Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

juzi nilijuwa tumepata Demu la kulipakata, heeh
naona jana limefumaniwa huko chamazi kichupi
mkononi likakimbia na kuambulia suluhu ya
3-3....dah
 
sasa tofauti pointi moja n the sagga continua
 
juzi nilijuwa tumepata Demu la kulipakata, heeh
naona jana limefumaniwa huko chamazi kichupi
mkononi likakimbia na kuambulia suluhu ya
3-3....dah
Wakupakatwa tu hao,kwishney..............
 
wapinzani poleni sana, msijali raundi ya pili simba wataanza kudraw halafu mtatwaa tena ubingwa kwa tofauti ya magoli ha ha haaaaaa LOL!!!

Vitu vingine msiandike kwa kukurupuka....hata raundi ya pili bado gap ni just 1 point...
 
mtani jana kapigwa viwili na azam ....gwa gwaaa //watu kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
wamepigwa viwili vya fasta tasta gwa gwaaaaaaaaaaaa
asante sana azam naahidi kununua icecream zenu mpaka mwiso wa dunia..eti wanatakiwa wakaipige na zamaleki ..lol
 
na mvua hizi za Dar zinazoendelea ndio utajuwa kama Yanga mnauwanja wa mazoezi pale kaunda au mna mazalia ya mbu na kichocho
 
jumatatu 26 Dec kutakuwa tena na gemu ya hisani kati ya yanga na ESCOM gonga hapa
 
Utasikia Yanga wanasema hawataki ESCOM icheze na Simba !
 
Young Africans Vs Azam FC kick-off 20:30PM @Amani Stadium - Zanzibar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…