Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Nimekubali Mtani kwani hata Papaa alituvuruga kweli naye hasa kwenye ule usajili ambao mwishowe ulikuwa mbovu hasaa. Issa Bigirimana, Juma Balinya na wengineo.

Kuna sehemu nimeona Mkwasa anasema bado tuna nafasi ya kuwa mabingwa lakini mi naona anatufariji tu kwani nyie wazee wa Miamala lazima mutafanya yenu na hasa ukiangalia kuna gap kubwa la point mpaka sasa kati ya sisi na nyie.

Ila viongozi wa hizi timu wanajua sana kuwafariji washabiki. Eti kabisa mnaaminishwa bado mna nafasi ya ubingwa!
 
Nimekubali Mtani kwani hata Papaa alituvuruga kweli naye hasa kwenye ule usajili ambao mwishowe ulikuwa mbovu hasaa. Issa Bigirimana, Juma Balinya na wengineo.

Kuna sehemu nimeona Mkwasa anasema bado tuna nafasi ya kuwa mabingwa lakini mi naona anatufariji tu kwani nyie wazee wa Miamala lazima mutafanya yenu na hasa ukiangalia kuna gap kubwa la point mpaka sasa kati ya sisi na nyie.
Tutake radhi Shadeeya, unasema sisi ni wazee wa miamala, hivi soka linalopigwa utadhani unaangalia La Liga ya Spain hulioni? Halafu Papaa wa watu mtamlaumu bure kabisa kwani wakati huo mlikua na wachezaji wa kucheza hizo nafasi?cbn
 
Tutake radhi Shadeeya, unasema sisi ni wazee wa miamala, hivi soka linalopigwa utadhani unaangalia La Liga ya Spain hulioni? Halafu Papaa wa watu mtamlaumu bure kabisa kwani wakati huo mlikua na wachezaji wa kucheza hizo nafasi?cbn
Unadhani ndio nyie ni wazee wa miamala na kwa mlivyotuacha mbali yaani mtahonga sana watu IST mwaka huu ilimradi tu mupate ubingwa.
 
Na ushambuliaji ndio timu. Hata mtembee juu ya mpira kama forward ni butu, hakuna wamaliziaji wenye kujua nyavu zilipo sare kama za harusi zitawahusu tu kila siku, cmb
Anakuumiza sana huyo mpanda mpira. Pole ila kiuhalisia jamaa ni Fundi japo ulichoongea ktk kiwango Fulani ni sahihi[emoji2]
 
Back
Top Bottom