Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Kwa gharama za nani?Yanga wangetoa malalamiko CAF mbungi irudiwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa gharama za nani?Yanga wangetoa malalamiko CAF mbungi irudiwe
CAF wanataka pesa pia ili mashindano yaendelee kuwepo, huwezi kutaka mashindano yawe bure kisha baadae utake mabilion kutoka CAF, maumivu ya kushindwa fainali yasiwatoe akili kiasi hicho.Mashabiki sio wanaocheza mpira. Kipinsi cha CORONA timu zilikuwa zinacheza bila mashabiki na maisha yaliendelea.
Nafikiri huenda Mechi ilikuwa katikati ya wiki watu wapo Kwenye harakati za kazi na sio mwisho wa wikiMechi ya yanga na marumo kule south ilikuwa free entry lkn hata watu 300 hawakufika
Hahaha basi tufanye mechi ni moja tu iliyopigwa taifaFainali ma mechi mawili ni uhuni tu Mi Naacha kuangalia Haya mamipira ya Afrika ni ujinga Mtupu.
CAF wangechukua hatua kuipoka timu ya algeria ushindi na kuipa yanga kutukona na vitendo vya mashabiki wao. Hii ingepeleka somo la nidhamu kwa waarabu wote kaskazini ya afrika. Nchi hizo ndio tabia yao kuzinyanyasa timu za kusini ya jangwa la sahara wanapokutana nazo kwenye mchezo wa mpira.Ujumbe wa nyota wa zamani wa Barcelona na Man City, Yaya TOURE juu ya uwepo wa fainali mbili kwenye michuano ya Afrika.
Wakati umefika kwa mashabiki wa soka wa nchi zetu barani Afrika kudai HAKI YA MICHEZO kwa kuitaka CAF kuwa na mechi moja pekee ya fainali kwenye uwanja wa usiofungamana na upande wowote (neutral) au fainali mbili kwenye Uwanja wa neutral.
Ni aibu kwa bara letu kuona unyonge wa mchezo bora pendwa wa fainali ya soka duniani (ukitazamwa na mamilioni ya watu duniani) kushuhudia udhalilishaji wa timu ya ugenini kukumbana na mashambulizi ya kuvizia kwa fataki nyakati za usiku wakiwa wamepumzika katika uwanja wao wakiwa hotelini.
Kana kwamba haitoshi, wakati wa mchezo tulishuhudia (vijana waokota mipira (ball boys) wakirusha mipira mingi kwa wakati mmoja ili kupoteza muda kwa ajili ya timu za nyumbani, zaidi ya fataki mbili nzito zilipigwa kiasi cha kupelekea mechi kusimamishwa (mara tatu) ili kuruhusu moshi huo kutoweka, yote haya yalifanywa mbele ya rais wa CAF na ulimwengu mzima wa mashabiki wa soka wakitazama.
Hii sio mara ya kwanza barani Afrika Basi aibu kwenu CAF & FIFA kwa kujua haya yote yatatokea na bila kufanya lolote ila kukaa tu na kutazama onyesho la kupendeza la uharamu na kumtawaza mpiga picha na kombe la ubingwa akiota na kufikiria kuwa hii ingekoma?
Natumai FIFA ingefanya soka kuwa mchezo mzuri tena.
Chanzo: Kitenge TV
Zina umuhimu ndio maana ni sehemu ya mchezo pia, kwenye world cup hiki kipengele kilitendewa haki Sana.kumbe dakika za nyongeza zina umuhimu
Mbona kwa mkapa waliongeza dakika kumi na muda haukusimama dakika kumi??Picha linaanza muda wa nyongeza ni dakika 6 wakati mpira ulisimama zaidi ya hizo dakika.
Ishu sio uwezo wa timu kufunga, muda wa nyongeza ni muhimu bila kuyajali hayo uliyoyaorodhesha hapo.Kwahiyo ile game mliipoteza kwasababu ya dakika? Ile game hamukuwa na uwezo wa kufunga tena, plan yenu ya kushambulia ilikuwa imebanwa tayari ndiomaana ilifikia hatua kocha akaamua kujaribu bahati kwa kufanya sub holela.
Bila ile penalty sidhani kama kungekuwa na lolote la maana.
Ni kweli kwa nchi zetu hizi sjui serikali itatoa ndege ngapiMotsepe aliwai kuifafanua hii kwamba ikiwa final mechi moja itapigwa uwanja wa neutral mashabiki wengi awana msuli wa pesa,Africa njaa waya mkali mashabiki watashindwa gharama za kukwea pipa,gharama za hoteli n,k
mfano final iwe Yanga Vs Usm Alger alafu mbungi ikapigwe Lagos mashabiki wangapi wataenda Lagos Nigeria kucheki game!
Hii sio hoja mkuu sisemi hivi kwa sababu tumekosa kombe, nasema haya kwa sababu kulikuwa na sababu za wazi kabisa za kuongeza dakika at least zingeanzia hata 10Mbona kwa mkapa waliongeza dakika kumi na muda haukusimama dakika kumi??
UUwanja upi ulijaa? Hao Marumo mechi zao hata mashabiki 2000 hawajaiUwanja ulijaa...
Tatizo la wengi wanatanguliza ushabiki, usimba na uyanga unatugharimu tushindwe kulitanguliza soka mbele.unasema kama umeshindwa kufunga dakika 90 tatu ndio utaweza? Ka angalie mechi ya KRC Genk Vs Royal Antwerp uone dakika 1 tu imenyima watu ubingwa, Real Madrid Vs Atletico Madrid final UCL, Manchester United Vs Bayern Munich UCL, kwenye mpira dakika moja ni kubwa sana na ina badili kila kitu
Yeah mashabiki awakwenda kwasababu marumo ni kama stand united ya shinyanga icheze na al ahly hapa bongo unazani wabongo wataenda kucheki ata ikiwa bure[emoji1787][emoji1787]Mechi ya yanga na marumo kule south ilikuwa free entry lkn hata watu 300 hawakufika
Hayo unayozungumza ndio maana watu hawayataki.Lakini mpira ilisimama vipindi vyote viwili. Ulivyosimama kipindi cha kwanza, muda uliopotea ulifidiwa kabla ya mapumziko. Dakika 5 sijui 6 zilizoongezwa kipindi cha pili ni fair kwa muda uliopotea kipindi cha pili kwa sababu nadhani haukusimama kwa zaidi ya dakika 2. Kama unashindwa kufunga kwa dakika 90 toka goli la kwanza, kulilia dakika 3 za nyongeza ni kutafuta kisingizio tu.
Kawaida mashindano haya, tegemea timu ya nyumbani kupata favour fulani. Hata Yanga game ya kwanza alipewa dakika 10 za nyongeza. Je alistahili? Na hili nililisema mapema msitegemee nyongeza za namna hiyo kule nikaonekana sina akili.
Mechi nyingi za bure tumeshushudia watu wakiwa wachacheMechi iwe bure uwanja utajaa popote pale hata Kwa Mkapa ukileta al-ahly Vs Wydad uwanja unajaa...
Bado yale mazingira hayakuwa rafiki kuyatumia kama mfano kwasababu hata wachezaji wengi walikuwa wanafanyiwa njama wasicheze kwa visingizio vya Corona.Mashabiki sio wanaocheza mpira. Kipinsi cha CORONA timu zilikuwa zinacheza bila mashabiki na maisha yaliendelea.