Yaya Toure akosoa uwepo wa Fainali 2 kwenye Michuano ya Afrika

Mashabiki sio wanaocheza mpira. Kipinsi cha CORONA timu zilikuwa zinacheza bila mashabiki na maisha yaliendelea.
CAF wanataka pesa pia ili mashindano yaendelee kuwepo, huwezi kutaka mashindano yawe bure kisha baadae utake mabilion kutoka CAF, maumivu ya kushindwa fainali yasiwatoe akili kiasi hicho.

Unazungumzia wakati wa Corona, huoni jinsi uchumi uliyumba?
 
CAF wangechukua hatua kuipoka timu ya algeria ushindi na kuipa yanga kutukona na vitendo vya mashabiki wao. Hii ingepeleka somo la nidhamu kwa waarabu wote kaskazini ya afrika. Nchi hizo ndio tabia yao kuzinyanyasa timu za kusini ya jangwa la sahara wanapokutana nazo kwenye mchezo wa mpira.
 
Ishu sio uwezo wa timu kufunga, muda wa nyongeza ni muhimu bila kuyajali hayo uliyoyaorodhesha hapo.
Ila waarabu na bongo Vita haitokaa iishe uwanjani tumekua na ushindani sana utakaokuza zaidi vilabu vyetu.
 
Ni kweli kwa nchi zetu hizi sjui serikali itatoa ndege ngapi
 
Tatizo la wengi wanatanguliza ushabiki, usimba na uyanga unatugharimu tushindwe kulitanguliza soka mbele.

Wanayanga tukichangia Kama hivyo inaonekana tunafanya hivyo kwa sababu tumeukosa ubingwa. Hii isiwe sababu ya kutufunga midomo kufichua madhaifu ya uwanjani.
 
Hayo unayozungumza ndio maana watu hawayataki.
 
Mechi iwe bure uwanja utajaa popote pale hata Kwa Mkapa ukileta al-ahly Vs Wydad uwanja unajaa...
Mechi nyingi za bure tumeshushudia watu wakiwa wachache

Angalia Marumo walikuwa wanafanya bure lakini uwanja ulikuwa mtupu.

Hao ni mashabiki wenye interest na timu yao lakini hali ilikuwa vile.

Halafu pia mashabiki wataoingia bure hawtakuwa mashabiki tena, watakuwa watazamaji kwasababu timu zinazocheza hawana interest nazo.

Ni saaa na msanii ukafanye show kwenye hafla ya viongozi wa juu, hutapata ile sapoti ya kishabiki ambayo ukiwa Club unaipata.

Huwezi ukazima mic ukawaachia maofsa waitikie verse inayofuata, zaidi utaona wao wako bize na mambo yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…