Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Mpira wa Tanzania bwana hao Viongozi wanaopiga kelele hawana hata uwezo wa kufanya chochote.

Haya GSM kawaachia Uwanja tuone watafanya nini. 😔😔😔
 
BARUA YA GSM KWENDA YANGA.

MWENYEKITI,
YOUNG AFRICANS SPORTS CLUB,
P.O.BOX 15202,
DAR ES SALAAM.

Ndugu. YAH:MKATABA WA YOUNG AFRICANS SPORTA CLUB NA GSM TANZANIA LIMITED.

Husika na kichwa cha habari hapo juu. Kwa heshima na taadhima nachukua fursa hii kuushukuru uongozi mzima wa Klabu yetu ya YOUNG AFRICANS SPORTS CLUB "YANGA" TIMU YA WANANCHI kwa ushirika wenu kwenye mambo kadha wa kadha kwenye kuirudishia heshima na kutatua changamoto nyingi zilizokua zinaikabili Klabu yetu.

Ikumbukwe kuwa changamoto nyingi ziliikumba na kuendelea kuikabili timu yetu na sisi tulijitahidi kuzitatua ingawa hazikua sehemu ya mkataba wetu.
NAZO NI
1.Kumrudisha LAMINE baada ya kutukatiza mkataba wake.
2.Kusajili wachezaji katika kuiongezea nguvu klabu yetu. I.Bernad Morisson. II.Ditram Nchimbi III.Haruna Niyonzima IV.Adeyum Saleh
3.Kuwaleta na kulipa gharama zote za KOCHA MKUU,KOCHA WA MAZOEZI NA VIUNGO (FITNESS COACH na PHYSIO)gharama hizo ni pamoja na mishahara, nusafiri wa ndani,nyumba na ticket za kwenda na kurudi makwao(BELGIUM & SOUTH AFRICA). 4.Kulipa Mishahara.
5.Kulipa Bonas za ushindi ktk mechi zote timu iliposhinda kuanzia Mwezi Desemba 2019.Pamoja na ahadi kubwa ya ushindi kwa mechi dhidi ya watani wa jadi na kuitekeleza
baada ya ushindi huo.

5.Kulipa gharama zote za CAMP/HOTEL kwa timu kuanzia mwezi Desemba 2019.

6.Tiketi za ndege kwa wachezaji na viongozi.

7.Kulipa na kugharamia uwanja wa mazoezi kwa ukamilifu wake.Hii ni pamoja na ukarabati wa uwanja na ununuzi wa vifaa vya mazoezi.

8.Kulipa baadhi ya madeni ya nyuma ya usajili wa wachezaji. Aidha,yote hayo yamekua yakifanyika kwa MAPENZI MEMA kwa klabu yetu bila kujali gharama nyingi na kubwa tunazolipa.

Pia,Katika kuelekea mabadiliko ya kiundeshaji wa Klabu,GSM ilitafuta wataalam( CONSALTANT)kuja kushauri na kusaidia mabadiliko ya kimfumo pamoja na kupata TIMU kubwa barani ULAYA itakayokuja kuwa ni TIMU RAFIKI katika kukuza maendeleo ya idara zote katika Klabu yetu CONSULTANT huyo yuko tayari na TIMU hiyo pia iko tayari kuja kuanza ushirikiano kwa Gharama za GSM.

Lakini,kumekua na malalamiko mengi sana kutoka kwa baadhi ya viongozi kuwa GSM imekua na ikiingilia majukumu yao na wao ndiyo wenye mamlaka hayo waliyokabidhiwa na WANACHAMA. Kwa masikitiko makubwa kauli hizi pia zimekua zikitekelezwa kwa vitendo

Usimamizi wetu umekua tu kwa yale tunayogharamia na kamwe hatukuwahi kutaka kujua mapato wala matumizi ya chanzo chochote cha Yanga.

Ikumbukwe pia,GSM imejitolea kwa hali na mali katika kuleta YANGA yenye maendeleo yake binafsi kupitia wanachama na KAMWE GSM haina nia ya KUPOKA MADARAKA WALA TIMU kutoka kwa mtu yeyote. YANGA NI WANANCHI NA ITABAKI KUWA YA WANANCHI

Kwa barua hi I,GSM itabaki kuwa mdhamini wa Yanga kimkataba na kutekeleza yale TU yaliyo Kwenye mkataba na kuachana na yote yaliyo nje ya mkataba.

Aidha,kwa niaba ya GSM tunaomba radhi kwa yoyote aliyekwazika na ushirika wetu katika kuijenga Klabu yetu na tuliyafanya hayo kwa mapenzi mema tu.

Tunawatakia kila la heri katika mapambano na tutaendelea kuwa sehemu ya mabingwa wa kihistoria.

DAIMA MBELE NYUMA MWIKO
FOR GSM GROUP OF COMPANIES
Kama kawaida yangu nimechukua muda wa kutosha kabisa kuisoma barua ya GSM hasa kwenye maneno ya kumalizia, yaani kaulimbiu yenu
 
Mpira wa Tanzania bwana hao Viongozi wanaopiga kelele hawana hata uwezo wa kufanya chochote.

Haya GSM kawaachia Uwanja tuone watafanya nini. 😔😔😔
Poleni sana. Na hata sisi tungeendekeza maneno ya Mzee Kilomoni tungekua kama Chura FC sasa hivi. Binadamu wengine wameumbwa kuvuruga tu, ujuaji mwingiii mbele giza
 
👇👇👇🤔🤔🤔🤔🤔 KAZI IPO MWAKA HUU.


INASEMEKANA GSM ANAACHANA NA YANGA KWASABABU YA WAJUMBE HAWA.


Wajumbe watatu wa Kamati ya Utendaji
1. Rodgers Gumbo
2. Richard Shija
3. Salum Rupia
Walikuja na ajenda kwenye kikao cha Kamati ya utendaji kuwa Kampuni ya GSM inafanya usajiri bila kuitaarifu Kamati ya Utendaji. Wajumbe wengi ne walibisha sana juu ya jambo hili na kusema kuwa GSM kafanya hili kwa kuitetea Yanga je kosa lipo wapi. Kamapuni ya GSM iliandikiwa barua isijihusishe na usajiri.

GSM imeandika barua tarehe 24.03.2020 kwenda Yanga na haitajihusisha tena na Mambo ambayo ni nje ya mkataba wa Jezi. Imeachana na mshahara wa Kocha na benchi lote la ufundi.
 
Poleni sana. Na hata sisi tungeendekeza maneno ya Mzee Kilomoni tungekua kama Chura FC sasa hivi. Binadamu wengine wameumbwa kuvuruga tu, ujuaji mwingiii mbele giza
Na inasemekana baada ya yule mzee Akilimali kuvuta wameibuka wengine tena na mmoja wao ni yule wa jana.
 
Na inasemekana baada ya yule mzee Akilimali kuvuta wameibuka wengine tena na mmoja wao ni yule wa jana.
Taarifa zilizotangazwa leo na clouds TV kwenye kipindi chao cha 360 ni kwamba kapteni wetu Papy kashamalizana na mikia,na wameahidi kesho kwenye kipindi hicho hicho kuleta uthibitisho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taarifa zilizotangazwa leo na clouds TV kwenye kipindi chao cha 360 ni kwamba kapteni wetu Papy kashamalizana na mikia,na wameahidi kesho kwenye kipindi hicho hicho kuleta uthibitisho

Sent using Jamii Forums mobile app
Soka la Tanzania ni mwendo wa kuharibiana tu hivyo kama wanawachukua wawachukue tu mwishowe wawapeleke huko Simba "B". 😀
 
Taarifa zilizotangazwa leo na clouds TV kwenye kipindi chao cha 360 ni kwamba kapteni wetu Papy kashamalizana na mikia,na wameahidi kesho kwenye kipindi hicho hicho kuleta uthibitisho

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila hapa wala sijafurahia Simba kumchukua Shishimbi. Wanazidi kurundika viungo wakati tatizo la Simba kwa sasa ni washambuliaji na beki wa kati

Ni mwendo uleule wa kuingiza uswahili na ushabiki kwenye vitu vya kiufundi. Hapa nia ni kutaka kuibomoa Yanga nje ya uwanja.

Hata kama wana matatizo yao tuwaache wamalize wenyewe na sio kuchangia kuidhoofisha. Kama kupambana tupambane dimbani na Yanga iliyokamilika
 
Hao ndio Wabongo Shadeeya. Roho wana ujuaji mwingi sana. Na wengine sio watu wa shukrani. Lolote utakalo wafanyia wanachukulia poa tu
Hakika usemalo.

Na GSM huyo kaamua kufanya yaliyo ndani ya mkataba tuone wao watafanya nini.
 
Ila hapa wala sijafurahia Simba kumchukua Shishimbi. Wanazidi kurundika viungo wakati tatizo la Simba kwa sasa ni washambuliaji na beki wa kati

Ni mwendo uleule wa kuingiza uswahili na ushabiki kwenye vitu vya kiufundi. Hapa nia ni kutaka kuibimoa Yanga nje ya uwanja.

Hata kama wana matatizo yao tuwaache wamalize wenyewe na sio kuchangia kuidhoofisha. Kama kupambana tupambane dimbani na Yanga iliyokamilika
Ni mwendo wa kukomoana tu. Hujaona Ajibu mlichomfanyia?
 
BARUA YA GSM KWENDA YANGA.

MWENYEKITI,
YOUNG AFRICANS SPORTS CLUB,
P.O.BOX 15202,
DAR ES SALAAM.

Ndugu. YAH:MKATABA WA YOUNG AFRICANS SPORTA CLUB NA GSM TANZANIA LIMITED.

Husika na kichwa cha habari hapo juu. Kwa heshima na taadhima nachukua fursa hii kuushukuru uongozi mzima wa Klabu yetu ya YOUNG AFRICANS SPORTS CLUB "YANGA" TIMU YA WANANCHI kwa ushirika wenu kwenye mambo kadha wa kadha kwenye kuirudishia heshima na kutatua changamoto nyingi zilizokua zinaikabili Klabu yetu.

Ikumbukwe kuwa changamoto nyingi ziliikumba na kuendelea kuikabili timu yetu na sisi tulijitahidi kuzitatua ingawa hazikua sehemu ya mkataba wetu.
NAZO NI
1.Kumrudisha LAMINE baada ya kutukatiza mkataba wake.
2.Kusajili wachezaji katika kuiongezea nguvu klabu yetu. I.Bernad Morisson. II.Ditram Nchimbi III.Haruna Niyonzima IV.Adeyum Saleh
3.Kuwaleta na kulipa gharama zote za KOCHA MKUU,KOCHA WA MAZOEZI NA VIUNGO (FITNESS COACH na PHYSIO)gharama hizo ni pamoja na mishahara, nusafiri wa ndani,nyumba na ticket za kwenda na kurudi makwao(BELGIUM & SOUTH AFRICA). 4.Kulipa Mishahara.
5.Kulipa Bonas za ushindi ktk mechi zote timu iliposhinda kuanzia Mwezi Desemba 2019.Pamoja na ahadi kubwa ya ushindi kwa mechi dhidi ya watani wa jadi na kuitekeleza
baada ya ushindi huo.

5.Kulipa gharama zote za CAMP/HOTEL kwa timu kuanzia mwezi Desemba 2019.

6.Tiketi za ndege kwa wachezaji na viongozi.

7.Kulipa na kugharamia uwanja wa mazoezi kwa ukamilifu wake.Hii ni pamoja na ukarabati wa uwanja na ununuzi wa vifaa vya mazoezi.

8.Kulipa baadhi ya madeni ya nyuma ya usajili wa wachezaji. Aidha,yote hayo yamekua yakifanyika kwa MAPENZI MEMA kwa klabu yetu bila kujali gharama nyingi na kubwa tunazolipa.

Pia,Katika kuelekea mabadiliko ya kiundeshaji wa Klabu,GSM ilitafuta wataalam( CONSALTANT)kuja kushauri na kusaidia mabadiliko ya kimfumo pamoja na kupata TIMU kubwa barani ULAYA itakayokuja kuwa ni TIMU RAFIKI katika kukuza maendeleo ya idara zote katika Klabu yetu CONSULTANT huyo yuko tayari na TIMU hiyo pia iko tayari kuja kuanza ushirikiano kwa Gharama za GSM.

Lakini,kumekua na malalamiko mengi sana kutoka kwa baadhi ya viongozi kuwa GSM imekua na ikiingilia majukumu yao na wao ndiyo wenye mamlaka hayo waliyokabidhiwa na WANACHAMA. Kwa masikitiko makubwa kauli hizi pia zimekua zikitekelezwa kwa vitendo

Usimamizi wetu umekua tu kwa yale tunayogharamia na kamwe hatukuwahi kutaka kujua mapato wala matumizi ya chanzo chochote cha Yanga.

Ikumbukwe pia,GSM imejitolea kwa hali na mali katika kuleta YANGA yenye maendeleo yake binafsi kupitia wanachama na KAMWE GSM haina nia ya KUPOKA MADARAKA WALA TIMU kutoka kwa mtu yeyote. YANGA NI WANANCHI NA ITABAKI KUWA YA WANANCHI

Kwa barua hi I,GSM itabaki kuwa mdhamini wa Yanga kimkataba na kutekeleza yale TU yaliyo Kwenye mkataba na kuachana na yote yaliyo nje ya mkataba.

Aidha,kwa niaba ya GSM tunaomba radhi kwa yoyote aliyekwazika na ushirika wetu katika kuijenga Klabu yetu na tuliyafanya hayo kwa mapenzi mema tu.

Tunawatakia kila la heri katika mapambano na tutaendelea kuwa sehemu ya mabingwa wa kihistoria.

DAIMA MBELE NYUMA MWIKO
FOR GSM GROUP OF COMPANIES
Dr.Mshindo Msolwa na wenzako hapo Jangwani, mimi kama mwanachama kindakindaki wa yanga ntakuja hapo Ofisin na wanachama wenzangu wenye hoja kama zangu

Nataka mnijibu hoja yangu...
Kama mda wote GSM analipa mishahara, usafiri, viwanja, usajili na malazi ya timu...Je pesa za viingilio za wadhamini nk....zinaenda wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BARUA YA GSM KWENDA YANGA.

MWENYEKITI,
YOUNG AFRICANS SPORTS CLUB,
P.O.BOX 15202,
DAR ES SALAAM.

Ndugu. YAH:MKATABA WA YOUNG AFRICANS SPORTA CLUB NA GSM TANZANIA LIMITED.

Husika na kichwa cha habari hapo juu. Kwa heshima na taadhima nachukua fursa hii kuushukuru uongozi mzima wa Klabu yetu ya YOUNG AFRICANS SPORTS CLUB "YANGA" TIMU YA WANANCHI kwa ushirika wenu kwenye mambo kadha wa kadha kwenye kuirudishia heshima na kutatua changamoto nyingi zilizokua zinaikabili Klabu yetu.

Ikumbukwe kuwa changamoto nyingi ziliikumba na kuendelea kuikabili timu yetu na sisi tulijitahidi kuzitatua ingawa hazikua sehemu ya mkataba wetu.
NAZO NI
1.Kumrudisha LAMINE baada ya kutukatiza mkataba wake.
2.Kusajili wachezaji katika kuiongezea nguvu klabu yetu. I.Bernad Morisson. II.Ditram Nchimbi III.Haruna Niyonzima IV.Adeyum Saleh
3.Kuwaleta na kulipa gharama zote za KOCHA MKUU,KOCHA WA MAZOEZI NA VIUNGO (FITNESS COACH na PHYSIO)gharama hizo ni pamoja na mishahara, nusafiri wa ndani,nyumba na ticket za kwenda na kurudi makwao(BELGIUM & SOUTH AFRICA). 4.Kulipa Mishahara.
5.Kulipa Bonas za ushindi ktk mechi zote timu iliposhinda kuanzia Mwezi Desemba 2019.Pamoja na ahadi kubwa ya ushindi kwa mechi dhidi ya watani wa jadi na kuitekeleza
baada ya ushindi huo.

5.Kulipa gharama zote za CAMP/HOTEL kwa timu kuanzia mwezi Desemba 2019.

6.Tiketi za ndege kwa wachezaji na viongozi.

7.Kulipa na kugharamia uwanja wa mazoezi kwa ukamilifu wake.Hii ni pamoja na ukarabati wa uwanja na ununuzi wa vifaa vya mazoezi.

8.Kulipa baadhi ya madeni ya nyuma ya usajili wa wachezaji. Aidha,yote hayo yamekua yakifanyika kwa MAPENZI MEMA kwa klabu yetu bila kujali gharama nyingi na kubwa tunazolipa.

Pia,Katika kuelekea mabadiliko ya kiundeshaji wa Klabu,GSM ilitafuta wataalam( CONSALTANT)kuja kushauri na kusaidia mabadiliko ya kimfumo pamoja na kupata TIMU kubwa barani ULAYA itakayokuja kuwa ni TIMU RAFIKI katika kukuza maendeleo ya idara zote katika Klabu yetu CONSULTANT huyo yuko tayari na TIMU hiyo pia iko tayari kuja kuanza ushirikiano kwa Gharama za GSM.

Lakini,kumekua na malalamiko mengi sana kutoka kwa baadhi ya viongozi kuwa GSM imekua na ikiingilia majukumu yao na wao ndiyo wenye mamlaka hayo waliyokabidhiwa na WANACHAMA. Kwa masikitiko makubwa kauli hizi pia zimekua zikitekelezwa kwa vitendo

Usimamizi wetu umekua tu kwa yale tunayogharamia na kamwe hatukuwahi kutaka kujua mapato wala matumizi ya chanzo chochote cha Yanga.

Ikumbukwe pia,GSM imejitolea kwa hali na mali katika kuleta YANGA yenye maendeleo yake binafsi kupitia wanachama na KAMWE GSM haina nia ya KUPOKA MADARAKA WALA TIMU kutoka kwa mtu yeyote. YANGA NI WANANCHI NA ITABAKI KUWA YA WANANCHI

Kwa barua hi I,GSM itabaki kuwa mdhamini wa Yanga kimkataba na kutekeleza yale TU yaliyo Kwenye mkataba na kuachana na yote yaliyo nje ya mkataba.

Aidha,kwa niaba ya GSM tunaomba radhi kwa yoyote aliyekwazika na ushirika wetu katika kuijenga Klabu yetu na tuliyafanya hayo kwa mapenzi mema tu.

Tunawatakia kila la heri katika mapambano na tutaendelea kuwa sehemu ya mabingwa wa kihistoria.

DAIMA MBELE NYUMA MWIKO
FOR GSM GROUP OF COMPANIES
Viongozi walikuwa wanatia shaka za waziwazi. Yani watu wanafanya kazi hadi za kujitolea tena kwenye masuala ya pesa viongozi wanachukia
 
Back
Top Bottom