Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana dini,Dini tumezianzisha sisi wanadamu na kuzisajili ili kuwanyonya wana usharika 😀Nawasalimu wote.
Kumekuwepo na mjadala kuhusu ipi dini ya Kweli, huu ni mjadala wa siku nyingine. Leo nataka tumuongelee YESU KRISTU.
Wakati akiwa hapa duniani, Yesu alionekana hekaluni akihubiri injili, Wayahudi hawakupendezwa sana wakisema anakufuru na kupelekea kumsulubisha msalabani.
Baada ya kifo na ufufuo wake (Kama ilivyoandikwa) ndipo lilianza vuguvugu la kanisa la kwanza!
Ukiwauliza RC watakwambia, Papa wa Kwanza ni Mt Petro na alikuwa mwanafunzi wa Yesu. Ukiwauliza Walokole nao watakwambia wao ndio wapo sahihi, Vivyo Hivyo kwa Wasabato au Mashahidi wa Yehova!
Kama biblia inayotumika ni moja inakuwaje kuna mgongano huu mkubwa?
Je, ni kitu gani hawatuambii?
Hakwenda sawa na Wayahudi ndipo akatoa ufafanuzi wa Dini ya kweli,Hiyo dini ya kweli haina uislam wala ukristo wala uo uyahudiYesu hakuwa mkristu, wala hakuanzisha kanisa. Alisali na Jews wenzake na akirudi ataenda huko "kama ilivyo desturi yake"
Haya makanisa yameanzishwa kwa kutumia jina lake tu, kupata "mileage"
Hakwenda sawa na Jews lakini sio dini yao. Hakuwahi kuikana Torati.Hakwenda sawa na Wayahudi ndipo akatoa ufafanuzi wa Dini ya kweli,Hiyo dini ya kweli haina uislam wala ukristo
Swali la Mwalimu Asubuhi Otieno wa UoA. Jibu lake atasali siku ya Sabato kama ilivyokuwa desturi yake.Nawasalimu wote.
Kumekuwepo na mjadala kuhusu ipi dini ya Kweli, huu ni mjadala wa siku nyingine. Leo nataka tumuongelee YESU KRISTU.
Wakati akiwa hapa duniani, Yesu alionekana hekaluni akihubiri injili, Wayahudi hawakupendezwa sana wakisema anakufuru na kupelekea kumsulubisha msalabani.
Baada ya kifo na ufufuo wake (Kama ilivyoandikwa) ndipo lilianza vuguvugu la kanisa la kwanza!
Ukiwauliza RC watakwambia, Papa wa Kwanza ni Mt Petro na alikuwa mwanafunzi wa Yesu. Ukiwauliza Walokole nao watakwambia wao ndio wapo sahihi, Vivyo Hivyo kwa Wasabato au Mashahidi wa Yehova!
Kama biblia inayotumika ni moja inakuwaje kuna mgongano huu mkubwa?
Je, ni kitu gani hawatuambii?
Umeniwahi. Nilikuwa nampango wa kuandika hivyoAtaanzisha kanisa lake
Ni itifaki Mfalme anapotembelea mahali hufika kwa wenyeji Fulani! Na hapa hupokea taarifa za kinachoendelea (briefing) ndiyo maana Malaika walioshuka waliomtembelea Ibrahim walifanya hivyo.Yesu hatakuja kusali.. atakuja kuhukumu waliohai na wafu..
Biblia imeelezwa yote hayo nashangaa unavyopotosha
Kingine inaonesha ulivyo mweupe kichwani haujui nini unaandika wala haujui nini maana ya Imani..
Nawasalimu wote.
Kumekuwepo na mjadala kuhusu ipi dini ya Kweli, huu ni mjadala wa siku nyingine. Leo nataka tumuongelee YESU KRISTU.
Wakati akiwa hapa duniani, Yesu alionekana hekaluni akihubiri injili, Wayahudi hawakupendezwa sana wakisema anakufuru na kupelekea kumsulubisha msalabani.
Baada ya kifo na ufufuo wake (Kama ilivyoandikwa) ndipo lilianza vuguvugu la kanisa la kwanza!
Ukiwauliza RC watakwambia, Papa wa Kwanza ni Mt Petro na alikuwa mwanafunzi wa Yesu. Ukiwauliza Walokole nao watakwambia wao ndio wapo sahihi, Vivyo Hivyo kwa Wasabato au Mashahidi wa Yehova!
Kama biblia inayotumika ni moja inakuwaje kuna mgongano huu mkubwa?
Je, ni kitu gani hawatuambii?
Yesu atarudi duniani mara 2, ya kwanza kunyakua kanisa ambapo watakaokuwa tayari muda hua anaporudi duniani watanyakuliwa kumbuka hapo anaporudi mara hiyo walio tayari tu ndio watakao muona na ataishia mawinguni hivyo hatasali kokote maana hagusi ardhi.Nawasalimu wote.
Kumekuwepo na mjadala kuhusu ipi dini ya Kweli, huu ni mjadala wa siku nyingine. Leo nataka tumuongelee YESU KRISTU.
Wakati akiwa hapa duniani, Yesu alionekana hekaluni akihubiri injili, Wayahudi hawakupendezwa sana wakisema anakufuru na kupelekea kumsulubisha msalabani.
Baada ya kifo na ufufuo wake (Kama ilivyoandikwa) ndipo lilianza vuguvugu la kanisa la kwanza!
Ukiwauliza RC watakwambia, Papa wa Kwanza ni Mt Petro na alikuwa mwanafunzi wa Yesu. Ukiwauliza Walokole nao watakwambia wao ndio wapo sahihi, Vivyo Hivyo kwa Wasabato au Mashahidi wa Yehova!
Kama biblia inayotumika ni moja inakuwaje kuna mgongano huu mkubwa?
Je, ni kitu gani hawatuambii?