Na mashabiki wa simba, azam, mtibwa, ihefu, lipuli, coastal, kagera, mbeya city, kmc nk nk no
wote wananunua [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
hizi jezi zinazokuja zinauzwa ndani ya maduka mawil zinaisha siku mbili mtu anasema wanapewa 1.2bil
achen masikhara nyie utopolo
nyinyi mnachukua 1300 kwa jezi.. wale watu wa maduka wanachukua 5000 kwa jez
wao watakua wameingiza bei gani?? ukipiga hesabu hapo ni Bil 5?? Kwamba shafii na Sandaland wameingiza bil 5?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kama hapo taifa watu elfu 60 hua panafunguliwa tokea asubuh na bado watu wanakaa kwenye folen masaa ya kutosha, hapo kwa shafii ungekaa foleni mwezi mzima ndio upate jezi