Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Inabidi watupe majibu ya kueleweka kwa kweli.
 
Huo ndio uswahili ninaosema. Kipaji cha Ajibu tunakifubaza. Hua najiuliza ilikuaje wakati ule akaachia offer ya TP Mazembe!? Watu wengine wanasema ni uvivu wake wa mazoezi
Atajiju sababu siku zote wanasema isiyemfaa akili yake utamdhuru ujinga wake.
 
Hizo takataka sasa zilipe zenyewe. Hapo hadi Mwenyekiti nae ni mshenzi tu mana hayo yote yanapata Baraka zake
 
Viongozi walikuwa wanatia shaka za waziwazi. Yani watu wanafanya kazi hadi za kujitolea tena kwenye masuala ya pesa viongozi wanachukia
Ndio ujue wanaojiingiza kwenye soka wengi wako kimaslahi. Na akili zao zote walijua GSM anapiga pesa.

Ila Uongozi ujitathimi hasa huyu Msola hasa haya Makamati anayoyaundaga na watu anaowaweka humo.
 
Mi naamini litakwisha tena soon ila lazima gharama kubwa iwepo hasa kwa kufukuzwa viongozi wote wenye mawazo mgando.
 
Hizo takataka sasa zilipe zenyewe. Hapo hadi Mwenyekiti nae ni mshenzi tu mana hayo yote yanapata Baraka zake
Yaani Msola ndio Kichefu chefu

Nakumbuka kauli ya yule jamaa wa Utopolo alishawahi kusema viongozi wajitathmini tukichoka kuongea kwa mdomo ipo siku tutaongea kwa ngummi. 😎😎 Na huko ndio tunaelekea.
 
Yaani Msola ndio Kichefu chefu

Nakumbuka kauli ya yule jamaa wa Utopolo alishawahi kusema viongozi wajitathmini tukichoka kuongea kwa mdomo ipo siku tutaongea kwa ngummi. [emoji41][emoji41] Na huko ndio tunaelekea.
Ha ha ha na kuna watu washasema sana kuwa msola anatuhujumu mana ni Mwana simba kiasilia ila nilikuwa siamini lakini kwa hili naanza kupata shaka ktk hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…