Yeyote mwenye mwaliko wa Sikukuu ya Christmas afunguke, nakuja na vitendea kazi vyangu

Mkuu Poor Brain ningekualika sema nilipo itakukost nauli kama 80k+
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Alafu nikisema wee jamaa ujiheshimu huwa wanasema nakusingizia ....

Sasa nauli elfu themaninu seriously
Daaah nimecheka sana

Mkuu wee injoi tuu alafu ujue nn mkuu
Wee mchawi πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Njoo Msoga apa kwa JK uenjoy
 
Sikukuu ni ya wote mkuu
Aaaaah Alafu mda wote nilikua nakuchukulia seriously..

Kumbe mwanangu ushakula mjani bana πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ™πŸ™πŸ™

Cannabis nimekuelew πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
 
Acha Kuendekeza tumbo kijana kwani siku nyingine huwa unaishi vipi?
 
Acha Kuendekeza tumbo kijana kwani siku nyingine huwa unaishi vipi?
Yaan mkuu una element za ukatili ....
Yaani usipiangalia ukute apo hom wenzako wanakuita JANABI ila ndo vile kisiri siri
πŸ˜€πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Inamana wewe umeona hii tuu madam πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ

Daaah ila kuna watu natural ni wakorofi tuu..
Nipe location madam dem
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…