Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
- #161
Alafu wee vishu jau..Pole kijana, nenda kwa mangi apo uchukue unga na dagaa,. Siju ishaisha hii
Hvi ndo mda wa kuamka huu kaka πππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu wee vishu jau..Pole kijana, nenda kwa mangi apo uchukue unga na dagaa,. Siju ishaisha hii
πππππππππMkuu Poor Brain ningekualika sema nilipo itakukost nauli kama 80k+
Ngoja nipate ruhusa ya kualika watu kwanza, ila msosi upo.
ππππMwaka mpya nipo hapo mkuu kupata moja mbili...π€£π€£
Wallah nimecheka Sana
Leo nipo mliman city na familia yanguSasa mkuu mbona unafanya maisha yawe magumu hapo kwenu sasa..
Naona watoto wanainjoi ukiwa haupo maana ndo wewe wale wazee wa kuweka TBC 1
Njoo Msoga apa kwa JK uenjoyYoyote yule ambaye yupo tayari kutoa mwaliko Mimi nipo tayari..
Location Gongo la mboto...
Nafika sehemu yoyote ile ndani ya jiji la dasalamu..
Nakuja na vitendea kazi vyangu
Kama Kijiko
Ndizi
Kachumbari
Maji na soda...
Ahsante sana
Update::
ππππππππππ
Sema mood jau sana mi title sijaweka hivo wakuu ππππ
Kaongezeka Joline
Mpaka sasa ubao ni 0-0 (11;16)
Sijanywa chai nasubiri mialiko wakuu
Mialiko imepatikana ila daah imekua noma kweli an nauli tena kipengele wakuu
Safi mkuu enjoy sana banaLeo nipo mliman city na familia yangu
Yaani mkuu utafikili wewe upo hiyo sehemu...Njoo Msoga apa kwa JK uenjoy
πππππππππ
Alafu nikisema wee jamaa ujiheshimu huwa wanasema nakusingizia ....
Sasa nauli elfu themaninu seriously
Daaah nimecheka sana
Mkuu wee injoi tuu alafu ujue nn mkuu
Wee mchawi ππππ
Acha Kuendekeza tumbo kijana kwani siku nyingine huwa unaishi vipi?Yoyote yule ambaye yupo tayari kutoa mwaliko Mimi nipo tayari..
Location Gongo la mboto...
Nafika sehemu yoyote ile ndani ya jiji la dasalamu..
Nakuja na vitendea kazi vyangu
Kama Kijiko
Ndizi
Kachumbari
Maji na soda...
Ahsante sana
Update::
ππππππππππ
Sema mood jau sana mi title sijaweka hivo wakuu ππππ
Kaongezeka Joline
Mpaka sasa ubao ni 0-0 (11;16)
Sijanywa chai nasubiri mialiko wakuu
Mialiko imepatikana ila daah imekua noma kweli an nauli tena kipengele wakuu
sasa ujafika ushaanza kukosoa ,TukusaidiejeYaani mkuu utafikili wewe upo hiyo sehemu...
Yaani kuna watu mnapenda kuingiza wenzenu mkenge mjue
Yaan mkuu una element za ukatili ....Acha Kuendekeza tumbo kijana kwani siku nyingine huwa unaishi vipi?
Aaaaah mkuu hapo naingiaje ingije bana acha masikhara..sasa ujafika ushaanza kukosoa ,Tukusaidieje
Hata sipo mbeyaWe jau sana Tumwesige senior
Yaani mi nije mbea kisa pilau seriously
Duh unautaka kwenda kwa Gentleman Lindi?
Inamana wewe umeona hii tuu madam πππππππππππ