Yuzo mawe
JF-Expert Member
- May 31, 2019
- 494
- 551
Kweli mashabiki wa mikia ni vilaza wa hali ya juu ndo maana aliyekua mwenyekiti wao ISMAIL RAGE aliwaita 'MBUMBUMBU'Sasa mnakubali vipi mwenzenu achukue 38,700.
Nyie mbaki na 1,300?[emoji16][emoji16][emoji16].
Lile nyomi la pale jangwani siku ya kutambulisha jezi tulijua hela mmachukua nyie kumbe mnamuuzia mwenzenu.
kweli kuwa uyaone.
KELELE NYINGI KUMBE ZERO
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Yanga anapata 1.3kTSH per jersey ni kutokana na logo ake kutumiwa katika hizo jersy,afu kingine, Mashabiki wa mikia wanatakiwa waelewe kua yanga hawahusiki na gharama zozote zinazohusisha hizo Jersey mpaka zinapokuja kuuzwa,
Hivyo basi kwa mantiki hiyo yanga anastahili kupata hiyo hela anayoipata