Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Historia huandikwa na wababe na wenye nguvu na wenyekuleta matokeo chanya kama Lunyasi, sasa nyie mnadhani mtaweza kuvaa viatu vyetu? Mtasubiri sana angalau kuikaribia tu rekodi yetu ShadeeyaHata na sie tukiyafanya hayo septemba 28 , nayo mwisho wa siku yatakuwa Historia pia love. ππ
Amiin Insha Allah. ππ
Wanaenda kutalii hao ujue
Na kazi yenyewe kwenda kuuza sura
Kuna utalii wa nje na utalii wa ndani lakini huu tunaita utalii wa soka Shadeeya
Nitayaamini haya maneno After na sio sasa.Wanaenda kutalii hao ujue
Unamoyo sana aisee mamiiNitayaamini haya maneno After na sio sasa.
"Daima mbele nyuma mwiko"
Hebu tuache bwana Ses.Kuna utalii wa nje na utalii wa ndani lakini huu tunaita utalii wa soka Shadeeya
Siwezi uvunja mpaka hatua ya mwisho. πππUnamoyo sana aisee mamii
Hahahaaaa yetu macho na masikioHebu tuache bwana Ses.
Hawakukosea waliosema kila siku sio jumamosi na ndio sababu mliangukia pua mapeeema. Hivyo "it's our time now"
Namkumbuka aliyekua Mwenyekiti wenu Madega eti Yanga mpira haujaisha mpaka uisheπ€£π€£π€£, lakini kila siku chaliSiwezi uvunja mpaka hatua ya mwisho. πππ
Ewaaaa. Haya ndio maneno sasa Ses.Hahahaaaa yetu macho na masikio
Ses hebu tunywe mtori nyama tutazikuta chini.Namkumbuka aliyekua Mwenyekiti wenu Madega eti Yanga mpira haujaisha mpaka uisheπ€£π€£π€£, lakini kila siku chali
Sasa sijui ndio maana ya ile kaulimbiu yenu
Imebidi nitabasamu tu Shadeeya, sio kwa kujipa matumaini kiasi hicho, kwa timu ipi mliyonayo lakini?Ewaaaa. Haya ndio maneno sasa Ses.
Angalieni tu na mutuwache Timu ya Wananchi tufanye yetu.
Hahahaa sioni hata dalili ya mfupa love sembuse nyamaπππSes hebu tunywe mtori nyama tutazikuta chini.