Yevgeny Prigozhin, Boss wa Wagner Group ahofiwa kufariki kwenye ajali ya ndege!

Yevgeny Prigozhin, Boss wa Wagner Group ahofiwa kufariki kwenye ajali ya ndege!

Baadhi ya waandishi wa habari kutoka west Africa wanareport ya kwamba Kuna watu wanadaiwa kumuona Prigozhin nchini Mali jana.

Pia kuna habari kwamba Yevgeny Prigozhin, na makamanda wake wakuu walikuwa kwenye ndege ya pili na wanatarajiwa kufika Niger August 25 na wapiganaji 250 wa Wagner.

Kulingana na taarifa zao ,hii ndiyo sababu hakuna hata neno moja katika vyombo vya habari vya Kirusi kuhusu ndege ya pili na abiria wake.

Ikumbukwe Bado hadi sasa hakuna official report yeyote iliyotoka kuthibitisha kifo chake ingawa Kuna viashiria vya uwepo wake kwenye ndege iliyopata ajali.

=====

Prigozhin's second plane flew to AzerbaijanThe flight to Baku was planned a few days ago, even before the plane crash in the Tver region.It is not known who exactly is on the plane.
View attachment 2727948
Acha kuota mkuu prigo kashatangulia hizo speculation na conspiracy theory hazitamrudisha hai
 
Ni kwamba Marakeni na Urusi hufanya kazi pomoja khasa kwenye masuala kama ya mabomu ya nyuklia, mitambo ya satelite kule angani na masuala mengine mengi tu ya kijasusi na kisayansi.

Hivi juzijuzi Marekani na Urusi wamekubaliana kusaidiana kupeleka marubani angani kwenye kituo cha anga kwa kutumia chombo cha Mrusi cha Soyuz MS Spacecraft licha ya mgogoro wa Ukraine kuendelea na pia Marekani kuwa na chombo chake cha Crew Dragon.

Mpaka sasa wanaanga wa nchi hizo mbili huchangia vyombo vya kwenda (ISS International Space Center ) na ni Urusi ndo wenye vyombo vya kisasa zaidi kwani wao ndo hutoa nafasi kwa wanaanga wa kimarekani kupanda vyombo hivyo.

Urusi iko mbioni kuweka kituo chake wenyewe angani na juzi chombo cha kirusi cha Luna-25 kimeshindwa kutua angani huko na baadae chombo cha India cha Chandrayaan -3 kufanikiwa kutua salama.

Sasa ni idara ipi ni bora na iko juu kiufanisi na kiutendaji kazi na yenye uwezo wa kupenyeza majasusi ndani ya nchi mwenyeji kati ya CIA kwa Marekani na kwa Mrusi SVR au GRU?
Mkuu nimesikiliza DW Swahili juzi asubuhi chombo cha India hakikufanikiwa
 
Mkuu nimesikiliza DW Swahili juzi asubuhi chombo cha India hakikufanikiwa
Labda hukuelewa uzuri kiswahili ni Russia ndo chombo chao hakikufanikiwa na chombo cha India kilitua salama salmini.

Na mshauri wa raisi Putin wa masuala ya anga aitwae Mikhail Marov baada ya chombo hicho kugonga pembeni ya mwezi badala ya kutua kama kawaida hivi sasa yupo hosppitali akipata matibabu baada ya kupatwa na mshtuko wa moyo.

Chombo cha India cha Chandrayaan -3 Rover kilitua salama siku ya jumatatu sehemu ya kusini mwa mwezi na hadi leo chombo hicho chazunguka mwezi kwa utaratibu bila tatizo.
 
Inashangaza hata yeye hakumfahamu vyema Putin namna anavyowafanya mahasimu wake pamoja na kuwa karibu naye miaka mingi.

Au huenda alidhani Putin angepotezea tu sababu ya ukaribu wao wa miaka mingi, Wagner itaendelaje bila Prighozin?

Ni bora angekimbilia nchi za magharibi aombe hifadhi, japo wangemshitaki kwa makosa ya uhalifu.
Alijisahau sana kwa Putin ambaye hasahau na wala hajui kusamehe.
 
Swali ninalojiuliza....Je,Marekani ilijua kama tukio hili lingetokea!!!!! Maana wiki iliyopita ilihimiza raia wake waondoke Belarus haraka Sana then wiki hii limetokea hili.[emoji848]

Sent from my Mi 9T using JamiiForums mobile app
Mkuu pamoja na uhasama uliopo machoni mwetu baina ya hizi nchi mbili lakini haya mataifa hubadilishana confidential and intelligence reports.
Tena vizuri tuu.
 
Ni kwamba Marakeni na Urusi hufanya kazi pomoja khasa kwenye masuala kama ya mabomu ya nyuklia, mitambo ya satelite kule angani na masuala mengine mengi tu ya kijasusi na kisayansi.

Hivi juzijuzi Marekani na Urusi wamekubaliana kusaidiana kupeleka marubani angani kwenye kituo cha anga kwa kutumia chombo cha Mrusi cha Soyuz MS Spacecraft licha ya mgogoro wa Ukraine kuendelea na pia Marekani kuwa na chombo chake cha Crew Dragon.

Mpaka sasa wanaanga wa nchi hizo mbili huchangia vyombo vya kwenda (ISS International Space Center ) na ni Urusi ndo wenye vyombo vya kisasa zaidi kwani wao ndo hutoa nafasi kwa wanaanga wa kimarekani kupanda vyombo hivyo.

Urusi iko mbioni kuweka kituo chake wenyewe angani na juzi chombo cha kirusi cha Luna-25 kimeshindwa kutua angani huko na baadae chombo cha India cha Chandrayaan -3 kufanikiwa kutua salama.

Sasa ni idara ipi ni bora na iko juu kiufanisi na kiutendaji kazi na yenye uwezo wa kupenyeza majasusi ndani ya nchi mwenyeji kati ya CIA kwa Marekani na kwa Mrusi SVR au GRU?
Hajui huyo muache. Watu wengi hawapendi maarifa Wala kujishughulisha kusoma. Wanapenda ubishi na makelele tuu.
 
Hawa kufa lilikuwa suala la muda tu. Hakuna nchi wanauana ovyo kama Russia, tena kinyama na kwa kutumia sumu ambazo hazina ta antidotes. Unatajirishwa au unaingizwa kwenye siasa huku walakini wa maisha yako ukiwa hatiani, na ukikataa vile vile unakuwa hati hati kifa.
 
Back
Top Bottom