Kabisa Mkuu. Yaani kama leo kumepoa sana Mjini.Wanaongea sana hao jamaa dah bora wawe wanafungwa fungwa mji upoe
Itapendeza tukutane nao fa then tuwakandeKabisa Mkuu. Yaani kama leo kumepoa sana Mjini.
Duuh! Ngoja wenye kujua waje watujuze Mkuu.Kuna mbumbu mmoja akasema ile hela ya kutoka Makundi kwenda robo fainali wanapewa wale tu walioshindwa kufuzu kuingia nusu fainali kwahiyo yanga ile Tsh.million 800 hapewi wanapewa hii 1b.yakuingia nusu. Nikaishia kuguna nikasema kweli Kanjibai anayohaki yakuwaburuza mambumbu.....maelezo kidogo
Kabisa Mkuu na ndo itakuwa muda wa kulipiza kisasi.Ita
Itapendeza tukutane nao fa then tuwakande
Haya mama upo unacheki game au ndo kama mm hapa nafuatilia kwa livescoreKabisa Mkuu na ndo itakuwa muda wa kulipiza kisasi.
Nipo nacheki Mkuu.Haya mama upo unacheki game au ndo kama mm hapa nafuatilia kwa livescore
Nani kashinda ?Jamani tayari huko. π€£π€£π€£
Nani katupiaJamani tayari huko. π€£π€£π€£
Ni sisi Timu ya Wananchi. Goli la Aziz Ki.Nani kashinda ?
Aziz Ki.Nani katupia
Kihasibu : Hasta usajili wa Azizi Ki by mtakwimu mkuu wa Jf.Ni sisi Timu ya Wananchi. Goli la Aziz Ki.
Dakika ya 17.
Naona meno thelathini na nje yote mbiliIla kiukweli Timu kubwa ni timu kubwa tu. ππ