Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
- Thread starter
-
- #741
Toka 12 mpaka 1,dah,great achievement.Wamepatikana.sasa tofauti pointi moja n the sagga continua
Wakupakatwa tu hao,kwishney..............juzi nilijuwa tumepata Demu la kulipakata, heeh
naona jana limefumaniwa huko chamazi kichupi
mkononi likakimbia na kuambulia suluhu ya
3-3....dah
R.I.P Salum Kabunda 'Ninja' a.k.a Msudani a.k.a Baba Semenirest in eternal peace Salum Kabunda Ninja...
Asante mkuu.Na sasa wanataka kuwapiga chini Uli,Kiemba,Mkina na Okwi......
wapinzani poleni sana, msijali raundi ya pili simba wataanza kudraw halafu mtatwaa tena ubingwa kwa tofauti ya magoli ha ha haaaaaa LOL!!!
Young Africans Vs Azam FC kick-off 20:30PM @Amani Stadium - Zanzibar