Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Nyumbu wana tabia moja😎😎Kwani wanaompigania Mbowe kwani nao siyo makamanda? Kikubwa ni kuwatambua kama.makamanda wa giza
Na bahati mbaya sana huo mfano unawahusu CCM kwa nyakati hizi.Nyumbu wana tabia moja😎😎
Nimeshasema nyumbu huwa wana tabia moja. Hii inazidi kujidhihirisha😁😁Na bahati mbaya sana huo mfano unawahusu CCM kwa nyakati hizi.
Na hivi upo kwenye payrol, watakuzima usipokuwa na ulimi mzuri kwao
Wameshapoteza kumbukumbuSi mlikuwa mnamsifia kuwa ni kamanda mtunzi wa vitabu mbobezi, sa'imekuweje tena?😁
... PWAA! 🤣Jamii forum hakuna kinachoharibika, hata wewe ikiweka tu Identity yako basi na CV yako inamwagwa pwaa.
Inawezekana ni ndugu kwanza wamefanana, wote wametokea Iringa na wote wanatumia jina la Nyerere.Kwa hiyo Yerico Mkana na Steve Mengele wamefanana tabia
View attachment 3184722
... If a toad can masquerade as a gopher with such precision and you don't call it TALENT then you HAVE ISSUES!Hana tafauti na steve Nyerere
Ha ha ha😂Wameshapoteza kumbukumbu
Wengi wao ni fuata mkumbo
Yericko ana vitu vingi sana vinavyomtambulisha kama msomi. Ni yeye pekee wa kuthibitisha kuhusu elimu yake. Ila mimi naamini jamaa kasoma.Nenda kahama kakutane na NDEGESELA asiyejua kusoma wala kuandika.Halafu uliza company zake na majumba yake
ndo ujue elimu na mali wala haviendani kabisa.
Hivi ulishawahi kusoma vitabu vya huyu mtu? Mie awali nilidhani kuna kitu ndani kumbe porojo tu za kufikirika zisizo kuwa na maana yeyote, kwaufupi ni vipeperushi vya hadithi vilivyolazimishwa kuwa kitabuSasa mbona wewe huandiki ili tukupigie kura? Pinganeni kwenye misimamo ya kisiasa na hata kidini lakini mpeni maua yake,acha roho ya kichawi. Kwanza watanzania nowadays kusoma hawapendi kabisa, ndiyo maana adui ujinga tunaye kitaa. Sasa mwenzio anaandika vitabu na anapigiwa kura anashinda kwa nini usimpe maua yake? Mbona akina mondi, harmonize wanapigiwa kura na kubeba tuzo?? Dogo punguza roho ya korosho aiseee...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kasoma VETA short course miezi 9
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wadogo zake, wote mama yao ni mama Maria.
Umemaliza yoteAnatunga mavitabu ya uongo uongo mwiingi sana kabisa...Mwambieni kama Ni mwanasiasa aite Mkutano wa Hadhara pale Kigamboni tuone watu wangapi watafika...Yeriko ..Ntobi na Ndg yao Boni ndio wanaongoza kumtukana Lissu bila sababu kwa kweli hao watu wote hutumwa na Mbowe kumbe Mbowe ni dhaifu sana kabisa nilishasema huyu Mbowe sio Mpinzani...
Anatutishia ohh nina mali ndani na njeya nchi hivi jamani Mbowe ana Mali gani??? Disco lake pale Bilicanas alijitwalia nyumba ya umma kiujanja ujanja ikarudishwa Serikalini sasa anatuambia mali atueleze ni zipi hizo mali na analipa kofi kaisi gani?? Na ameajiri watu wangapi?? MBOWE chadema ile sio yako watu wote mko nao wamepigania ni mali ya umma mnavyosema ccm imegeuza nchi kama mali yao bimafsi wanauza kila kitu na wewe elewa iyo ni mali ya umma!!!
Ni kweli Kasoma pale veta miezi 9Yericko ana vitu vingi sana vinavyomtambulisha kama msomi. Ni yeye pekee wa kuthibitisha kuhusu elimu yake. Ila mimi naamini jamaa kasoma.
Vipi ni yeye au siyeMi nimekulia banana hii sura sio ngeni sema kama alikuwa mtu wa kanisa kanisa hivi
Ndio yeye sema kitambo sikumbuki alikuwa anajishuulisha na niniVipi ni yeye au siye