Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Vitu vingine ni vyakuacha kama vilivo lo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vitu vingine ni vyakuacha kama vilivo lo
Nahisi mwenyewe atayashangaa sana haya makanisa yaliyopo yanayo hubiri kuhusu yeye😀Umeniwahi. Nilikuwa nampango wa kuandika hivyo
kumbe yesu alilelewa Nazareth,,,,!!!Dini Gani wanaoingia msikitini?
Luka 4:16
Basi, Yesu alikwenda Nazareti, mahali alipolelewa, na siku ya Sabato, aliingia katika sunagogi kama ilivyokuwa desturi yake.
Yesu anajua hayo yote kabla hayajatokea.Nahisi mwenyewe atayashangaa sana haya makanisa yaliyopo yanayo hubiri kuhusu yeye😀
Kwahiyo walioanzisha makanisa wamekosea?
Nawasalimu wote.
Kumekuwepo na mjadala kuhusu ipi dini ya Kweli, huu ni mjadala wa siku nyingine. Leo nataka tumuongelee YESU KRISTU.
Wakati akiwa hapa duniani, Yesu alionekana hekaluni akihubiri injili, Wayahudi hawakupendezwa sana wakisema anakufuru na kupelekea kumsulubisha msalabani.
Baada ya kifo na ufufuo wake (Kama ilivyoandikwa) ndipo lilianza vuguvugu la kanisa la kwanza!
Ukiwauliza RC watakwambia, Papa wa Kwanza ni Mt Petro na alikuwa mwanafunzi wa Yesu. Ukiwauliza Walokole nao watakwambia wao ndio wapo sahihi, Vivyo Hivyo kwa Wasabato au Mashahidi wa Yehova!
Kama biblia inayotumika ni moja inakuwaje kuna mgongano huu mkubwa?
Je, ni kitu gani hawatuambii?
Mkuu n
Ni itifaki Mfalme anapotembelea mahali hufika kwa wenyeji Fulani! Na hapa hupokea taarifa za kinachoendelea (briefing) ndiyo maana Malaika walioshuka waliomtembelea Ibrahim walifanya hivyo.
Kwahiyo Yesu akija kuchukua walio wake atafikia wapi?
Nioneshe katika Biblia palipoandkwa Yesu akirudi mara ya pili atakuja kusaliMkuu n
Ni itifaki Mfalme anapotembelea mahali hufika kwa wenyeji Fulani! Na hapa hupokea taarifa za kinachoendelea (briefing) ndiyo maana Malaika walioshuka waliomtembelea Ibrahim walifanya hivyo.
Kwahiyo Yesu akija kuchukua walio wake atafikia wapi?
Muislamu utaelezeaje historia ya Yesu ambaye ninyi mnamfananisha na uyo mtu wenu mnaemuita Nabii Issa.kumbe yesu alilelewa Nazareth,,,,!!!
Hivi munafahamu hiyo Nazareth iko wapi kwa sasa,,,,,????
Basi ngoja niwadukulie hata kwa uchache.
Tuanze na sehemu aliyozaliwa, ni kule bethlehem au waarabu wanapaita bait alrahma, sehemu yenye historia katika kisa cha israi na miraj, sehemu hii ipo palestina na ni moja kati ya sehemu za kihistoria na zenye heshima kubwa kwa wapalestina na waislamu.
Kutoka bethlehem mpaka Nazareth sehemu alikokulia, sehemu hii ipo eneo linalokaliwa kimabavu na Israel, ni sehemu inayokaliwa na waarabu waislamu na wayahudi sijapata kuona maelezo kuhusu ukazi wa wakristo katika eneo hilo, pia napo ni mahali penye historia na heshima kwa wapalestina,.
Swali kwenu, maelezo yanasema kuwa sehemu zote mbili bethlehem na Nazareth ni makazi ya waislamu kwa sasa, je kwanini sehemu hizo hazionekani kupewa nafasi kubwa sana kwa wakristo kama mnavyoipa thamani vatican, uingereza kwenye familia ya kifalme, au Marekani wakati sehemu hizo hazina uhusiano wowote na yesu (mwokozi) au wafuasi wake, kwa nini iko hivyo???
Lakini Yesu huyo anafukuza majini yenu na mapepo yenu yanamuogopaKiumbe anaeitwa yesu hajawahi kutokea katika ulimwengu ulilishwa matango pori.
Mapepo na majini yetu umewahi kuyaona wapi?Lakini Yesu huyo anafukuza majini yenu na mapepo yenu yanamuogopa
Kuhusu dini ni swala la kiimani zaidi na jinsi ulivyo soma na kuhadithiwa fasihi simulizi katika vitabu vya kidini...dini ni imani kwahyo dini ya kweli ni wewe na Mungu wako. Katika biblia ya RC kipo kipengele kinasema dini ya kweli ni kuwasaidia wajane na yatima. haya madhehebu yasituchanganye ni jinsi ya kuwasilisha ujumbe katika kuaminisha ulimwengu juu ya uwepo wa Mungu.... Ukija upande wa walokole na madheheb mengine ya kikristo hawaamini katika bikira Maria lakini RC Bikra maria tunaaminishwa ni mama wa Mungu katika Kristo yesu. Swala la Dini ni personally zaid tofauti na watu wanavyolichukulia pia tuje tutofautishe kati ya Dini na Imani juu ya uwepo wa Mungu hivi vitu ni tofauti Dini ni njia ya kutuwezesha kuamini katika uwepo wa Mwenyezi Mungu. Kama dini ina mkanganyiko basi bila shaka kufikisha ujumbe kwa waumini juu ya uwepo wa Mungu nao pia utatia mashaka kiufupi sisi sote waumini wa kikristo achilia mbali madhehebu bado tupo katika giza nene la wenye kukosa maarifa juu ya kipi ni kweli na kipi sio sahihi.Nawasalimu wote.
Kumekuwepo na mjadala kuhusu ipi dini ya Kweli, huu ni mjadala wa siku nyingine. Leo nataka tumuongelee YESU KRISTU.
Wakati akiwa hapa duniani, Yesu alionekana hekaluni akihubiri injili, Wayahudi hawakupendezwa sana wakisema anakufuru na kupelekea kumsulubisha msalabani.
Baada ya kifo na ufufuo wake (Kama ilivyoandikwa) ndipo lilianza vuguvugu la kanisa la kwanza!
Ukiwauliza RC watakwambia, Papa wa Kwanza ni Mt Petro na alikuwa mwanafunzi wa Yesu. Ukiwauliza Walokole nao watakwambia wao ndio wapo sahihi, Vivyo Hivyo kwa Wasabato au Mashahidi wa Yehova!
Kama biblia inayotumika ni moja inakuwaje kuna mgongano huu mkubwa?
Je, ni kitu gani hawatuambii?
Atachagua akasali kwa Irene Uwoya, kwa Giggy Money au kwa NwamposaVitu vingine ni vyakuacha kama vilivo lo
Hilo jakamoyo lipo wazi.
Hosea 9:5
Mtafanya nini katika siku ya mkutano wa idi, na katika siku ya karamu ya BWANA?