Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Mmewalea sana viongozi wenu. Mliposikia Profesa mkadhani atakua ni muarubaini wa kuwavusha kuelekea kwenye neema! Ingekua ni Yanga ya zamani ile ya wenye klabu yao hasaa, Wallah bakora zishatembea saa hiziUngejua tulivyo na hasira hata usingeongea haya. π
Hasa Mwenyekiti. Yule ni jipu.
Sidhani kama tunashindwa japo ujue π€ sisi wenyewe ndio tulimuweka pale baada ya kutupa ahadi nyingi zilizokuwa hewa.Hv kwann tusianzishe movement Ya Msola out hatumtak kwan tunashndw nn
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeonaeee!!! Jinga kabisa lile.sasa kama mwenyekiti hana influense na vision...limekaakaa tu ...kwanini wasiliendeshe...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kusubiri tu Shadeeya, pazeni sauti, walazimisheni viongozi wenu wajishushe na wasijione wababe.Daaah!! Ila tusubiri tuone aisee.
Ha ha ha ha swahiba Tajiri anuniwi, Nyie mtu anatoa hela mnaanza kusema kwamba anawainglia maswala ya Uongozi kwel jamani...Sidhani kama tunashindwa japo ujue [emoji848] sisi wenyewe ndio tulimuweka pale baada ya kutupa ahadi nyingi zilizokuwa hewa.
Labda halijaivaπππHasa Mwenyekiti. Yule ni jipu.
Mikia yule. Yupo kwa ajili ya ulaji.Ha ha ha na kuna watu washasema sana kuwa msola anatuhujumu mana ni Mwana simba kiasilia ila nilikuwa siamini lakini kwa hili naanza kupata shaka ktk hayo
Waende wakawajalie pale Jangwani mpaka kieleweke. Maana huu ni ujinga sasa.Hapo ni wanachama wakiamua hata Leo panachimbika
π π π πwanachama wa yanga nawaamn...soon utasikia msola kaikimbia ofisi na boxa kichwan
Sent using Jamii Forums mobile app
Subra mamii, subraaaaππCHA AJABU MPAKA SASA UONGOZI UPO KIMYA TU HAUTOI HATA NENO KWA YALIYOTOKEA. π€π€π€π€
Swahiba ndio ujue Soka letu halitakuja liendelee daima kwa hizi mambo.Ha ha ha ha swahiba Tajiri anuniwi, Nyie mtu anatoa hela mnaanza kusema kwamba anawainglia maswala ya Uongozi kwel jamani...
Mnashindwa kula na vipofu na sjajua ile mikataba ya GSM kwa wale wachezaji mishahara nan anailipa Morison, Lamine, Nchimbi Niyonzima maana walisajiliwa na Bwana Mkubwa Engineer.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile ya Mo ilikua danganya toto ila hii ya GSM, mmmhhh, ndio ntolee tena hiyoπYAANI LEO TUMEKUWA KAMA MIKIA ILE SIKU MO KAJIUZULU KULE TWITTER. π€£
ππππ Hawaezi tupiga kumi hao.ss tunasubr nn au mpk tupigwe kumi na mikia..
Na tetes zilizopo Papy anasain simba
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaah. Yaani leo patachimbika pale Jangwani unadhani watu watawavumilia ni lazima sauti zikapazwe pale.Sio kusubiri tu Shadeeya, pazeni sauti, walazimisheni viongozi wenu wajishushe na wasijione wababe.
Japo mikutano hairuhusiwi kipindi hiki uzuri siku hizi kuna radio na mitandao ya kijamii, itumieni kueleza hisia zenu. Sisi tunataka Yanga ije kwa Mkapa ikiwa haina malalamiko wala njaa tuweze kulipa kisasi cha halali kabisa
Watakuwa wanasubiri wapoze huko ndani ndipo waje wakanushe. Ila hata wakikanusha bado kuna jambo lipo pale ndani!CHA AJABU MPAKA SASA UONGOZI UPO KIMYA TU HAUTOI HATA NENO KWA YALIYOTOKEA. [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Ha ha ha haYAANI LEO TUMEKUWA KAMA MIKIA ILE SIKU MO KAJIUZULU KULE TWITTER. π€£
Huyu Tshishimbi ashukuru kucheza timu moja na Balama Mapinduzi la sivyo angekuwa ni opponent wake halafu siku wakutane,tungeona mengi. Naombea itokee aende mkiani halafu nije nijionee kwa macho yangu hizo pilika na kadi hapo kati[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hawaezi tupiga kumi hao.
Huyo Tshishimbi aende tu bana watakuja wengine kama alivyokuja yeye..