Yaani unaweza kwenda kuomba wazazi wako warudishe mahari. Yaani wana maneno kama yale ya heloo alafu mwisho alishindwa kuapply maneno yake.hahahaa makungwi wengi san wameachika !ila ukimsikiliza sasa unajihis wewe unamkosea sana mumeo lol
Kweli hakuna formula.Mtaani darasa saba alipigwa sururu na boss akajiua!
Hakuna formula!
Siwezi kuishi pamoja na mwanamke at allOmba tu utapata mwema!
Kuwa wawili kuna raha yake!
Nokia83 nimpate mwanaume design ya Yona kama unavyomsemea hapa nitampenda kiasi kikubwa mno. Maisha ya ndoa ni zaidi ya hiyo papuchi au sijui kitu gani. KWANZA mwanaume kwangu ni yule anayenipenda kwa uaminifu na kujituma kimaisha na Mimi najituma na mwisho wa siku tunatathmini tunachokiona kwa macho cha Maendeleo and not counting how many times we have been on bed. Hatujabahatika jamani.Ww ungempa penzi murua?!
Yona nilikuwa namfahamu vzr sn hakuwa mtu wa wanawake i cn understand kwann hata huyo mke kampelekesha namna hiyo jamaa alikuwa mtu muoga muoga hivi
Hoja zake ni batili????Rip Yona. Nakumbuka ulikuwa ni mjenga hoja kule Wanabidii
Kwani huyo uliyekuwa nae sasa hakuonyeshi upendo?!Nokia83 nimpate mwanaume design ya Yona kama unavyomsemea hapa nitampenda kiasi kikubwa mno. Maisha ya ndoa ni zaidi ya hiyo papuchi au sijui kitu gani. KWANZA mwanaume kwangu ni yule anayenipenda kwa uaminifu na kujituma kimaisha na Mimi najituma na mwisho wa siku tunatathmini tunachokiona kwa macho cha Maendeleo and not counting how many times we have been on bed. Hatujabahatika jamani.
Nimesoma Sana Sana Kuhusu Mwanamke....ina maana hujasoma chanzo cha kujiua? dah !kweli trump hajakosea
Hata mamaako?Siwezi kuishi pamoja na mwanamke at all
Ni kweli lakini inasiƙitisha sana kujitoa hapa duniani kisa espƴ kamvuluga patrick80Sio wote wanaoweza kuchukua maamuzi kama yako, wengine ndio kama huyu sasa. Too bad[emoji134]
Mvurugo ukikukolea unajitoa tu mkuu.Ni kweli lakini inasiƙitisha sana kujitoa hapa duniani kisa espƴ kamvuluga patrick80
Namaanisha mkeHata mamaako?
Kwa heri Yona! Wakati anaanzisha Wanabidii, nilipokea email ya kukaribishwa kujiunga Wanabidii wakati tulikuwa hatufahamiani. Na ndugu zangu wengi sana walipata huo mwaliko. Swali kwa wana-IT: Je, alipate email addresses nyingi hivyo za watu wasiomjua? Aliingia kwenye server za Google na Yahoo?