joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Yesu hata zamani alikuwa anasali ila alikuwa hafuati sheria za Kiyahudi, bali alifuata maelekezo ya aliye mtuma. So yy sio mtu wa kufungamana na Imani,bali Mungu aliye mtuma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuja tena jwa utukufu, kuwahukumu wazima na wafu. Nao ufalme wake hautakuwa na mwisho.Nawasalimu wote.
Kumekuwepo na mjadala kuhusu ipi dini ya Kweli, huu ni mjadala wa siku nyingine. Leo nataka tumuongelee YESU KRISTU.
Wakati akiwa hapa duniani, Yesu alionekana hekaluni akihubiri injili, Wayahudi hawakupendezwa sana wakisema anakufuru na kupelekea kumsulubisha msalabani.
Baada ya kifo na ufufuo wake (Kama ilivyoandikwa) ndipo lilianza vuguvugu la kanisa la kwanza!
Ukiwauliza RC watakwambia, Papa wa Kwanza ni Mt Petro na alikuwa mwanafunzi wa Yesu. Ukiwauliza Walokole nao watakwambia wao ndio wapo sahihi, Vivyo Hivyo kwa Wasabato au Mashahidi wa Yehova!
Kama biblia inayotumika ni moja inakuwaje kuna mgongano huu mkubwa?
Je, ni kitu gani hawatuambii?
Sasa mnamwita Mu gu halafu unauliza atasali wapi sasa asali ili iweje wakati mnaamini ni Mungu.Nawasalimu wote.
Kumekuwepo na mjadala kuhusu ipi dini ya Kweli, huu ni mjadala wa siku nyingine. Leo nataka tumuongelee YESU KRISTU.
Wakati akiwa hapa duniani, Yesu alionekana hekaluni akihubiri injili, Wayahudi hawakupendezwa sana wakisema anakufuru na kupelekea kumsulubisha msalabani.
Baada ya kifo na ufufuo wake (Kama ilivyoandikwa) ndipo lilianza vuguvugu la kanisa la kwanza!
Ukiwauliza RC watakwambia, Papa wa Kwanza ni Mt Petro na alikuwa mwanafunzi wa Yesu. Ukiwauliza Walokole nao watakwambia wao ndio wapo sahihi, Vivyo Hivyo kwa Wasabato au Mashahidi wa Yehova!
Kama biblia inayotumika ni moja inakuwaje kuna mgongano huu mkubwa?
Je, ni kitu gani hawatuambii?
Unamaanisha dini zote ni viungo kwenye mwili wa Kristo?1 Wakorintho 12:3,12-13
[3]
Kwa hiyo nawaarifu, ya kwamba hakuna mtu anenaye katika Roho wa Mungu, kusema, Yesu amelaaniwa; wala hawezi mtu kusema, Yesu ni Bwana, isipokuwa katika Roho Mtakatifu.
[12]
Maana kama vile mwili ni mmoja, nao una viungo vingi, na viungo vyote vya mwili ule, navyo ni vingi, ni mwili mmoja; vivyo hivyo na Kristo.
[13]
Kwa maana katika Roho mmoja sisi sote tulibatizwa kuwa mwili mmoja, kwamba tu Wayahudi, au kwamba tu Wayunani; ikiwa tu watumwa au ikiwa tu huru; nasi sote tulinyweshwa Roho mmoja.
Yaani hizi hadithi kuna watu wanazielezea wakiwa serious hadi wanasahau kama walikaririshwa nao wanawaambukiza wengine ukaririshoUmeuliza ili ujue lakini ikitokea amekuja leo haji kusali popote. Anakuja kufuata wale ambae waliweza kumsubiria Kwa unyenyekevu. Akiwachukua tu anawapeleka Kwa Baba yake mahali alipowaandalia. Kwa sasa yeye ni Bwana wa wale wanaomwamini na kumfuata vema.
Sorry bro Mimi sijidai kuwa mwema sana ila Nina uzoefu na amani ya Mungu. Sipo Kwa Yesu kwa sababu Kuna mtu aliniambia. Nilikutana nae mwenyewe, pia nikitenda dhambi utukufu wake ukiondoka nausikia kabisa. Na pia ukirudi nausikia. Sio habari za kusimuliwa wala ni habari za kweli. Fanya majaribio mwenyewe usidanganywe danganywe tu.Yaani hizi hadithi kuna watu wanazielezea wakiwa serious hadi wanasahau kama walikaririshwa nao wanawaambukiza wengine ukaririsho
- Yesu hana dini
Madhehebu ndio kitu ambacho sitaki hata kukisikia,unakuta watu Dini moja lakini wanabaguana sababu ya Madhehebu na kufuata mafundisho ya Madhehebu badala ya Dini. Leo unakuta kijana ni Moravian anataka kuoa binti wa Pentekoste,yaanza majungu utaoaje mtu ambaye sio Dhehebu letu,halafu haohao ndio wanakazia kuwa Dini imeagiza tupendane. Walioanzisha Madhehebu hawastahili msamaha kabisaKwanini, umekuwepo msisitizo wa dini yaani ukiwaambia watu namwamini Mungu watakuuliza unasali dini ipi? Ukiwaambia Mkristo watakuuliza dhehebu!!
Kabisa inaonekana huu sio mpango wa Mungu, ni mpango wa kutugawaMadhehebu ndio kitu ambacho sitaki hata kukisikia,unakuta watu Dini moja lakini wanabaguana sababu ya Madhehebu na kufuata mafundisho ya Madhehebu badala ya Dini. Leo unakuta kijana ni Moravian anataka kuoa binti wa Pentekoste,yaanza majungu utaoaje mtu ambaye sio Dhehebu letu,halafu haohao ndio wanakazia kuwa Dini imeagiza tupendane. Walioanzisha Madhehebu hawastahili msamaha kabisa
Unasali wapi mkuu?Sorry bro Mimi sijidai kuwa mwema sana ila Nina uzoefu na amani ya Mungu. Sipo Kwa Yesu kwa sababu Kuna mtu aliniambia. Nilikutana nae mwenyewe, pia nikitenda dhambi utukufu wake ukiondoka nausikia kabisa. Na pia ukirudi nausikia. Sio habari za kusimuliwa wala ni habari za kweli. Fanya majaribio mwenyewe usidanganywe danganywe tu.
Dini ni culture, alisali kwa wayahudi sababu alizaliwa kwenye culture ya kiyahudi.Nawasalimu wote.
Kumekuwepo na mjadala kuhusu ipi dini ya Kweli, huu ni mjadala wa siku nyingine. Leo nataka tumuongelee YESU KRISTU.
Wakati akiwa hapa duniani, Yesu alionekana hekaluni akihubiri injili, Wayahudi hawakupendezwa sana wakisema anakufuru na kupelekea kumsulubisha msalabani.
Baada ya kifo na ufufuo wake (Kama ilivyoandikwa) ndipo lilianza vuguvugu la kanisa la kwanza!
Ukiwauliza RC watakwambia, Papa wa Kwanza ni Mt Petro na alikuwa mwanafunzi wa Yesu. Ukiwauliza Walokole nao watakwambia wao ndio wapo sahihi, Vivyo Hivyo kwa Wasabato au Mashahidi wa Yehova!
Kama biblia inayotumika ni moja inakuwaje kuna mgongano huu mkubwa?
Je, ni kitu gani hawatuambii?
Mpaka sasa hivi Sina kanisa la kwenda. Niliondoka katoliki. Nipo namuuliza Mungu wapi nitalishwa.Unasali wapi mkuu?
Kama dini ni tamaduni za mahali husika je, ni sahihi Sisi kufuata tamaduni za ulaya magharibi na Asia?Dini ni culture, alisali kwa wayahudi sababu alizaliwa kwenye culture ya kiyahudi.
Hivyo hata akija leo atasali popote pale ila mafundisho yake yatabeba kweli na sio culture ya dini, kama alivyofanya kwa wayahudi wakamsurubisha.
Hayo ni mawazo yangu na sio facts.