Yevgeny Prigozhin, Boss wa Wagner Group ahofiwa kufariki kwenye ajali ya ndege!

Yevgeny Prigozhin, Boss wa Wagner Group ahofiwa kufariki kwenye ajali ya ndege!

Masta minder hawawezi safiri kizembe tu kama mzigo.
Wanakuwa na ID na passport kibao plus maplastic Sergey kibao.
Wanaboard ndege hata tatu kwa wakati mmoja.
Hawaendi na exactly time anaweza akabook kesho akaondoka Leo,au booking Leo anaondoka juzi kwa kustukiza
 
Bado haimaanishi chochote mkuu ikizingatiwa hakuna report ya kiuchunguzi iliyotoka pia kwenye hio video Putin amtumia kauli " if they were there, According to initial information... Wagner employees were on board " ni ishara kwamba Bado haijathibitishwa ,yes it's rumors but they turn out to be true sometimes.

Kingine prigozhin ni Mtu mwenye tahadhari sana na alijulikana kwa kujiandikisha kwa ndege moja na kupanda nyingine .

Tungoje report ya uchunguzi itoke.
Putin hakumtaja moja kwa moja ujue. Msikilize mwenyewe


View: https://www.instagram.com/reel/CwVn1A8v9dY/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
 
Masta minder hawawezi safiri kizembe tu kama mzigo.
Wanakuwa na ID na passport kibao plus maplastic Sergey kibao.
Wanaboard ndege hata tatu kwa wakati mmoja.
Hawaendi na exactly time anaweza akabook kesho akaondoka Leo,au booking Leo anaondoka juzi kwa kustukiza
Wigs boy.
IMG_20230825_095505.jpg
IMG_20230825_095513.jpg
 
Kama kweli yupo hai, basi ni mpango mkakati wa yeye mwenyewe na putin, ila kama sivyo, basi putin kazi anayi
 
Katika kitu nilitegemea japo imekuwa mbali kidogo, ni kuhusu kifo cha Bwana Yevgeny Prigozhin Nikitu nilikijua tangu huyu Bwana alipojitutumua! Nikaona huyu bwana amjui vizuri Mr Puttin! Mimi namjua kwakuwa nimefanya naye kazi! Usuiniulize wapi ila ukweli nikwamba Puttin siyo mtu wakufanya majaribio! Kwaheri Bwana Yevgeny Prigozhin na Buriani kifo umekitafuta mwenyewe kwa tamaa ya pesa!
 
Mzuka Wanajamvi.

Serikali na bunge litangaze msiba kwa kuweka bendera nusu mlingoti kuomboleza kifo cha boss wa Wagner Yevgeny Prigozhin.

Prigozhin aliipigania sana Africa dhidi ya mabeberu lazima tumuenzi.

2023-08-24T172436Z_1238220587_RC2FU2A6DQQ3_RTRMADP_3_RUSSIA-CRASH-WAGNER-MOSCOW-1692954750.jpg
 
Mzuka Wanajamvi.

Serikali na bunge litangaze msiba kwa kuweka bendera nusu mlingoti kuomboleza kifo cha boss wa Wagner Yevgeny Prigozhin.

Prigozhin aliipigania sana Africa dhidi ya mabeberu lazima tumuenzi.

View attachment 2728195
Unalienzi jambazi,eti alipigania uhuru wa Africa. Wakati analipwa mamilion ya dola na anachukua madini bureee.
 
NICOLA ZIGIC ni mwanasoka wa zamani wa Serbia, zamani ikiwa ni Yugoslavia. Huyu mchezaji alikuwa na uwezo wa kucheza mpira kama mshambuliaji wa kati. Jitahidi ujue na ufahamu watu wa dunia hii. Na wewe nikikuuliza Juma Nkhangaa au Sebastian Kinyondo walikuwa ni kina nani nchi hii utanijibu kweli au utabaki kung'aa macho tu?
Umegoogle ndio umekuja kujibu jana. Huna tofauti na NGOFA inayokunya huku imelala.
 
Raisi wa Belarus Lukashenko aruka kimanga kifo cha kiongozi wa Wagner ,Prigozhin.Adai kwamba hakuna mahali alimuahakikishia ulinzi🤔
Mytake: Shetani hana rafiki,hata wachawi anaowatumia baadae wanajuta kuwa watumishi wa shetani 🤔
....
 
Endelea braza
Ni kwamba Marakeni na Urusi hufanya kazi pomoja khasa kwenye masuala kama ya mabomu ya nyuklia, mitambo ya satelite kule angani na masuala mengine mengi tu ya kijasusi na kisayansi.

Hivi juzijuzi Marekani na Urusi wamekubaliana kusaidiana kupeleka marubani angani kwenye kituo cha anga kwa kutumia chombo cha Mrusi cha Soyuz MS Spacecraft licha ya mgogoro wa Ukraine kuendelea na pia Marekani kuwa na chombo chake cha Crew Dragon.

Mpaka sasa wanaanga wa nchi hizo mbili huchangia vyombo vya kwenda (ISS International Space Center ) na ni Urusi ndo wenye vyombo vya kisasa zaidi kwani wao ndo hutoa nafasi kwa wanaanga wa kimarekani kupanda vyombo hivyo.

Urusi iko mbioni kuweka kituo chake wenyewe angani na juzi chombo cha kirusi cha Luna-25 kimeshindwa kutua angani huko na baadae chombo cha India cha Chandrayaan -3 kufanikiwa kutua salama.

Sasa ni idara ipi ni bora na iko juu kiufanisi na kiutendaji kazi na yenye uwezo wa kupenyeza majasusi ndani ya nchi mwenyeji kati ya CIA kwa Marekani na kwa Mrusi SVR au GRU?
 
Umegoogle ndio umekuja kujibu jana. Huna tofauti na NGOFA inayokunya huku imelala.
eti nime google! Hivi kama kitu nakijua kuna ulazima wa ku google? Jibu utalipata tu, we ndio hukuwa on wakati nakujibu
 
Chef-in-chief to Putin turned rebel-in-chief against him is no more.

Since his aborted mutiny in June, Prigozhin was already dead but walking! Putin won't forgive anyone he calls a traitor - never!
Inashangaza hata yeye hakumfahamu vyema Putin namna anavyowafanya mahasimu wake pamoja na kuwa karibu naye miaka mingi.

Au huenda alidhani Putin angepotezea tu sababu ya ukaribu wao wa miaka mingi, Wagner itaendelaje bila Prighozin?

Ni bora angekimbilia nchi za magharibi aombe hifadhi, japo wangemshitaki kwa makosa ya uhalifu.
 
Back
Top Bottom