Yesu akirudi leo atasali wapi? Kwa Wayahudi, RC /Wasabato au Kwa Walokole? Au Mashahidi wa Yehova? Naomba majibu

Yesu akirudi leo atasali wapi? Kwa Wayahudi, RC /Wasabato au Kwa Walokole? Au Mashahidi wa Yehova? Naomba majibu

Kuihubiri injili hakuna maana ya watu kuanzisha makanisa...

Imeandikwa hivi:

Marko 16
15 Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.

16 Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.

Lengo la kwenda kuihubiri injili imelenga kuwe na matokeo mawili ambayo yametajwa hapo kwenye rangi nyekundu, na endapo kutakuwa kuna ukaidi basi hatma imetajwa pia...
Kwahiyo walioanzisha makanisa wamekosea?
 
Nawasalimu wote.

Kumekuwepo na mjadala kuhusu ipi dini ya Kweli, huu ni mjadala wa siku nyingine. Leo nataka tumuongelee YESU KRISTU.

Wakati akiwa hapa duniani, Yesu alionekana hekaluni akihubiri injili, Wayahudi hawakupendezwa sana wakisema anakufuru na kupelekea kumsulubisha msalabani.

Baada ya kifo na ufufuo wake (Kama ilivyoandikwa) ndipo lilianza vuguvugu la kanisa la kwanza!

Ukiwauliza RC watakwambia, Papa wa Kwanza ni Mt Petro na alikuwa mwanafunzi wa Yesu. Ukiwauliza Walokole nao watakwambia wao ndio wapo sahihi, Vivyo Hivyo kwa Wasabato au Mashahidi wa Yehova!

Kama biblia inayotumika ni moja inakuwaje kuna mgongano huu mkubwa?

Je, ni kitu gani hawatuambii?
Akirudi duniani haji kusali. Anakuja kuhukumu
 
Wapo maeneo tofauti tofauti. Kuna ambao ni Wakristo na ambao hawabudu humo lakini Wana Yesu kama Bwana na mwokozi wao. Ufunguo sio kuwa dhebehu fulani, ufunguo ni uhusiano binafsi kati yako na Yesu.
Alisema kila pando ambalo hakulipanda baba yangu litang'olewa katika utitiri wa makanisa ukute La ukweli ni moja tu
 
Nawasalimu wote.

Kumekuwepo na mjadala kuhusu ipi dini ya Kweli, huu ni mjadala wa siku nyingine. Leo nataka tumuongelee YESU KRISTU.

Wakati akiwa hapa duniani, Yesu alionekana hekaluni akihubiri injili, Wayahudi hawakupendezwa sana wakisema anakufuru na kupelekea kumsulubisha msalabani.

Baada ya kifo na ufufuo wake (Kama ilivyoandikwa) ndipo lilianza vuguvugu la kanisa la kwanza!

Ukiwauliza RC watakwambia, Papa wa Kwanza ni Mt Petro na alikuwa mwanafunzi wa Yesu. Ukiwauliza Walokole nao watakwambia wao ndio wapo sahihi, Vivyo Hivyo kwa Wasabato au Mashahidi wa Yehova!

Kama biblia inayotumika ni moja inakuwaje kuna mgongano huu mkubwa?

Je, ni kitu gani hawatuambii?
Yes hana sini,
 
Nawasalimu wote.

Kumekuwepo na mjadala kuhusu ipi dini ya Kweli, huu ni mjadala wa siku nyingine. Leo nataka tumuongelee YESU KRISTU.

Wakati akiwa hapa duniani, Yesu alionekana hekaluni akihubiri injili, Wayahudi hawakupendezwa sana wakisema anakufuru na kupelekea kumsulubisha msalabani.

Baada ya kifo na ufufuo wake (Kama ilivyoandikwa) ndipo lilianza vuguvugu la kanisa la kwanza!

Ukiwauliza RC watakwambia, Papa wa Kwanza ni Mt Petro na alikuwa mwanafunzi wa Yesu. Ukiwauliza Walokole nao watakwambia wao ndio wapo sahihi, Vivyo Hivyo kwa Wasabato au Mashahidi wa Yehova!

Kama biblia inayotumika ni moja inakuwaje kuna mgongano huu mkubwa?

Je, ni kitu gani hawatuambii?
UBAGUZI MPAKA KWA MADHEHEBU..
*WAANGLIKANA
*MORAVIAN
*AIC
*KKKT

HAYO MADHEBU MBONA HUJAYATAJA?
 
UBAGUZI MPAKA KWA MADHEHEBU..
*WAANGLIKANA
*MORAVIAN
*AIC
*KKKT

HAYO MADHEBU MBONA HUJAYATAJA?
Nafasi haijatosha, List inaweza kuendelea, lakini nimeyaweka kwa makundi
Mfano RC na Orthodox peke yao,
Kuna KKKT, anglican, AIC,
Kuna Wasabato na Judaism (conservatives),
Kuna Walokole wote (TAG, EAGT, )
makanisa ya mitume na manabii mwamposa, Kuhani Musa nk.
List ni ndefu mkuu natumaini umeelewa point yangu
 
Alisema kila pando ambalo hakulipanda baba yangu litang'olewa katika utitiri wa makanisa ukute La ukweli ni moja tu
Kanisa la Yesu sio majengo, ni watu. Mwili wake haujajengwa na "organization" Bali umejengwa na watu wanaomfuata.
 
Yesu hatakuja kusali.. atakuja kuhukumu waliohai na wafu..

Biblia imeelezwa yote hayo nashangaa unavyopotosha

Kingine inaonesha ulivyo mweupe kichwani haujui nini unaandika wala haujui nini maana ya Imani..
 
Kwani
Nawasalimu wote.

Kumekuwepo na mjadala kuhusu ipi dini ya Kweli, huu ni mjadala wa siku nyingine. Leo nataka tumuongelee YESU KRISTU.

Wakati akiwa hapa duniani, Yesu alionekana hekaluni akihubiri injili, Wayahudi hawakupendezwa sana wakisema anakufuru na kupelekea kumsulubisha msalabani.

Baada ya kifo na ufufuo wake (Kama ilivyoandikwa) ndipo lilianza vuguvugu la kanisa la kwanza!

Ukiwauliza RC watakwambia, Papa wa Kwanza ni Mt Petro na alikuwa mwanafunzi wa Yesu. Ukiwauliza Walokole nao watakwambia wao ndio wapo sahihi, Vivyo Hivyo kwa Wasabato au Mashahidi wa Yehova!

Kama biblia inayotumika ni moja inakuwaje kuna mgongano huu mkubwa?

Je, ni kitu gani hawatuambii?
Mohammad akifufuka Leo ataingia msikiti wa shia,ahmdiya,Suni au sarafi?
 
Nawasalimu wote.

Kumekuwepo na mjadala kuhusu ipi dini ya Kweli, huu ni mjadala wa siku nyingine. Leo nataka tumuongelee YESU KRISTU.

Wakati akiwa hapa duniani, Yesu alionekana hekaluni akihubiri injili, Wayahudi hawakupendezwa sana wakisema anakufuru na kupelekea kumsulubisha msalabani.

Baada ya kifo na ufufuo wake (Kama ilivyoandikwa) ndipo lilianza vuguvugu la kanisa la kwanza!

Ukiwauliza RC watakwambia, Papa wa Kwanza ni Mt Petro na alikuwa mwanafunzi wa Yesu. Ukiwauliza Walokole nao watakwambia wao ndio wapo sahihi, Vivyo Hivyo kwa Wasabato au Mashahidi wa Yehova!

Kama biblia inayotumika ni moja inakuwaje kuna mgongano huu mkubwa?

Je, ni kitu gani hawatuambii?
Soma hoja hizi mbili utajua Yesu atasali kanisa gani
1: Ocult in pentecost church
2; New spritism
 
Back
Top Bottom