Huyo MUNGU alioa lini?, nijibu hili ukishindwa please njoo ktk dini ya kweli uislamu inshallah,Majaribu yaliwekwa ili kuona kama mwana wa MUNGU (YESU) Imani yake Iko thabiti akiwa katika umbile la kibinadamu na ili kuwatengenezea wanadamu namna wanatakiwa wawe kiimani
Ila wa kweli ni mmoja tu AllahBasi miungu itakuwa mingi sana 😃
Yakobo 1:17 MUNGU habadilikiYESU alikuwa Bado mbichi kiimani akiwa katika umbile la kibinadamu ndo maana shetani akamjaribu
Hayo si maneno ya YESU, hapo mna msemea YESU, yaani hapo ni story ya YESU, na ndio hata UUNGU wake ni wa ku pachikwa, ha ku jiitaKaka Unajua kusoma,soma hapo
Mengine ni upuuzi unauliza na Mungu hapendi wanjinga
HeheheMkuu nisha kuja, hana hoja huyo, kila niki soma adi nacheka peke yangu
For sureIla wa kweli ni mmoja tu Allah
HeheheYakobo 1:17 MUNGU habadiliki
HakuoaHuyo MUNGU alioa lini?, nijibu hili ukishindwa please njoo ktk dini ya kweli uislamu inshallah,
Note mimi jibu ninalo kutoka Ktk bibilia
Na YESU alimjibuje?1.Kama wewe ni mwana wa Mungu geuza jiwe kuwa mkate
2. Ukinisujudia nitakupa mali zote za ulimwengu
Mali zote ni za Mungu kwani Shetani ampe Mungu ahadi na masharti yote hayo?
Sasa mwana wa Mungu anakuaje sio Mungu, yaani na kusema mwana wa binadam sio binadamShetani mwenyewe anasema kama wewe ni mwana wa MUNGU geuza Hilo jiwe liwe mkate ila hakusema kama wewe ni mungu!!!
Hilo linamaanisha KWAMBA YESU SIO MUNGU...
Hata sisi binadamu ni miungu kama hujuiNdo maana Kuna miungu mingi
Ishara ipi wewe?, hakuna ishara wala nini, je yesu alisema yeye mwenyewe?, YESU hapo haku jiita MUNGU, leta andiko linalo sema mimi YESU ni MUNGUNa YESU alimjibuje?
Na majibu ya YESU yanakupa ishara gani kuhusu Uungu wake?
Nililete wapi hilo andiko?Ishara ipi wewe?, hakuna ishara wala nini, je yesu alisema yeye mwenyewe?, YESU hapo haku jiita MUNGU, leta andiko linalo sema mimi YESU ni MUNGU
Mtoa mada kauliza ikiwa "YESU ni MUNGU kwa nini ajaribiwe na shetani?Nililete wapi hilo andiko?
Hayo aloandika mleta mada kayatoa wapi?
Na umerejea alikoyatoa ukasoma hadi mwisho?
Sikia ndo maana Kuna wanaojiita miungu ijapokuwa ni binadamuHata sisi binadamu ni miungu kama hujui
We jamaa bhana. Soma 1 Wakorintho 8:5-6:Sasa mwana wa Mungu anakuaje sio Mungu, yaani na kusema mwana wa binadam sio binadam
1 Wakorintho 8:5-6:Yesu alikua ni Mungu na mwanadamu kwa wakati mmoja, so shetani alikua anaijaribu ile part ya mwanadamu ila sio ya Mungu
Ukasema wewe?Mtoa mada kauliza ikiwa "YESU ni MUNGU kwa nini ajaribiwe na shetani?
Sasa nika sema YESU sio mungu maana hana sifa za UUNGU
Note hayo si maneno yangu hayo ni maneno ya bibilia