Yemen inalazimisha meli za Israel kuzunguka Afrika kupata hasara kubwa ya kiuchumi

Yemen inalazimisha meli za Israel kuzunguka Afrika kupata hasara kubwa ya kiuchumi

Hasara anayoipata misri ama yeyote sio hoja kwasasa
Kwasasa hoja nikwamba yemen haitakua njia ya kupeleka mahitaji kwa mazayuni ambao wakiishayapata wanatumia kuwaulia ndugu zao wa Palestine
Houthi kamatieni hapo hapo
Idea nzuri sana hii
 
Mimi ni Pimbi kweli, vipi unataka niku-Pimbue?
Maana hata hauleweki unachotaka zaidi ya kujivunja vidole.
Kajifunze mamna ya kuleta mijadala kuichambua
Naona unatafuta basha kwa nguvu JF alafu mimi na mashoga mbali mbali mboja mjadala unaenda vizuri bwege kama wewe ndiyo ueleweki.
 
Iran na Yemen wanatakiwa washikilie hapo hapo ili bei za bidhaa ziwe ghali sana kiasi kwamba mwananchi huko apate maumivu makali na chumi zao ziyumbe
 
Mashia kiongozi wao Zaydi alitawala Yemen kwa miaka 1,000, kabla ya kupinduliwa mwaka 1962 eti unawaita kikundi cha ugaidi wewe kweli punguani
Ona sasa usivyokuwa na matumizi sahihi ya akili.
Wewe ni wa kukuacha tu hivyo ulivyo. Maana ukikuta kitu mtandaoni unakibeba kama kilivyo bila hata ya kufikirisha akili.
 
Naona unatafuta basha kwa nguvu JF alafu mimi na mashoga mbali mbali mboja mjadala unaenda vizuri bwege kama wewe ndiyo ueleweki.
Shanga uvae wewe, na viuno na makalio uyachezeshe halafu ujiite basha. Umeshatoka hapo kituo cha Polisi Zenji?
 
Shanga uvae wewe, na viuno na makalio uyachezeshe halafu ujiite basha. Umeshatoka hapo kituo cha Polisi Zenji?
Mtoto wa kiume unaitwa Paki kuna nini hapo kama siyo🌈
Vipi umeishabatwa?
 
Kinawekwa ni suala la muda tuu hapo Mediterranean Algeria na Libya wapo tayari hakuna kupita meli ya muisraeli hap
🛑 BREAKING: Kampuni ya usafirishaji ya Maersk itasitisha usafirishaji wa makontena yote kupitia Bahari Nyekundu hadi ilani nyingine.

- Kauli:
"Kufuatia tukio la karibu la kukosa lililohusisha Maersk Gibraltar jana na shambulio lingine kwenye chombo cha kontena leo, tumeagiza meli zote za Maersk katika eneo hilo zinazopaswa kupita kwenye Mlango-Bahari wa Bab al-Mandab kusitisha safari yao hadi ilani nyingine." (Kupitia Reuters)
 

Attachments

  • IMG_8153.jpeg
    IMG_8153.jpeg
    72.3 KB · Views: 4
Ona sasa usivyokuwa na matumizi sahihi ya akili.
Wewe ni wa kukuacha tu hivyo ulivyo. Maana ukikuta kitu mtandaoni unakibeba kama kilivyo bila hata ya kufikirisha akili.
Hahaha huwezi tena na porojo zako kujifanya unawajua sana Wayemeni😂
 
Mi mabata ushungu wallahi, inama tu hivyohivyo utazoea, ndiyo hakhi ilivyo
Wewe shoga Poki Papa karuhsu Mashoga wote wakabatizwe vipi wewe unaenda lini au basha wako hataki😀
 
Wewe shoga Poki Papa karuhsu Mashoga wote wakabatizwe vipi wewe unaenda lini au basha wako hataki😀
Umelipenda sana jina la Paki? Au unafurahia ninavyo Kupakia na ninavyo Paki mgongoni kwako?
 
Aliyekudanganya kwamba zile meli zinapita Yemen ni nani?
Halafu Yemen haijawahi kutishia kushambulia hizo meli. Wanaoteka na kutishia mashambulizi ni hicho kikundi cha kigaidi cha Hourthi ambacho hata hakiundi serikali pamoja na kukamata maeneo mengi ya nchi.

Kiongozi wa Yemeni ni Rashad al-Alimi na huyo anapambana na Hourthi.
Hivyo mnapokuja kujadili mambo humu muwe mnajielimisha kwanza. Kujiita Bwana Utamu isiwe sababu ya kulambwalamwa hovyo mpaka unajisahau kutumia logic ndogo tu.
Heheeeeee pole kijana kama umekasirika ramba ndimu
Hujui lolote kuhusiana nanililo andika kwahio tulia
 
Back
Top Bottom