Yericko nyerere hana sifa hata moja ya kuhoji weledi wa Tundu Lissu ni kijana anaeishi kwa uchawa na ujanja ujanja

Yericko nyerere hana sifa hata moja ya kuhoji weledi wa Tundu Lissu ni kijana anaeishi kwa uchawa na ujanja ujanja

Na bahati mbaya sana huo mfano unawahusu CCM kwa nyakati hizi.

Na hivi upo kwenye payrol, watakuzima usipokuwa na ulimi mzuri kwao
Nimeshasema nyumbu huwa wana tabia moja. Hii inazidi kujidhihirisha😁😁
 
Sipendagi sana kumjadiri mtu, napenda sana kujadiri tabia za mtu pamoja na HOJA. Mimi sio mwana chama wa Chadema though nimekua shabiki wake since NCCR ilivopoteza mwelekeo, nimewapigia KURA several times except mwaka 2000 cause hawakua na mgombea. Nimewafatilia both Lissu na Mbowe, nasikitika sana kusema hawa 2 wamekiua chama, siioni Chadema imara tena baada ya January 21, 2025; tamaa za hawa 2 za kutaka ukubwa wa chama, zimekisambaratisha chama, kwasasa wapenzi wa Chadema tumegawanyika, hatuna mtazamo mmoja tena. Bado nawalaumi wote 2 kwa upuuzi hu walio ufanya. Namlaum Mbowe kwa kutokuzisoma nyakati, namlaumu sana Lissu kwa ukigeu geu wake but again kwa kutojua kukagua aina ya maneno ya kusema; in leadership sio kila unacho kijua lazima kiende public. Nani asie jua kwamba ili umtie mimba mkeo au mwanamke no lazima uutumbukize utupu wako kwenye utupu wake? Je unaweza kutamka public kwamba ulimlomba mkeo na ndio maana akapafa mimba? Kwangu mimi hawa wote wamekosa busara; I wish apatikane mgombea mwingine independent na ashinde nafasi hiyo ya uenyekiti kuliko these 2. Ni kama Membe na Lowassa kwenye uchaguzi wa ccm mwaka 2015, thank God alipatikana ambaye hakutokana nao. Lissu na Mbowe mmekiua chama mlicho kijenga kwa jasho na damu, RIP Chadema.
 
Nenda kahama kakutane na NDEGESELA asiyejua kusoma wala kuandika.Halafu uliza company zake na majumba yake
ndo ujue elimu na mali wala haviendani kabisa.
Yericko ana vitu vingi sana vinavyomtambulisha kama msomi. Ni yeye pekee wa kuthibitisha kuhusu elimu yake. Ila mimi naamini jamaa kasoma.
 
Sasa mbona wewe huandiki ili tukupigie kura? Pinganeni kwenye misimamo ya kisiasa na hata kidini lakini mpeni maua yake,acha roho ya kichawi. Kwanza watanzania nowadays kusoma hawapendi kabisa, ndiyo maana adui ujinga tunaye kitaa. Sasa mwenzio anaandika vitabu na anapigiwa kura anashinda kwa nini usimpe maua yake? Mbona akina mondi, harmonize wanapigiwa kura na kubeba tuzo?? Dogo punguza roho ya korosho aiseee...
Hivi ulishawahi kusoma vitabu vya huyu mtu? Mie awali nilidhani kuna kitu ndani kumbe porojo tu za kufikirika zisizo kuwa na maana yeyote, kwaufupi ni vipeperushi vya hadithi vilivyolazimishwa kuwa kitabu
 
Anatunga mavitabu ya uongo uongo mwiingi sana kabisa...Mwambieni kama Ni mwanasiasa aite Mkutano wa Hadhara pale Kigamboni tuone watu wangapi watafika...Yeriko ..Ntobi na Ndg yao Boni ndio wanaongoza kumtukana Lissu bila sababu kwa kweli hao watu wote hutumwa na Mbowe kumbe Mbowe ni dhaifu sana kabisa nilishasema huyu Mbowe sio Mpinzani...

Anatutishia ohh nina mali ndani na njeya nchi hivi jamani Mbowe ana Mali gani??? Disco lake pale Bilicanas alijitwalia nyumba ya umma kiujanja ujanja ikarudishwa Serikalini sasa anatuambia mali atueleze ni zipi hizo mali na analipa kofi kaisi gani?? Na ameajiri watu wangapi?? MBOWE chadema ile sio yako watu wote mko nao wamepigania ni mali ya umma mnavyosema ccm imegeuza nchi kama mali yao bimafsi wanauza kila kitu na wewe elewa iyo ni mali ya umma!!!
Umemaliza yote
 
Back
Top Bottom