The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
Nakazia Mkuu. π πYanga ni lidude fulani likuubwaaa ambalo kuna watu wanaliogopa sanaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ihefu ni ya sri lanka ????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe huna akili ndiyo maana unashindwa kuelewa lugha nyepesi kabisa licha ya kukudadavulia mwanzo.
We ni mrefu kolo mkubwa weweKa goal keeper kafupi ubishi tu[emoji16]
Unasemaje wewee!Kila la kheri Timu ya Wananchi. Tunachohitaji ni Points 3 ili kujiwekea asilimia nyingi zaidi za kutwaa ubingwa kwa mara ya pili mfululizo.
#DaimaMbeleNyumaMwiko.