Yesu akirudi leo atasali wapi? Kwa Wayahudi, RC /Wasabato au Kwa Walokole? Au Mashahidi wa Yehova? Naomba majibu

Yesu akirudi leo atasali wapi? Kwa Wayahudi, RC /Wasabato au Kwa Walokole? Au Mashahidi wa Yehova? Naomba majibu

Tusichanganyane sasa,hivi Yesu atakuja au sisi ndio tunaenda?

Nawasilisha...
 
Akirudi,sisi ndiyo tutakwenda kusali kwake.
(Hili ni jibu kulingana na swali lako mleta mada)
Ingawa Yesu hatarudi Duniani kusali
 
Yesu Hana Dini wala Dhehebu. Madhehebu Na dini hayatokani Na Mungu.

Madhehebu Na dini yanatokana Na wanadamu kama njia ya kumtafuta Mungu.

Yesu Atakaporudi Atakacho Angalia Wewe ni Mwanafunzi wake?

Je! Umemwamini kama Bwana Na Mwokozi wako? Sasa kama wewe ni Mfia dini Na madhehebu itakula kwako jombaa.
 
Kama dini ni tamaduni za mahali husika je, ni sahihi Sisi kufuata tamaduni za ulaya magharibi na Asia?
As long as unafuata kweli jibu linaweza kuwa ndio ama sio, imani ndio itakupa kweli na sio dini.

Na imani inakuja kwa kusikia( kuelewa) neno la Mungu.

Kumbuka waliomsurubisha Yesu walikuwa ni watu wa dini, haimaanishi kuwa walikuwa ni waovu hapana ila walijihesabia haki kulingana na sheria ila Yesu alihubiri kweli ambayo pia ilipingana na sheria za dini.

Maana yangu ni kwamba, hakuna dini ya kweli ila kuna imani ya kweli. Utaitambua kwa kulisikia(kuelewa) neno la Mungu.
 
Nawasalimu wote.

Kumekuwepo na mjadala kuhusu ipi dini ya Kweli, huu ni mjadala wa siku nyingine. Leo nataka tumuongelee YESU KRISTU.

Wakati akiwa hapa duniani, Yesu alionekana hekaluni akihubiri injili, Wayahudi hawakupendezwa sana wakisema anakufuru na kupelekea kumsulubisha msalabani.

Baada ya kifo na ufufuo wake (Kama ilivyoandikwa) ndipo lilianza vuguvugu la kanisa la kwanza!

Ukiwauliza RC watakwambia, Papa wa Kwanza ni Mt Petro na alikuwa mwanafunzi wa Yesu. Ukiwauliza Walokole nao watakwambia wao ndio wapo sahihi, Vivyo Hivyo kwa Wasabato au Mashahidi wa Yehova!

Kama biblia inayotumika ni moja inakuwaje kuna mgongano huu mkubwa?

Je, ni kitu gani hawatuambii?
Atasali kwenye Kanisa linalotupiwa mawe mara kwa mara na halijitetei - "sikuja kutafuta wenye haki, bali wakosefu ili wapate kuokoka". Angalia pia simulizi la Mwana Mpotevu kwenye Injili ya Luka. Aliyepokelewa kwenye sherehe ni "mwana mpotevu/mkosefu". Yule aliyejiona mwenye haki alikataa kuingia kwenye sherehe. Sherehe hapa ni mfano wa maisha ya heri/paradizo. Wale wanaotambua ukosefu wao wakitubu wanapokelewa. Wale wanaodhani ni wenye haki na kuona hawana cha kutubu kwa sababu wana Mungu na Mungu ana wao, huachwa nje ya sherehe/heri/wokovu/hawatamwona Mungu.
 
Nawasalimu wote.

Kumekuwepo na mjadala kuhusu ipi dini ya Kweli, huu ni mjadala wa siku nyingine. Leo nataka tumuongelee YESU KRISTU.

Wakati akiwa hapa duniani, Yesu alionekana hekaluni akihubiri injili, Wayahudi hawakupendezwa sana wakisema anakufuru na kupelekea kumsulubisha msalabani.

Baada ya kifo na ufufuo wake (Kama ilivyoandikwa) ndipo lilianza vuguvugu la kanisa la kwanza!

Ukiwauliza RC watakwambia, Papa wa Kwanza ni Mt Petro na alikuwa mwanafunzi wa Yesu. Ukiwauliza Walokole nao watakwambia wao ndio wapo sahihi, Vivyo Hivyo kwa Wasabato au Mashahidi wa Yehova!

Kama biblia inayotumika ni moja inakuwaje kuna mgongano huu mkubwa?

Je, ni kitu gani hawatuambii?
Atasali kwa wayahudi wenzake.
 
Nawasalimu wote.

Kumekuwepo na mjadala kuhusu ipi dini ya Kweli, huu ni mjadala wa siku nyingine. Leo nataka tumuongelee YESU KRISTU.

Wakati akiwa hapa duniani, Yesu alionekana hekaluni akihubiri injili, Wayahudi hawakupendezwa sana wakisema anakufuru na kupelekea kumsulubisha msalabani.

Baada ya kifo na ufufuo wake (Kama ilivyoandikwa) ndipo lilianza vuguvugu la kanisa la kwanza!

Ukiwauliza RC watakwambia, Papa wa Kwanza ni Mt Petro na alikuwa mwanafunzi wa Yesu. Ukiwauliza Walokole nao watakwambia wao ndio wapo sahihi, Vivyo Hivyo kwa Wasabato au Mashahidi wa Yehova!

Kama biblia inayotumika ni moja inakuwaje kuna mgongano huu mkubwa?

Je, ni kitu gani hawatuambii?
Hawatuambii..... ila tunamjua Yesu...
wanadamu ndio tuna mitihani....maslahi na urefu wa kamba...kwa kisingizio cha mapokeo....SALI POPOTE INAPOHUBIRIWA KWELI.
 
Atapenda kujua Kama kazi alizowaachia wanafunzi wake zinatekelezwa ikumbukwe aliwaagiza akisema. "Enendeni ulimwenguni kote mkaihubiri injili... "

Hiyo hajasema ni aya zilichakachuliwa hizo fanya uchunguzi , SOMA
 
Watu hao wanyenyekevu atakaowachukua wanasali wapi?
Wako katika madhehebu mbalimbali.

Sharti wawe wamemwamini na kumkiri Yesu Kristo kuwa ni Bwana na Mwokozi Wetu.

Na hii si kwa maneno tuu ila nikatika kuishi.
Maana wengi ukituuliza tutakuambia tuna mwamini Yesu ila matendo yetu hayaonyeshi hivyo.
 
Nawasalimu wote.

Kumekuwepo na mjadala kuhusu ipi dini ya Kweli, huu ni mjadala wa siku nyingine. Leo nataka tumuongelee YESU KRISTU.

Wakati akiwa hapa duniani, Yesu alionekana hekaluni akihubiri injili, Wayahudi hawakupendezwa sana wakisema anakufuru na kupelekea kumsulubisha msalabani.

Baada ya kifo na ufufuo wake (Kama ilivyoandikwa) ndipo lilianza vuguvugu la kanisa la kwanza!

Ukiwauliza RC watakwambia, Papa wa Kwanza ni Mt Petro na alikuwa mwanafunzi wa Yesu. Ukiwauliza Walokole nao watakwambia wao ndio wapo sahihi, Vivyo Hivyo kwa Wasabato au Mashahidi wa Yehova!

Kama biblia inayotumika ni moja inakuwaje kuna mgongano huu mkubwa?

Je, ni kitu gani hawatuambii?
Atasali kwa Wayahudi au Wakatoliki.

Ukristo ulikuwa dhehebu la dini ya kiyahudi kwa miaka 300-400 kabla ya kuwa dini kamili (Ukatoliki)
 
Atasali kwa Wayahudi au Wakatoliki.

Ukristo ulikuwa dhehebu la dini ya kiyahudi kwa miaka 300-400 kabla ya kuwa dini kamili (Ukatoliki)
Kwanini mkuu wayahudi wanashika sabato wakatoliki hawashiki hawawezi kuwa sawa!
 
Unaamini kwamba Hakuna Uislamu bila Ukristo? Ukristo ndio chanzo cha uislamu?
Uislamu ulikuwepo kabla ya ukristo, kwa sababu uislamu ulianza kwa adamu, Idrisa, nuh, Ibrahim,(Abraham) Issa (Yesu) , Muhammad hadi kutufikia sisi na wajao,.

Je ukristo ulianzia wapi kwa ushahidi wa maandiko ya biblia uiaminiyo???

Dini yenu ni ngeni zaidi, na imebebwa na shetani na ndiyo maana ninyi ni wengi sana kuliko waislamu na mtaingia motoni, kwa sababu hata hiyo biblia inasadiki kuwa wapotevu ni wengi sana kuliko waaminio kweli.

Fanya tathmini ya kweli kabla hujaamgamia,,,,,!!!!
 
Back
Top Bottom