusi.

Nchi kama nchi tupo tupo tu, hatujui nini maono yetu. Kila wakati tunakaa kusifia wazungu, nakujikomba kwao. Wakati nchi inawasomi tena tuna vijana wana akili sana za ubunifu na utafiti. Hatuna mpango wa kuwekeza katika tafiti. Ndo maana hadi leo maadui watatu toka uhuru hatujafanikiwa kuwamaliza.

Hivi ni kweli tunashindwa kujipanga na kuhakikisha kuwa tunakuwa na huduma ya afya iliyo bora kwa kila mtanzania? Hivi tunashindwa kujipanga kuhakikisha tuna elimu nzuri ya kisasa kwa kila mtanzania?

nashukuru nimewahi fanya kazi serikalini nilijifunza mengi na kushangaa mengi. Kwa staili iliyopo, na viongozi wetu. Tanzania tutabaki tulivyo hata miaka mia ijayo. Tuombe Mungu tupate viongozi watakaofikiria Taifa na si kujifikiria wao na wapambe wao.

Kuna hizi ofisi za wakurugenzi, ebu jiulize ni kitu gani wanakifanya katika halmashauri zao na wananchi wa eneo husika wakafaidika? Wanamipango isiyotekelezeka. Kila mwaka ni ileile utasikia mchakato wawawawa....kujenga....na nana....
Miji yetu mingi haina Maktaba, haina huduma nzuri za afya, haina miundo mbinu. Lakini bajeti zinapangwa. Wamama wajawazito wanakufa kwa kukosa huduma. Huku wakurugenzi na wakuu wa idara wakiishi maisha ya kifahari na familia zao.

Naongea haya kwa machungu kwa sababu najua. Tanzania bila ubabe hakuna kitakacho fanyika. Mie mwenyewe wakati niko huko nilikuwa mbabe ili huduma ifanyike. Nilichukiwa. Nilipata malalamiko mbalimbali, watu kukataliwa kupewa huduma hospitali, nililazimika kwenda nao hospitali kulazimisha wapewe huduma. Nilitumia ubabe wanafunzi kusoma hata kama hajalipa ada. Wananchi kunyang'anywa mali zao, wengine kuuwawa.

Nilitumia ubabe kulazimisha polisi kutowaweka ndani watu bila dhamana, sikuangalia mambo ya chama. Baadhi ya viongozi ndo waliodhurumu haki za wananchi. Nilikataa hiyo dhuruma. Nilikataa fedha yoyote ya zawadi au asante kutoka kwa mtu binafsi, halmashauri, au idara yoyote ile ya serikali. Ila ili uweze haya yote inabidi uikane nafsi yako, na kuishi maisha ya kawaida.

Bila ubabe tusidanganyike kwa tanzania yetu tutaendelea kuwa tulivyo. Nimeandika haya yote na kutoa mifano kuonesha tu, bila uzalendo, na wakati mwingine ubabe hakuna kitakachofanyika.
One sided News zilituharibu sana kuhusu Idd A. Dada.
Sawa sawa na wengi tunaojaribu kubeza kila jambo lililofanywa na serikali ya awamu ya tano. Cha kushangaza hata wale waliokuwa waandamizi serikalini.
 
One sided News zilituharibu sana kuhusu Idd A. Dada.
Sawa sawa na wengi tunaojaribu kubeza kila jambo lililofanywa na serikali ya awamu ya tano. Cha kushangaza hata wale waliokuwa waandamizi serikalini.
Hata kwa waliyoishi Uganda enzi zake wanakuambia jamaa hakuwa mmbaya kihivyo

Ova
 
One sided News zilituharibu sana kuhusu Idd A. Dada.
Sawa sawa na wengi tunaojaribu kubeza kila jambo lililofanywa na serikali ya awamu ya tano. Cha kushangaza hata wale waliokuwa waandamizi serikalini.
Tatizo watanzania hawajui nini wanataka

Ova
 
Tatizo watanzania hawajui nini wanataka
Ni kweli asee!
Chanzo kikubwa ni watu wa media.
Wanahabari huamua kwa makusudi kuchagua kutuhabarisha kile wanataka wao kwa masilahi yao bila kujali uhalisia wa mambo.
 
Idd Amin.... My president of all the time

Nadhan Hadi dunia inakunjwakunjwa na mola kama karatasi hakutakuja tokea "IDDI" mwingine nchini kampala

Go.....IDDI Go....... vizuri havidumu!
 
Kwa Mtanzania kumshabikia Iddi Amini ni Uhaini, haustahili kuishi
 
Nimekuuliza nguvu gani hizo maana nguvu za dikteta hutoka kwa jeshi tu ndio maana hata huyo Mugabe jeshi lilipompiga chini akawa si lolote wala chochote sasa hizo nguvu unazosema wewe alizonazo dikteta ni zipi?
Nguvu ni uwezo wa kuliamrisha jeshi likutii,ambayo ikishaondolewa Hakuna utii.
 
Kula nyama za watu mi uwa naamini ni uongo walikuwa wanamchafua ili aonekane wa hovyo.Imagine Magu hapa alijaribu kutupeleka kibabe kidogo na maendeleo tuliyaone tena kwa kasi sana but ni mangapi mabaya amesemwa na mabeberu na sisi wenyewe?Hivi tungelipata kina Magu km watano wakiongoza kwa kufululiza kwa style ya kibabe unadhani hii nchi ingefika wapi kimaendeleo!Tulingelifika mbali.Nakwambia nchi zetu bado zinahitaji viongozi wababe ili zisonge,naunga mkono mada kwani bado tunawihataji kina Idd Amin,kina Gaddaf,kina Magu ili tusonge mbele,wabongo sie tukiongozwa kwa kubembelezwa hatuwezekani tena.
kaulize uganda au waganda nini kizuri alifanya hata kimoja tu, zaidi ya kutaka kuifanya uganda iwe nchi ya kiislam. alinyangánya biashara kwa wahindi akafukuza wazungu na kuwa mzinzi mkuu. ukimsikiliza hata kwenye clip zake tu utajua alikuwa mwanadamu mwenye IQ ndogo sana kama ubongo wa samani pamoja na kuwa na mwili mkubwa.
 
Unaweza kuweka vivid evidence ya kua Idd Amini alikua anakula nyama za watu na alitupa vilema mto Kagera?
nimesema tuambieni kicho chochote cha maendeleo alikifanya idi amini ndio na sisi tuwaletee evidence. au mnataka pia evidence kwamba alikusanya walemavu na kiuwalisha mamba mto kagera? mnataka? msimtetee kwasababu alikuwa muislam, ameichafua sana hiyo dini.
 
Back
Top Bottom