Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread


Acha kutudanganya Molinga kagoma kuondoka[emoji16]
 
Kijana anatumia nguvu nyingi kutulazimisha tumuone kocha wetu si mzuri. Aende akamchambue kocha wao kwanza. Au atuchambulie hapa tumsome
 

USAJILI MPYA

Anaitwa Erick Kabamba ni raia wa Zambia, amesajiliwa Yanga SC katika usajili huu wa dirisha dogo kwa mkataba wa miaka miwili . . anacheza wings zote 7 na 11! Amefanya majaribio kwa zaidi ya wiki mbili ameonesha uwezo mkubwa sana na kumpiku Owe Bonyanga.

KARIBU JANGWANI KABAMBA.

@Yangadaima.
 

MORRISON AANZA MAZOEZI YANGA SC

Kiungo mshambuliaji mpya wa Yanga Bernard Morrison leo ameshiriki mazoezi kwa mara ya kwanza baada ya kusajiliwa na mabingwa hao wa kihistoria.

Morrison alipokewa kwa shangwe na wachezaji wenzake huku Molinga akiongoza shangwe la mapokezi ya winga huyo teleza.

Hakuna shaka ujio wake utaongeza zaidi makali ya safu ya ushambuliaji ambayo imesukwa upya.

Cc. Mtani Sapta Sapta. 😎😎😎
 
Aisee naona umekuja na nguvu mpya, nipe mtazamo wako unaonaje leo tutashinda kweli? Au tusubiri kunyweshwa juisi ya Ukwaju?

#Mechi35goli1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…