Yericko: Makonda Aitwe Bungeni,Tuhuma za Kesi ya Uhaini ya mawaziri, Na Generali Mobeyo Aitwe kueleza Bunge ukweli wa Kesi ya uhaini Uliofanyika 2021

Nadhani inahitajika tume ya kuchunguza chanzo cha kifo cha Rais John Pombe Magufuli akiwa madarakani. Ifahamike tu kama tulichagua Rais mgonjwa mgonjwa bila kujua kuwa asingevuka kipindi chake cha pili wakati mengine wakijua kuwa hatavuka. 🧐 🧐
 

Unataka kusema ni vita ya Rais na Rais?

Kwa muono wangu, sina hakika kama kuna kitu kama hicho
 
Unataka kusema ni vita ya Rais na Rais?

Kwa muono wangu, sina hakika kama kuna kitu kama hicho
Sijasema chochote, nimeuliza maswali kupata maoni yako kutokana na maoni yako ya mwanzo kuhusu Makonda kuwa kete.

Hakuna mchezo wenye Kete moja. Mchezeshaji anatambua hili.
 
watanzania tumeshasahau mambo ya CAG tumerukia mambo ya kibaka wa koromije hii nchi raha sana na aslay akitoa pilau part 2 tutasahau ya bashite. muhudumu tuongezee tano watu tulewe huku. cheers wanangu
 
Sijasema chochote, nimeuliza maswali kupata maoni yako kutokana na maoni yako ya mwanzo kuhusu Makonda kuwa kete.

Hakuna mchezo wenye Kete moja. Mchezeshaji anatambua hili.

Ni kweli Michezo mingi inakete nyingi.
Labda mchezeshaji anatumia mchezo wa Golf.

Sioni kama Mange awe kipaza sauti cha mtu aliyenyuma aliyejificha.
Yule ni kama mercenary
 
Unataka kusema Rais hawajui wateule wake
Hell No anawajua vizuri sana
Rais hajaingia siasa leo wala jana na anawajua wote kwa tabia zao
Kuna watu unaweza kumuona ana biashara zake ila kuna mmoja ni mwizi sana na anamuibia tajiri na kila wakishtaki tajiri anamuacha tu
Kumbe kuna maslahi makubwa au siri kubwa nyuma yake

Tuwaache wao ndio wanajuana
Mama kakataa aitwe mama ila jamaa anamuita tena mara mbili
Siasa za nchi masikini zinaenda kwa matukio lakini maendeleo hakuna zaidi kumalizana tu na majungu
Watu wanatafuta mali nothing else
 
Andiko lote refu namna hii kumbe mlengwa ni Makonda tu?

Tukisema Rc Makonda kawashika kunako ndururu zenu na hamna pa kupumulia, mnakimbilia humu kuja kupata afueni tutakuwa tumekosea!
 
Mtu aliyefukuzwa uenezi? Ana nini cha kushika watu lbd nyie chawa wake
Andiko lote refu namna hii kumbe mlengwa ni Makonda tu?

Tukisema Rc Makonda kawashika kunako ndururu zenu na hamna pa kupumulia, mnakimbilia humu kuja kupata afueni tutakuwa tumekosea!
 
Mtu aliyefukuzwa uenezi? Ana nini cha kushika watu lbd nyie chawa wake
Siwezi kuwa mice wa kihivyo miye.

Isipokuwa tunawapiga madongo wanaomwandika kila page kutwa nzima kwa namna na sababu tofauti tofauti.

Yaani mtu mmoja tu kawa kama wimbo wa Taifa, tumechoka!

Baadaye hali ikiendelea hivi watu kujitoa ufahamu na kuandikq pumba, tutaanza kuwatukana matusi ya nguoni ya wazi yasiyo na staha.
 
Makonda ndiye mtu pekee anayeweza msaidia Samia , ambaye amezungukwa na genge la Msoga ambalo halimtaki kwa Sasa

Samia awarudie kundi la Magufuli na kuachana na Msoga hili kundi la Magufuli ndilo la kumvusha
kwa hiyo ccm kwa sasa ina mapande mawili tu, la msoga na la magufuli?
 
Ushauri wa chadema.kwa cccm. Ushauri wako umefika,wataufanyia kaz kwa ajili ya manufaa yao
 
Magufuli hakuwahi kuwa mwanasiasa.
Kama angekuwa mwanasiasa huenda mpaka leo angekuwepo.

Siasa ndio hizi unazoziona hivi leo.
Hakuwa mwanasiasa kisha akawa kwenye siasa kwa zaidi ya miaka 25?! Boss unajua unachoongea?
 
huyu sijui labda ana hoja lakini uandishi wake hauna taste nzuri,kuna jamaa yangu alinunua kitabu chake niligusa page moja tu nikaishia hapo hapo,hili andiko nimesoma mpaka kati,hoja unaiona,ila taste ya uandishi kukuvutia uendelee kusoma hamna.
Ukiona hivyo wewe ni mjinga/bwege.hakuna kitabu unachoweza kusoma ukaelewa page Moja tuu.
 
Hayo yalikua enzi za ujima,kipindi hicho watanzania wengi ni mbumbumbu.ccm wanatumia mabavu kutawala na kuweka wajinga wenzao kama makonda.mtu kazuiwa kwenda UK/USA kisa uuaji, Bado anarudishiwa vyeo.ni akili iyo??katiba mpya hawataki,why???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…