Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Yanaendelea vyema kabisa.Vipi, Makonda Stadium Arena, maandalizi yake yamefikia wapi kule Kigamboni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanaendelea vyema kabisa.Vipi, Makonda Stadium Arena, maandalizi yake yamefikia wapi kule Kigamboni?
Hahahaaa...SIKU KAMA YA LEO ALIZALIWA HUYU JAMAA AMBAYE KABLA YA JANGA HILI LA CORONA ALIWALAZA WATU NA VIATU.
Wengine bado wana hasira Mkuu naeza pigwa hapa. 😅😅😅
Ni vema kuchukua tahadhari, viti tu visivyoongea viliwahi kutandikwa makofi na mateke? Je, binadamu!Wengine bado wana hasira Mkuu naeza pigwa hapa. [emoji28][emoji28][emoji28]
#BARAKOA FC.
Hakika usemalo akili zao huwa wanazijua wenyewe. 😅😅😅Ni vema kuchukua tahadhari, viti tu visivyoongea viliwahi kutandikwa makofi na mateke? Je, binadamu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli akili zao huwa wanazijua wenyewe...Hakika usemalo akili zao huwa wanazijua wenyewe. [emoji28][emoji28][emoji28]
Ha ha ha ha ha duuuu!Kweli akili zao huwa wanazijua wenyewe...
Kuna wakati pale msimbazi walikuwa wamezungusha bonge la ukuta wa makuti. Wakafungwa na Yanga. Hasira zao wakachoma ukuta wao wa makuti,halafu wakavamia nyumbani kwa mwenyekiti wao. Alikuwa mfugaji mzuri wa mabata. Wakayachinja yooote
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kubwa kuliko. Ila hicho walichofanya ndio Tafsiri kubwa ya U M B U M B U. 😅😅Kweli akili zao huwa wanazijua wenyewe...
Kuna wakati pale msimbazi walikuwa wamezungusha bonge la ukuta wa makuti. Wakafungwa na Yanga. Hasira zao wakachoma ukuta wao wa makuti,halafu wakavamia nyumbani kwa mwenyekiti wao. Alikuwa mfugaji mzuri wa mabata. Wakayachinja yooote
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawaza tu 🤔🤔 hivyo hao kuku wakawafanyaje?Kweli akili zao huwa wanazijua wenyewe...
Kuna wakati pale msimbazi walikuwa wamezungusha bonge la ukuta wa makuti. Wakafungwa na Yanga. Hasira zao wakachoma ukuta wao wa makuti,halafu wakavamia nyumbani kwa mwenyekiti wao. Alikuwa mfugaji mzuri wa mabata. Wakayachinja yooote
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakukumbusha na hapa ndugu, pole kwa kusahau!Naikumbuka tuliishia hapa.
Cc @ShadeeyaView attachment 1457189
The only thing to fear is fear itself
Aisee sijaona ndugu...nadhan networkNakukumbusha na hapa ndugu, pole kwa kusahau!View attachment 1457265
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtani hapo unaona mko mbaali wenyewe.Naikumbuka tuliishia hapa.
Cc @ShadeeyaView attachment 1457189
The only thing to fear is fear itself
Lol