Hebu shindwa kwa kutuwazia negative kila masaa.Ikatokea utani utani Mbeya city akawanasa nae hapa, hiyo bye bye, ubingwa msahau.. najua hao walima miwa mmoja atawazuia tena, huwafungi wote [emoji1][emoji1][emoji1]
Na ww hapo unajiona umepost?Kwa matumizi haya ya bilioni 20,lazima muwe mabingwaView attachment 1561510
Na wewe kwa hill jibu lako la kiroporopo kama msemaji wenu unajiona ndio umejibu hoja. Kisha utajiita GTNa ww hapo unajiona umepost?
yaan mambo yenu ya facebook unayaleta uku
๐ง๐๐จ๐ง๐ ๐ฃ2 ๐ฆ๐ญ๐๐ฆ๐๐ฅ๐ข๐ณ๐ข๐ ๐ก๐๐ฌ๐ข๐ซ๐ ๐ณ๐จ๐ญ๐ ๐ณ๐ ๐ค๐ฎ๐๐ซ๐จ๐จ ๐ข๐ค๐ข๐ฐ๐ ๐ฅ๐๐จ ๐ฆ๐๐๐ฒ๐ ๐๐ข๐ญ๐ฒ ๐ค๐๐ฉ๐ข๐ ๐ฐ๐ ๐ง๐ง๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐ค๐ฆ๐Hebu shindwa kwa kutuwazia negative kila masaa.
Mbeya city kapigwa 4, hamna cha kujiteteaHebu shindwa kwa kutuwazia negative kila masaa.
Kitakachompata Mbeya City jumapili si chini ya goli6.
Na usishangae akatukazia mbaya.Mbeya city kapigwa 4, hamna cha kujitetea
Unajua kusahau kwa haraka eee? ๐๐๐๐๐ง๐๐จ๐ง๐ ๐ฃ2 ๐ฆ๐ญ๐๐ฆ๐๐ฅ๐ข๐ณ๐ข๐ ๐ก๐๐ฌ๐ข๐ซ๐ ๐ณ๐จ๐ญ๐ ๐ณ๐ ๐ค๐ฎ๐๐ซ๐จ๐จ ๐ข๐ค๐ข๐ฐ๐ ๐ฅ๐๐จ ๐ฆ๐๐๐ฒ๐ ๐๐ข๐ญ๐ฒ ๐ค๐๐ฉ๐ข๐ ๐ฐ๐ ๐ง๐ง๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐ค๐ฆ๐View attachment 1561758
Bro mwambie huu uzi ni wa kwetu.Na wewe kwa hill jibu lako la kiroporopo kama msemaji wenu unajiona ndio umejibu hoja. Kisha utajiita GT
Aisee!! Umekuwa kama mie Bro kwani kwa sasa tunacheza vizuri mnoo timu imechangamka, inaonekana kuna kitu tunahitaji ila kama usemavyo vikirekebishwa vitu vichache tu basi tutatisha.Kiukweli nilifarijika sana kuona timu yetu imebadilika kabisa,tunashambulia mfululizo hadi raha, na wachezaji Wa pale mbele wanatisha. Vikirekebishwa vitu kidogo tu na kupata first eleven tutatisha sanaaa!! Hakika naona jumapili mbali sana!!
Hata na mie namuona Kaseke kwa sasa hatoshi kwenye ile nafasi kwani sijui ndio ameanza kuzeeka.Tumepiga mpira mwingi sana jana. Lakini kitendo cha kumuanzisha Kaseke na Dirtram kwa pamoja halafu Niyinzima anasugua benchi ni dharau kubwa sana. Kaseke na DItram hawapaswi hata kuanza. Nafasi zao ni za kina Kisinda na Niyinzima(Carlinhos). Tunataka wachezaji creative sio wakimbiaji na wazururaji .
Na wale kuwaweza inabidi tuanze kuwafunga mapema ili kuwachanganya lakini ikitokea tunamaliza nao first half bila bila basi ujue watatupa wakati mgumu kuwafunga.Kitakachompata Mbeya City jumapili si chini ya goli6.
Hahahahahahahahah AiseeNa wale kuwaweza inabidi tuanze kuwafunga mapema ili kuwachanganya lakini ikitokea tunamaliza nao first half bila bila basi ujue watatupa wakati mgumu kuwafunga.
Kwanini asiwe anaanza Senzo kwenye kikosi cha kwanza.Hata na mie namuona Kaseke kwa sasa hatoshi kwenye ile nafasi kwani sijui ndio ameanza kuzeeka.
Ditram anakera saa ingine kwani naye katika walio na papara anaongoza utulivu ni zero.