Aisee!! Kazi tunayo Mkuu.Nilileta uzi kutilia mashaka haya mafanikio tunayoyapata yanaipa changamoto kubwa sana uongozi wa Yanga. Na ndicho kitakachotokea, Nabi kasepa na pia benchi la ufundi linazidi kumegeka. Wachezaji pia kadhaa tunaweza tukawakosa. Msimu ujao tunaenda kuanza na upya
Daah!Nabi effectsView attachment 2658789
@Shadeeya hongereni kwa trebleDaah!
Ahsante Mtani. 🙏@Shadeeya hongereni kwa treble
Kwa team gani?[emoji23]Ahsante Mtani. [emoji120]
Kawaida yetu na hapo tuna kama miaka kadhaa tena mbele ndo tuwaachie. [emoji28]
Ohooo! Ikiwa Timu imecheza mpaka fainali Kombe la Shirikisho halafu unasema kwa timu gani Mtani.Kwa team gani?[emoji23]
Msimu huu hamna team kabisa, tutakuwa tunajipigia tu[emoji23]Ohooo! Ikiwa Timu imecheza mpaka fainali Kombe la Shirikisho halafu unasema kwa timu gani Mtani.
Unashangaza ujue. [emoji28]
Wapo wananunua kondomu zilizotumika.Muda mrefu kidogo sijafuatilia,. HIVI SIMBO IPO? NA INAJISHUGHULISHA NA NINI HAPA NCHINI?
yanga hawana treble bana mwenye fact aweke mezani treble inatakiwa taji ambalo lina zaidi ya mechi mbili sasa ngao sio taji ni kama bonanza tu jiulize kwann man city treble yao hawajaweka ngao?@Shadeeya hongereni kwa treble
Hii ni kwa sheria ya Fifa, Caf au Tff? Tuwekee hapa sheria yoyote inayoongelea mambo ya treble. Kwahiyo unataka Yanga ya Tanzania ifanye na kutafsiri mambo kama Man City ya England?yanga hawana treble bana mwenye fact aweke mezani treble inatakiwa taji ambalo lina zaidi ya mechi mbili sasa ngao sio taji ni kama bonanza tu jiulize kwann man city treble yao hawajaweka ngao?
Kajinyonge ukafie mbele.yanga hawana treble bana mwenye fact aweke mezani treble inatakiwa taji ambalo lina zaidi ya mechi mbili sasa ngao sio taji ni kama bonanza tu jiulize kwann man city treble yao hawajaweka ngao?
Huyu kocha simuamini kabisa kwasababu hajawahi kudumu kwenye team alizo fundishaView attachment 2668152
Klabu ya Yanga jana imemtangaza MIGUEL ANGEL GAMOND (59) raia wa Argentina kuwa Kocha Mkuu mpya.
MIGUEL ANGEL GAMOND amewahi kufundisha Timu mbalimbali ikiwemo Wydad Casablanca ya Morocco, Mamelod Sundowns ya Afrika Kusini, na RC Belouzdad ya Algeria.
Karibu Kocha kwa Timu ya Wananchi.
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Mi mwenyewe pia nimeshituka eti hajawahi kuifundisha timu ikachukua ubingwa wa Ligi akiwa kocha mwanzo mwisho. 🤔Huyu kocha simuamini kabisa kwasababu hajawahi kudumu kwenye team alizo fundisha
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app