Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Ikatokea utani utani Mbeya city akawanasa nae hapa, hiyo bye bye, ubingwa msahau.. najua hao walima miwa mmoja atawazuia tena, huwafungi wote [emoji1][emoji1][emoji1]
Hebu shindwa kwa kutuwazia negative kila masaa.
 
IMG-20200907-WA0014.jpg
 
Hebu shindwa kwa kutuwazia negative kila masaa.
𝐧𝐚𝐨𝐧𝐚 𝐣2 𝐦𝐭𝐚𝐦𝐚𝐥𝐢𝐳𝐢𝐚 𝐡𝐚𝐬𝐢𝐫𝐚 𝐳𝐨𝐭𝐞 𝐳𝐚 𝐤𝐮𝐝𝐫𝐨𝐨 𝐢𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐥𝐞𝐨 𝐦𝐛𝐞𝐲𝐚 𝐜𝐢𝐭𝐲 𝐤𝐚𝐩𝐢𝐠𝐰𝐚 𝐧𝐧𝐞 𝐤𝐰𝐚 𝐤𝐦𝐜
Screenshot_20200907-163156_Opera%20Mini.jpg
 
Kiukweli nilifarijika sana kuona timu yetu imebadilika kabisa,tunashambulia mfululizo hadi raha, na wachezaji Wa pale mbele wanatisha. Vikirekebishwa vitu kidogo tu na kupata first eleven tutatisha sanaaa!! Hakika naona jumapili mbali sana!!
 
Tumepiga mpira mwingi sana jana. Lakini kitendo cha kumuanzisha Kaseke na Dirtram kwa pamoja halafu Niyinzima anasugua benchi ni dharau kubwa sana. Kaseke na DItram hawapaswi hata kuanza. Nafasi zao ni za kina Kisinda na Niyinzima(Carlinhos). Tunataka wachezaji creative sio wakimbiaji na wazururaji .
 
𝐧𝐚𝐨𝐧𝐚 𝐣2 𝐦𝐭𝐚𝐦𝐚𝐥𝐢𝐳𝐢𝐚 𝐡𝐚𝐬𝐢𝐫𝐚 𝐳𝐨𝐭𝐞 𝐳𝐚 𝐤𝐮𝐝𝐫𝐨𝐨 𝐢𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐥𝐞𝐨 𝐦𝐛𝐞𝐲𝐚 𝐜𝐢𝐭𝐲 𝐤𝐚𝐩𝐢𝐠𝐰𝐚 𝐧𝐧𝐞 𝐤𝐰𝐚 𝐤𝐦𝐜View attachment 1561758
Unajua kusahau kwa haraka eee? 😂😂😂😂

Yaani hapo juu unamcrush mwenzio kwa alichopost haya na wewe umeleta mambo za wapi. 😂😂😂😂 Instagram 😂😂😂😂 Lol.

Kweli Rage hakukosea Mtani.

M
b
u
m
b
u
m
b
u


Toooba 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Kiukweli nilifarijika sana kuona timu yetu imebadilika kabisa,tunashambulia mfululizo hadi raha, na wachezaji Wa pale mbele wanatisha. Vikirekebishwa vitu kidogo tu na kupata first eleven tutatisha sanaaa!! Hakika naona jumapili mbali sana!!
Aisee!! Umekuwa kama mie Bro kwani kwa sasa tunacheza vizuri mnoo timu imechangamka, inaonekana kuna kitu tunahitaji ila kama usemavyo vikirekebishwa vitu vichache tu basi tutatisha.

Ila bana hizi timu hizi si ajabu wakakaza yaani hata tukipata ushindi ukawa kiduchu.
 
Tumepiga mpira mwingi sana jana. Lakini kitendo cha kumuanzisha Kaseke na Dirtram kwa pamoja halafu Niyinzima anasugua benchi ni dharau kubwa sana. Kaseke na DItram hawapaswi hata kuanza. Nafasi zao ni za kina Kisinda na Niyinzima(Carlinhos). Tunataka wachezaji creative sio wakimbiaji na wazururaji .
Hata na mie namuona Kaseke kwa sasa hatoshi kwenye ile nafasi kwani sijui ndio ameanza kuzeeka.

Ditram anakera saa ingine kwani naye katika walio na papara anaongoza utulivu ni zero.
 
Back
Top Bottom