Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Nimekubali Mtani kwani hata Papaa alituvuruga kweli naye hasa kwenye ule usajili ambao mwishowe ulikuwa mbovu hasaa. Issa Bigirimana, Juma Balinya na wengineo.
Kuna sehemu nimeona Mkwasa anasema bado tuna nafasi ya kuwa mabingwa lakini mi naona anatufariji tu kwani nyie wazee wa Miamala lazima mutafanya yenu na hasa ukiangalia kuna gap kubwa la point mpaka sasa kati ya sisi na nyie.
Tutake radhi Shadeeya, unasema sisi ni wazee wa miamala, hivi soka linalopigwa utadhani unaangalia La Liga ya Spain hulioni? Halafu Papaa wa watu mtamlaumu bure kabisa kwani wakati huo mlikua na wachezaji wa kucheza hizo nafasi?cbnNimekubali Mtani kwani hata Papaa alituvuruga kweli naye hasa kwenye ule usajili ambao mwishowe ulikuwa mbovu hasaa. Issa Bigirimana, Juma Balinya na wengineo.
Kuna sehemu nimeona Mkwasa anasema bado tuna nafasi ya kuwa mabingwa lakini mi naona anatufariji tu kwani nyie wazee wa Miamala lazima mutafanya yenu na hasa ukiangalia kuna gap kubwa la point mpaka sasa kati ya sisi na nyie.
Wanaowaamini ni wale wachache ambao hata hawajui msimamo unaendaje.Ila viongozi wa hizi timu wanajua sana kuwafariji washabiki. Eti kabisa mnaaminishwa bado mna nafasi ya ubingwa!
Wanaowaamini ni wale wachache ambao hata hawajui msimamo unaendaje.
Unadhani ndio nyie ni wazee wa miamala na kwa mlivyotuacha mbali yaani mtahonga sana watu IST mwaka huu ilimradi tu mupate ubingwa.Tutake radhi Shadeeya, unasema sisi ni wazee wa miamala, hivi soka linalopigwa utadhani unaangalia La Liga ya Spain hulioni? Halafu Papaa wa watu mtamlaumu bure kabisa kwani wakati huo mlikua na wachezaji wa kucheza hizo nafasi?cbn
Halafu wapo kimyaa kama hawaoni vile wanavyopendelewaSawa Mtani, naona sasa hivi upepo wa kupendelewa umehamia kwenu
Halafu wapo kimyaa kama hawaoni vile wanavyopendelewa
Kiaje tena Mtani?Sawa Mtani, naona sasa hivi upepo wa kupendelewa umehamia kwenu
Kiaje tena Mtani?
Hebu tuwacheni. Kwani refa naye ni binadamu pia. 😎😎💃Halafu wapo kimyaa kama hawaoni vile wanavyopendelewa
Hayo ni makosa ya kibinadamu Mtani. Teh tehJuzi polisi walipata goli, likakataliwa.
Kuna siku mlicheza, badala ya goli refa na kibendera wakasema ni kona!
Hee! Leo yamekua hayo tena Shadeeya! Yaani sasa hivi ndio mnajua refa nayeye ni binadamu kisa mmetembeza miamala mkanusurika vichapo😀😀😀Hebu tuwacheni. Kwani refa naye ni binadamu pia. 😎😎💃
Hamna kitu kama hicho bana.Hee! Leo yamekua hayo tena Shadeeya! Yaani sasa hivi ndio mnajua refa nayeye ni binadamu kisa mmetembeza miamala mkanusurika vichapo😀😀😀
Hahahahaa. We cheka tu wala usijibane bane Mtani.
Ila usisahau wanasemaga "siku zote kuimba kupokezana"
Hebu tuwacheni. Kwani refa naye ni binadamu pia. [emoji41][emoji41][emoji126]
Huyo mchezaji si mzuri kwa timu yetuUchezaji wa Yikpe nao uliuelewa Mkuu?
Anakuumiza sana huyo mpanda mpira. Pole ila kiuhalisia jamaa ni Fundi japo ulichoongea ktk kiwango Fulani ni sahihi[emoji2]Na ushambuliaji ndio timu. Hata mtembee juu ya mpira kama forward ni butu, hakuna wamaliziaji wenye kujua nyavu zilipo sare kama za harusi zitawahusu tu kila siku, cmb
Hakika japo Mkwasa amesema eti tumpe muda sasa najiuliza muda huo apewe mpaka lini wakati ligi inaelekea mwisho mwisho hii.Huyo mchezaji si mzuri kwa timu yetu
Nimekuona sehemu unatamba mwenyewe eti sisi tuwe VAR. LOL.Iyo kauli mbiu ishapitwa na wakati[emoji16]