Yericko nyerere hana sifa hata moja ya kuhoji weledi wa Tundu Lissu ni kijana anaeishi kwa uchawa na ujanja ujanja

Yericko nyerere hana sifa hata moja ya kuhoji weledi wa Tundu Lissu ni kijana anaeishi kwa uchawa na ujanja ujanja

Yericko alizaliwa huko Iringa miaka ya 1984 akiwa ni mtoto pacha na mwenzake.

Yericko ni miongoni mwa watoto 7 wa mzee MKANA kutoka huko kwao.Kijijini Maduma Iringa!

Baada ya kumaliza shule ya msingi huko maduma alijiunga na secondary (jina kapuni) huko mtwara!
Baada ya kumaliza secondary na kufeli vibaya mwaka 2004! Alikimbilia mjini Dar es salaam kwa ajili ya kutafta maisha!

Kwa ajili ya utundu ujanja ujanja alifungua kijiwe cha kutengeneza radio kama fundi radio!

Moja ya wateja wake ni mimi mwenyewe nilimpelekea Radio yangu pale banana ukonga nikiamini ni fundi, kumbe wakati huo mitambo ya matangazo FM RADIO ilikuwa ina hitilafu! Hivyo akasema nimwachie jioni matangazo yaliporudi nilipokwenda kuchukua akasema Capacitor ya eria (antena) ilikatika kumbe ni uongo tu!

Yericko aliamua kujiunga na kozi ya ufundi Veta miezi 9 mnamo mwaka 2006!
Na hiyo ndo elimu ya ufundi miezi 9 veta ndiyo elimu yake kubwa aliyonayo hadi sasa!

Kwanini aliamua kujiita Yericko Nyerere wakati babake ni MKANA? Majibu haya hapa

Ndugu zake wote wa kuzaliwa wanaitwa ubini wa MKANA lakini yeye peke yake aliamua kubadili ubini kwa kiapo na kupeleka Rita.

Sababu za kubadili ubini ninkutokana na imani yake aliamini kwamba mzee mmoja mwenye jina la nyerere katika ziara zake huko mkoani Iringa. Kwamba ndiye aliyeacha mbegu huko kwa kile watu walimtania kwamba kafanana sura na mzee huyo!

Hivyo akili ya Yericko ilikubaliana na maoni ya watu akaamua kubadili ubini wa baba yake kwa hisia akiamini kweli ni mtoto wa mzee huyo aliyetambulika kama Nyerere!

Ndugu zake YERICKO ni Patrick Yohanes mkana, Yusta Yohanes mkana, Isaack Yohanes Mkana na Pacha yake amabaye ni Paul Yohanes Mkana lakini akili yake mwenyewe yeye alibadili jina lake na kuwa ni Yericko Yohanes Nyerere! (Hat ndugu zake hawajui nyerere kama ni baba wa ubatizo au ni nani hawajui!

Pacha yake nyerere ni mchungaji uchwara huko segerea.

Tukiendelea na maisha yake ya siasa!
Yericko kwa utundu utundu alijiunga na mitandao ya kijamii mwaka 2007 na baadae kujipenyeza kama mwana harakati kwenye siasa za mtandaoni!

Yericko alikuwa na urafiki karibu na mzee mmoja mstaafu wa jeshi ambae ndiye aliyempatia story nyingi. Kabla ya yeye kuziprint kama makala na baadae kuziweka vitabuni na kuongeza story chache kutoka quick leaks na mitandao mbalimbali!

Yericko hana elimu nyingine yoyote zaidi ya ujanja ujanja mjini!

Yericko hana sifa za kuhoji wala kutilia shaka weledi wa Mwanasiasa msomi na wakili msomi mzee Tundu Lissu ambae kakifia chama kwa jasho na damu!

Bahati mbaya Tundu lissu akiwa mwenyekiti wa chama baadhi ya vijana wanaotegemea maisha kupitia uchawa kwa mbowe au kwa watoto wa mbowe watakosa maisha.

Tundu lissu ni Kiongozi mkubwa hawezi kutiliwa shaka na kundi la vijana ambao hawana elimu wanaotegemea ujanja ujanja ili waishi.
Hivi huyu ndo yule mengele au?
 
Yericko alizaliwa huko Iringa miaka ya 1984 akiwa ni mtoto pacha na mwenzake.

Yericko ni miongoni mwa watoto 7 wa mzee MKANA kutoka huko kwao.Kijijini Maduma Iringa!

Baada ya kumaliza shule ya msingi huko maduma alijiunga na secondary (jina kapuni) huko mtwara!
Baada ya kumaliza secondary na kufeli vibaya mwaka 2004! Alikimbilia mjini Dar es salaam kwa ajili ya kutafta maisha!

Kwa ajili ya utundu ujanja ujanja alifungua kijiwe cha kutengeneza radio kama fundi radio!

Moja ya wateja wake ni mimi mwenyewe nilimpelekea Radio yangu pale banana ukonga nikiamini ni fundi, kumbe wakati huo mitambo ya matangazo FM RADIO ilikuwa ina hitilafu! Hivyo akasema nimwachie jioni matangazo yaliporudi nilipokwenda kuchukua akasema Capacitor ya eria (antena) ilikatika kumbe ni uongo tu!

Yericko aliamua kujiunga na kozi ya ufundi Veta miezi 9 mnamo mwaka 2006!
Na hiyo ndo elimu ya ufundi miezi 9 veta ndiyo elimu yake kubwa aliyonayo hadi sasa!

Kwanini aliamua kujiita Yericko Nyerere wakati babake ni MKANA? Majibu haya hapa

Ndugu zake wote wa kuzaliwa wanaitwa ubini wa MKANA lakini yeye peke yake aliamua kubadili ubini kwa kiapo na kupeleka Rita.

Sababu za kubadili ubini ninkutokana na imani yake aliamini kwamba mzee mmoja mwenye jina la nyerere katika ziara zake huko mkoani Iringa. Kwamba ndiye aliyeacha mbegu huko kwa kile watu walimtania kwamba kafanana sura na mzee huyo!

Hivyo akili ya Yericko ilikubaliana na maoni ya watu akaamua kubadili ubini wa baba yake kwa hisia akiamini kweli ni mtoto wa mzee huyo aliyetambulika kama Nyerere!

Ndugu zake YERICKO ni Patrick Yohanes mkana, Yusta Yohanes mkana, Isaack Yohanes Mkana na Pacha yake amabaye ni Paul Yohanes Mkana lakini akili yake mwenyewe yeye alibadili jina lake na kuwa ni Yericko Yohanes Nyerere! (Hat ndugu zake hawajui nyerere kama ni baba wa ubatizo au ni nani hawajui!

Pacha yake nyerere ni mchungaji uchwara huko segerea.

Tukiendelea na maisha yake ya siasa!
Yericko kwa utundu utundu alijiunga na mitandao ya kijamii mwaka 2007 na baadae kujipenyeza kama mwana harakati kwenye siasa za mtandaoni!

Yericko alikuwa na urafiki karibu na mzee mmoja mstaafu wa jeshi ambae ndiye aliyempatia story nyingi. Kabla ya yeye kuziprint kama makala na baadae kuziweka vitabuni na kuongeza story chache kutoka quick leaks na mitandao mbalimbali!

Yericko hana elimu nyingine yoyote zaidi ya ujanja ujanja mjini!

Yericko hana sifa za kuhoji wala kutilia shaka weledi wa Mwanasiasa msomi na wakili msomi mzee Tundu Lissu ambae kakifia chama kwa jasho na damu!

Bahati mbaya Tundu lissu akiwa mwenyekiti wa chama baadhi ya vijana wanaotegemea maisha kupitia uchawa kwa mbowe au kwa watoto wa mbowe watakosa maisha.

Tundu lissu ni Kiongozi mkubwa hawezi kutiliwa shaka na kundi la vijana ambao hawana elimu wanaotegemea ujanja ujanja ili waishi.

Nitajie Chawa aliyejenga ghorofa la floor tatu.(3 storey building)
 
Nitajie Chawa aliyejenga ghorofa la floor tatu.(3 storey building)
Huyu jamaa sitopenda kumuongelea Sana .

Ila amesoma na Mjomba wangu VETA na kwenye miaka ya 2007-2008 mwanzoni walikuwa wanajifunza Sana lugha ya kiingereza


Walikuwa rafiki Sana na huyo uncle wangu baadae walipata vyeti kutoka India vikionesha wana Elimu ya masters .

Uncle wangu alikuwa na yeye Chadema huku akifanya Kazi katika miradi ya kufunga minara ya simu

Uncle yeye alikuwa Darasa la 7 baada ya kufeli ndo alikuja DSM around 2003 akasoma QT hakutoboa na mwaka 2006 akaenda VETA


So walikuwa Vijana fulani wajanja waongo ,waongo


Wote hawa kipindi cha kikwete walipata pesa nyingi Sana maana walikuwa wakipewa Tag na viongozi mbali mbali .

Yericko alikuwa na Kampuni yake ya kufunga wiring na yule uncle wangu alikuwa anecheza na Minara pamoja satellite.


Kumiliki ghorofa Kwa hela walizopata ni jambo la kawaida .
 
Bwana wee hamna kitu mbwembwe tu
Akili ni kile kinachobaki baada ya kuondoa elimu ya darasani na chuoni...Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni,Yericko yuko vizuri kichwani na vitabu vyake huwa navisoma sana tuu... kama unadhani ni kazi nyepesi andika walau kitabu kimoja na kikubalike upate tuzo kama yeye...
 
Akili ni kile kinachobaki baada ya kuondoa elimu ya darasani na chuoni...Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni,Yericko yuko vizuri kichwani na vitabu vyake huwa navisoma sana tuu... kama unadhani ni kazi nyepesi andika walau kitabu kimoja na kikubalike upate tuzo kama yeye...
Tuzo za kutuomba Tumpigie kura, wewe unadhani bila sisi kumpigia kura Ananini
 
Tuzo za kutuomba Tumpigie kura, wewe unadhani bila sisi kumpigia kura Ananini
Sasa mbona wewe huandiki ili tukupigie kura? Pinganeni kwenye misimamo ya kisiasa na hata kidini lakini mpeni maua yake,acha roho ya kichawi. Kwanza watanzania nowadays kusoma hawapendi kabisa, ndiyo maana adui ujinga tunaye kitaa. Sasa mwenzio anaandika vitabu na anapigiwa kura anashinda kwa nini usimpe maua yake? Mbona akina mondi, harmonize wanapigiwa kura na kubeba tuzo?? Dogo punguza roho ya korosho aiseee...
 
Huyu jamaa sitopenda kumuongelea Sana .

Ila amesoma na Mjomba wangu VETA na kwenye miaka ya 2007-2008 mwanzoni walikuwa wanajifunza Sana lugha ya kiingereza


Walikuwa rafiki Sana na huyo uncle wangu baadae walipata vyeti kutoka India vikionesha wana Elimu ya masters .

Uncle wangu alikuwa na yeye Chadema huku akifanya Kazi katika miradi ya kufunga minara ya simu

Uncle yeye alikuwa Darasa la 7 baada ya kufeli ndo alikuja DSM around 2003 akasoma QT hakutoboa na mwaka 2006 akaenda VETA


So walikuwa Vijana fulani wajanja waongo ,waongo


Wote hawa kipindi cha kikwete walipata pesa nyingi Sana maana walikuwa wakipewa Tag na viongozi mbali mbali .

Yericko alikuwa na Kampuni yake ya kufunga wiring na yule uncle wangu alikuwa anecheza na Minara pamoja satellite.


Kumiliki ghorofa Kwa hela walizopata ni jambo la kawaida .
Kwa kuweza kuidhibiti hela hadi kujenga ghorofa itoshe kusema Yericko ana akili. Sitakubali maisha yangu yote kuwa Yeriko kaishia VETA. Mtu wa VETA hawezi kuwa kama Yeriko. Endapo mwenyewe Yeriko atathibitisha kuwa ni kweli alisoma VETA ndo nitaamini. Wanasiasa wengi sio vilaza sema wameamua kutumia akili zao kifedhuli.
 
Back
Top Bottom