Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Hahahaha, dah kweli Simba na yanga wapinzani

Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna kitu anaeza fanya kisha mungine akamsifia hata siku moja.

-Tulikuwa na banda sabasaba this year waliponda mbaya badala ya kutusifia.
-Tumefungua duka la vifaa vya Yanga pale pale Jangwani petu bado wanakosoa pia.

Ila kama usemavyo ndo Utani wa jadi huo Mtani.
 
Wanafunzi wakifeli somo la Geography ni uzembe wao sasa wameletewa Atlas ya bure.
 
ILA MAISHA HAYA JAMANI LOL πŸ€”πŸ€”

JEZI NAMBA MOJA BADO HATUJAIFUA HAPO. 🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…