TANZIA Yona Fares Maro (MwanaJF na Muasisi wa Wanabidii) Afariki Dunia

Ooh so sad! Namkumbuka years back alinipa CDs za software.
 
Atasahau na ataishi kwa amani mbona Uwoya anadunda tu wakati amemuua kijana wa watu
Ndikumana alikunywa sumu au alikufa kifo cha kawaida ?

Tena hawakuwa pamoja walikuwa washaachana kitambo wakati ndiku anakufa
 
Ndikumana alikunywa sumu au alikufa kifo cha kawaida ?

Tena hawakuwa pamoja walikuwa washaachana kitambo wakati ndiku anakufa
Ndiku alikufa kwa depression(sononeko) alikua anampenda mke wake sana kama ulimfuatilia kuna kipindi alikua anaandika vitu vya ajabu kumlalamikia Irene Insta na akina Wolper wakamtukana sana
 
Walio kwenye ndoa zinafukuta wanatamani kutoka, walio Nje wanatamani kuingia kwa kila namna. Duh!

Pole wafiwa, RIP marehemu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…