Kwanza Tengua kauli yako huyo Issa mnaemzungumzia kwenye kitabu chenu sio Yesu.. na hizo stories mnazolishana uislamu ulianza kwa Adam mnaonekana kichwani mpo weupe muwe mnasoma historiaUislamu ulikuwepo kabla ya ukristo, kwa sababu uislamu ulianza kwa adamu, Idrisa, nuh, Ibrahim,(Abraham) Issa (Yesu) , Muhammad hadi kutufikia sisi na wajao,.
Je ukristo ulianzia wapi kwa ushahidi wa maandiko ya biblia uiaminiyo???
Dini yenu ni ngeni zaidi, na imebebwa na shetani na ndiyo maana ninyi ni wengi sana kuliko waislamu na mtaingia motoni, kwa sababu hata hiyo biblia inasadiki kuwa wapotevu ni wengi sana kuliko waaminio kweli.
Fanya tathmini ya kweli kabla hujaamgamia,,,,,!!!!
Uislamu umeanzishwa miaka 500 baada ya Yesu kuondoka .. tena kauanzisha Mohamad wenu ambaye mnamuita Mtume huyo ambaye baadae aliuliwa kwa kunywesha sumu labda nikumbushe tu
Baada ya Miaka 300 ya kuanzishawa kanisa la Roma huko mjini Makkah kuna mtaalam mmoja aliekuwa akiitwa MOHAMMAD ambae alikuwa akiabudu sanamu Kwa muda wa miaka 40 babayake na mama yake walikuwa ni wapagani kama ambavyo mfalme CONSTANTINE alikuwa
Naye siku moja akiwa amekaa pangoni akatokewa na mtu ambaye alimtaka asome maandishi fulan lakin Mohammad akamjibu kuwa siwezi kusoma yule mtu Alie mtokea akaendelea kumlazimisha asome Huku akimminya pale Mohammad anaposema siwez kusoma Mohammad alidhani mtu huyo ni shetani
MOHAMMAD aliporudi kwake akamsimulia mkewake kilicho mkuta mkewake HADIJA akamwambia uyo sio shetani ni malaika mke wa Mohammad akampeleka Mohammad Kwa mpwa wake aitwae Uzza. Uzza alipigilia msumali alio uweka hadija kuwa uyo ni malaika naww unatakiwa uwe mtu mkubwa apo ndipo ukawa mwanzo wa dini ya uislamu
Mohammad alichukua taratibu,Sheria na tamaduni nyingi sana kutoka Kwa wayahudi na kuzifanya ni tamaduni za dini yake hii ndio sababu ya ukristo na uislamu unafanana kiasi sana
na Mohammad alikuwa akitaka wayahudi waungane nae katika dini yake lakini wayahudi walikataa na hapo ndipo alipo kuwa akianzisha vita nao kutokana na vita kutoka Kwa Mohammad na Roma wayahudi walizidi kuyakimbia maeneo yao na kwenda maeneo mengine
Mohammad alifariki Kwa kupewa sumu na mmoja wa wayahudi ambao Mohammad aliua familia yake na nduguzake
Sitangia tena kwenye uzi huu inaonekana namjibu mtu ambaye si mfatiliaji wa mambo hadi anasema uislamu ulianza wakati wa Adam mara Issa ni Yesu
Hizo stori kawafundisheni huko madrasa